Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hakyanani hii timu imejua kutuweza leo
Hadi mpira unaisha kichwa kinauma dah
Anyway tumeipenda wenyewe acha twende nayo hivyo hivyo.
GGMU
Rashford on
Leeds huwa wanakimbia hovyo na kupress sana ila kuanzia dakika za 70 hivi wanachoka. Kwahio ukiwa patient na ukilinda goli lako unawamaliza mwishoni. Ndio kilichotokea leo na mechi iliopita ingawa mechi ile United walifanya kosa kuruhusu magoli mawili
 
Leeds huwa wanakimbia hovyo na kupress sana ila kuanzia dakika za 70 hivi wanachoka. Kwahio ukiwa patient na ukilinda goli lako unawamaliza mwishoni. Ndio kilichotokea leo na mechi iliopita ingawa mechi ile United walifanya kosa kuruhusu magoli mawili
Haihusiani na kuchoka. Ile sub ya Martinez na Garnacho ndio imewamaliza.
 
3'points on the pocket

The race (top4)is still on

Sabitzer ana spirit Sana,,,,utadhan amekaa na timu 5years kumbe hAta mechi nne Hana !!!

Soon casemiro anarudi,.mid Yake na sabitzer itakuwa bomba,,,, Sasa hivi tunashindwa kuona the best of him coz analazimika kushuka Sana na wkt sio majukumu yake,,,,,

Hakuna Namna ya kwenda ku-update ule mkataba tuweke buy option ??


#GGMU
 
Usingizi wa leo kwa fans wa United tunalala huku tunatabasamu, halafu asubuhi ya kesho mapema sana tunawahi kazini tukiwa na uchangamfu na bashasha la kutosha.
tapatalk_-1351649341_622x560.jpg
 
Ten Hag: “Rashford is one of the best stikers in Europe, definitely — and I was convinced from the first moment”. #MUFC

“I was really excited to work with him. I can get more out of him. He has such high potential”.

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
 
Back
Top Bottom