Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kila siku Arsenal anapondosha points nakumbuka mechi ya Palace na Arsenal away na ile ya juzi vs Leeds.

5 points dropped kizembe tu tena kipindi ambacho tupo kwenye form nzuri.
Ni vile tuu man u wabovu na mancity pia ila arsenal msimu huu alkua anagombea nafac ya nne... man u tunapoteza point kizembe katika mechi muhim, nw tungekua sawa na arsenal au kumzid ila ndo ivo hatuna timu
 
EPL sio rahisi kihivyo.

Tuweni tuu serious, tusiwe ni ushabiki kupitiliza,.

ETH amefanya kazi kubwa.
Ila bado kufikiria ubingwa msimu huu.
Hao walioko juu, huu ni msimu wa pili wako pamoja, sisi ndio kwanza tuna miezi kadhaa.

Sisi bado tunategeneza timu, na kudrop points wakati unatengeneza timu ni vitu vya kawaida kabisa.

Kufikilia ubingwa msimu huu ni kujipa pressure isiyokuwa na sababu.
Mimi naamini kwa 100% hata EtH sasa hivi kila mechi anaandaa kikosi chake kugombania ubingwa.

Hata Arsenal naamini walianza msimu kwa kusema msimu huu hatupo tayari kugombania ubingwa na malengo yetu ni top 4 tu but look at them now.

Hakuna wakati sahihi wa kusema huu ndiyo muda wetu wa kufanya sasa. Nafasi kama ipo ni jambo tu la wachezaji ku-demand more from themselves.

Mimi ninachotaka tu kesho tuchukue points 3 na inayofuata 3 ila najua ku-drop points kupo tu ila wachezaji wanapaswa kujua wanaweza kufanya zaidi ya hapa.
 
EPL sio rahisi kihivyo.

Tuweni tuu serious, tusiwe ni ushabiki kupitiliza,.

ETH amefanya kazi kubwa.
Ila bado kufikiria ubingwa msimu huu.
Hao walioko juu, huu ni msimu wa pili wako pamoja, sisi ndio kwanza tuna miezi kadhaa.

Sisi bado tunategeneza timu, na kudrop points wakati unatengeneza timu ni vitu vya kawaida kabisa.

Kufikilia ubingwa msimu huu ni kujipa pressure isiyokuwa na sababu.
Kwa hiyo miezi kadhaa tuliyokuwa pamoja tulitakiwa tuwe wa 10 huko.

Ila mpaka sasa tumewaonesha kazi.

Shida ya Man Utd kwa sasa ni kukosekana na kwa key players hasa Casemiro ndo kunatofanya tusifanye vizuri.

Mechi ya Crystal Palace, Arsenal na Leeds. Angekuwepo kwenye hizo mechi tungeongea mengine.
 
Katika mechi mbili hv karibuni timu zote za juu na huyu Newcastle aliyeopo Chini yetu wame drop point ni sisi peke yetu tume gain Pont 4...
Hii inamaana league ni ngumu ila timu inajitahidi...
Hebu tuone msimamo utakavyokuwa baada ya mechi 5...
Namuona arsenal akishuka mpk nafasi ya 3
 
EPL sio rahisi kihivyo.

Tuweni tuu serious, tusiwe ni ushabiki kupitiliza,.

ETH amefanya kazi kubwa.
Ila bado kufikiria ubingwa msimu huu.
Hao walioko juu, huu ni msimu wa pili wako pamoja, sisi ndio kwanza tuna miezi kadhaa.

Sisi bado tunategeneza timu, na kudrop points wakati unatengeneza timu ni vitu vya kawaida kabisa.

