Iyo game munapoteza hamuna timu nyie halaand hana maajabu tenaCheki tunavyopiga watu achana na hawa majibwa.
Hakua mchoyo sana.
Au niweke mguu mfukoni 😂😂😂😂Meza wembe mkuu.
Martinez game ya Barcelona kwanza hata hachezi..ana ban.Makocha wanakuwa na ujinga muda mwingine, unalinda mchezaji kwaajili ya mechi na Barcelona na unaishia kupoteza zote.
Mimi bado nakazia kocha inabidi anunue straika wake mwenyewe awa walipo watamuangusha maana wanataka wafunge wao tu siku wakiwa out of form tumeliwa. Tunahitaji timu icheze kwa ushirika kuanzia nyuma hadi mbele sasa leo dakika zote straika Weighorst hapewi mpira na hili ni tatizo mechi karibu zote.Hakua mchoyo sana.
Mnaombeza Weigehorst jua mawinga wenyewe hawampi mpira.
Yeye akipata mpira anatoa pasi.
Michezaji ya kuforce kufunga na uchoyo naichukia.
Gemu za ushindi ndio wanatuangusha
Bado ana papara nyingi..Nawaambiaga watu humu Garnacho ni machine nyie endeleeni kumbeza.
Kuna game EtH ametunyima points kwa kutofanya Sub mapema au na kuanza na watu ambao hawana mchango wowote.Mie tokea Ile gemu ya mrudiano ya arsenal tuliopoteza, ilikua ni uzembe wa ten hag kushindwa kufanya sub mapema alinikera sana, ijapokua nakubali kuwa kwa Sasa tumebahatika kupata kocha mzuri.
Hii gemu ya Leo asingefanya sub mapema tusingepata ushindi huenda tungefungwa kabisa na hawa Leeds.
Kabisa mkuuKuna game EtH ametunyima points kwa kutofanya Sub au na kuanza wa watu ambao hawana mchango wowote.
Hii timu bado sana mupira wake wa kuotea otea tu
Hii siyo Chelshit.Hii game inaisha draw
Come on Leeds 😆💪🏾💪🏾💪🏾
Tunasikitika game yetu dhidi ya Barcelona hatokuwepoMartinez ni wa moto sana alivyoingia tu kaleta balance na utulivu uwanjani..

Maguire ni wa kuwekwa tu sokoni coming July.