Andreas Perreira, willian na Palhinha wanafanya kazi nzuri sana pale craven cottage.
Nimeamini kila mchezaji ana urefu wa kamba yake inayopimwa kutokana na level yake, huwezi kutarajia mambo makubwa kwenye vilabu mfano wa man utd, arsenal, liverpool kupitia miguu ya perreira, scott mctominay, fred, lokonga, tomiyasu, shaqiri, minamino, elneny, gomez, cedric soarez, lindelof
Utabaki kuwachukia na kuwatukana kila baada ya muda, Unahitaji kuwa na jicho kali kuweza kuliona hilo.
Huwezi kuwaona wachezaji mfano wa hao pale bayern munich....
Mpira si sayansi ya ushirikina