Kufikilia ubingwa msimu huu ni kujipa pressure isiyokuwa na sababu.
Ni kweli mkuu tutaishia kutukana kocha na wachezaji bure. Msimu huu target ilikuwa top 4 na kupata kikombe angalau kimoja ila mpaka sasa utd ndio tumu pekee ambaye inashindania vikombe vyote hivyi wachezaji nao wanachoka na ikumbukwe wachezaji wetu wa baadhi ya sehemu sio wazuri mfano mbadala wa Casemiro na Erksen haupo so tumpongeze kocha mpka sasa mbinu zake zinalipa.
 
Andreas Perreira, willian na Palhinha wanafanya kazi nzuri sana pale craven cottage.

Nimeamini kila mchezaji ana urefu wa kamba yake inayopimwa kutokana na level yake, huwezi kutarajia mambo makubwa kwenye vilabu mfano wa man utd, arsenal, liverpool kupitia miguu ya perreira, scott mctominay, fred, lokonga, tomiyasu, shaqiri, minamino, elneny, gomez, cedric soarez, lindelof

Utabaki kuwachukia na kuwatukana kila baada ya muda, Unahitaji kuwa na jicho kali kuweza kuliona hilo.

Huwezi kuwaona wachezaji mfano wa hao pale bayern munich....

Mpira si sayansi ya ushirikina
 
Katika mechi mbili hv karibuni timu zote za juu na huyu Newcastle aliyeopo Chini yetu wame drop point ni sisi peke yetu tume gain Pont 4...
Hii inamaana league ni ngumu ila timu inajitahidi...
Hebu tuone msimamo utakavyokuwa baada ya mechi 5...
Namuona arsenal akishuka mpk nafasi ya 3
Ndio maana mnakojolewa sababu ya mahope mnayojipa hamsogei kwenye EPL table leo na uhakika Leeds atawakojolea saa 1 tutarudi kukumbushana
 
Sio utabiri ila ni upenzi tu wa timu yetu pendwa Man UTD, kama ilivyo ada leo Leeds inatakiwa atueleze ile draw aliipataje.
Sitarajii kuona Garnacho akianza wala yule Werghost.
EPL inafurahisha sana iwe tufungwe, tudraw au tushinde yote fresh tu ila ushindi itakua vizuri zaidi
 
IMG_4430.jpg

Kila la kheri Leeds united
MANYUMBU MISUKULE Mkipata hata droo Nipigwe BAN LA MWAKA
 
Matchday..GGMU

=======
My Starting XI vs Leeds
=======

De Gea

AWB Varane Shaw Malacia

Sabitzer Martinez Fernandes

Pellistri Rashford Sancho

========
 
Manchester inacheza leo na dunia yote ina huzuni
tumempoteza mwana Manchester mwenzetu AKA tukae kimya kwa dk moja kumuenzi

hawa ndo mashabiki sasa Mpaka wana tatoo za timu ni uzuni kwakweli kwa fans wa United wote duniani

Anyway ushindi leo lazima

Prediction

Leeds United 0 vs Manchester United 2

GGMU
20230211_152139.jpg
 
Matchday..GGMU

=======
My Starting XI vs Leeds
=======

De Gea

AWB Varane Shaw Malacia

Sabtzer Martinez Fernandes

Pellistri Rashford Sancho

========
Kikosi gani hiki. Kikosi hakina holding midfields!! Fanya ufanyavyo kwa kuwa Case na Erickson hawapo Fred/Tominay ni lazima wawepo. Yaani Bruno ndio atakuwa kiungo hapo kati au nani?
HEBU PANGA UPYA KIKOSI Darmian
 
Kikosi gani hiki. Kikosi hakina holding midfields!! Fanya ufanyavyo kwa kuwa Case na Erickson hawapo Fred/Tominay ni lazima wawepo. Yaani Bruno ndio atakuwa kiungo hapo kati au nani?
HEBU PANGA UPYA KIKOSI Darmian
McTominay ni injury..Fred kwa ile Perfomance ya Juzi apumzike tu leo.

Sabitzer na Martinez hawataweza kushindwa kufanya kweli hapo katikati.
 
Back
Top Bottom