RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 58,410
- 131,747
Leeds huwa wanakimbia hovyo na kupress sana ila kuanzia dakika za 70 hivi wanachoka. Kwahio ukiwa patient na ukilinda goli lako unawamaliza mwishoni. Ndio kilichotokea leo na mechi iliopita ingawa mechi ile United walifanya kosa kuruhusu magoli mawiliHakyanani hii timu imejua kutuweza leo
Hadi mpira unaisha kichwa kinauma dah
Anyway tumeipenda wenyewe acha twende nayo hivyo hivyo.
GGMU
Rashford on![]()







#MUFC



Garnacho responds to Bruno’s kick
🫂
]