Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa hiyo Sub alifanya nani na kupanga Weghorst akae nyuma ya Rashford 2nd half alikuwa nani, kocha lazima atajwe ni moja ya mbinu zake
Ndani ya dakika 20 ilitakiwa tuwe tumeshashinda hii game kama kungekuwa na mikakati sahihi kuhusu kikosi. Jinsi Leeds alivyotupeleka kipindi cha kwanza wapinzani wetu (hasa Barca) wanaangalia mechi na wanapata confidence kubwa sana.
 
Mweupe mama yako. Yaani huo ushindi wa mwishoni baada ya sub tulizozililia ndio unamuona kocha wa maana! ze-dudu
Yule kocha alifanya technical changes wkt flani. Alimtaka Tyler Malasia aingie katikati kutokea nyuma kisaidiaa kiungo, yule tall akarudi nyuma kidogo rashford akapanda juu kulia, then akamtoa Tyler malasia akabadili mfumo .

Kule nyuma wakabaki mabeki watatu.
 
Sabitzer yellow kapata lini?
Wachezaji wetu ambao watakosa game dhidi ya Barcelona.

Antonio martial injury

Antony do Santos injury

Lisandro Martinez yellow card

Marcel sabitzer yellow card

Christian ericksen injury

Scott McTominay injury

Uzuri ni kwamba casemiro ni mzima wa afya.
 
Marcel Sabitzer: “It’s a loan at the moment, that’s all I can say. I like it here. I’m feeling very good here. I like the team, I like the club, the atmosphere in Old Trafford. We will see what happens in the summer.”

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230213_221206_620.jpg
 
-Managed Garnacho perfectly.
-Had the nerve to drop the club captain.
-Got rid of Ronaldo.
-Made excellent signings.
-Improved everyone.
-Made Old Trafford a fortresses again.
-Incredible big game record.
-Has got us fighting in every competition.

Erik ten Hag.

#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU

man utd |
IMG_20230213_221059_246.jpg
 
Back
Top Bottom