Ana uwezo mkubwa sana wa kupiga pass ndefu.Martinez ni wa moto sana alivyoingia tu kaleta balance na utulivu uwanjani..
Lakini leo nimeona kafanya kosa moja tu ambalo ali rectify mwenyewe.Maguire ni wa kuwekwa tu sokoni coming July.
Huyu nae utafikiri alikuwepo United misimu mitano. Hana mambo mengi ila kazi tu
Sabitzer, huyu mchezaji tumnunue tu.
Maguire ni wa kuwekwa tu sokoni coming July.
Atakua anajichua Kuna moja alitaka kuchoma degea alimind kishenzHivi Maguire ana mke/mpenzi? Ana Dr. wa Saikolojia kweli? Sio kawaida kwa mchezaji wa level yake kutokujiamini kiasi hiki. Au na yeye anajichua?
Leeds huwa wanakimbia hovyo na kupress sana ila kuanzia dakika za 70 hivi wanachoka. Kwahio ukiwa patient na ukilinda goli lako unawamaliza mwishoni. Ndio kilichotokea leo na mechi iliopita ingawa mechi ile United walifanya kosa kuruhusu magoli mawiliHakyanani hii timu imejua kutuweza leo
Hadi mpira unaisha kichwa kinauma dah
Anyway tumeipenda wenyewe acha twende nayo hivyo hivyo.
GGMU
Rashford on![]()
Karibu tena mkuuLeeds huwa wanakimbia hovyo na kupress sana ila kuanzia dakika za 70 hivi wanachoka. Kwahio ukiwa patient na ukilinda goli lako unawamaliza mwishoni. Ndio kilichotokea leo na mechi iliopita ingawa mechi ile United walifanya kosa kuruhusu magoli mawili

Amefunga ndoa mwishoni mwa mwaka jana tu hapoHivi Maguire ana mke/mpenzi? Ana Dr. wa Saikolojia kweli? Sio kawaida kwa mchezaji wa level yake kutokujiamini kiasi hiki. Au na yeye anajichua?
Mwamba ana mchecheto balaaHivi Maguire ana mke/mpenzi? Ana Dr. wa Saikolojia kweli? Sio kawaida kwa mchezaji wa level yake kutokujiamini kiasi hiki. Au na yeye anajichua?







Carrasco putin ni mtu wa Mungu huyo hana baya na mtu. Umeicheki ile pasi ya goli aliyopiga kwa Garnacho??..
Sabitzer, huyu mchezaji tumnunue tu.
Haihusiani na kuchoka. Ile sub ya Martinez na Garnacho ndio imewamaliza.Leeds huwa wanakimbia hovyo na kupress sana ila kuanzia dakika za 70 hivi wanachoka. Kwahio ukiwa patient na ukilinda goli lako unawamaliza mwishoni. Ndio kilichotokea leo na mechi iliopita ingawa mechi ile United walifanya kosa kuruhusu magoli mawili

Nimeona alivyorudishwa kucheza nyuma ya Rashford kacheza vizuri sana. I think aanze kutumika kama no 10.Wegosti hapigi nyeto kweli wakuu? Mbona ile miguu kama haina uroto