Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Nakiri mapema kabisa sina imani na kikosi, kocha ameanza kuchanganyikiwa au?

Acha nimuachie yeye kama mwalimu ndio anawajua watu wake.
Aisee tunaruka ruka tu yaani timu imepooza sana. Pamoja na watu wengi kumkashifu Garnacho ila mimi kwangu ni bora dogo aanze kuliko Sancho f
dogo huwa anapress sana na mikimbio yake yote huwa niya hatari tofauti na Sancho yeye akipata mpira anafikiria kupiga chenga.
 
Aisee tunaruka ruka tu yaani timu imepooza sana. Pamoja na watu wengi kumkashifu Garnacho ila mimi kwangu ni bora dogo aanze kuliko Sancho f
dogo huwa anapress sana na mikimbio yake yote huwa niya hatari tofauti na Sancho yeye akipata mpira anafikiria kupiga chenga.
Dogo alifanya uchoyo game moja tu kelele hadi zimemfikia. Ila kiufupi anatakiwa tu kuambiwa aache uchoyo acheze kitimu, yupo vizuri sana na anaendelea kukua.
 
De Gea mwenyewe hajiamini, sasa unapomrudishia mpira kwa presha lazima achukie.
Anajua Maguire ni njia.

Ila kkcha mjanjaysana ...anakula nafasi ukishindwa benchi... Maguire bench linamwita.....

Malasia anaendelea kupata nafasi approve wrong. Japo kicha anafanya rotation Kwa ajili ya mechi mbalimbali ikiwamo ya Barca katikat ya wiki
 
Dogo alifanya uchoyo game moja tu kelele hadi zimemfikia. Ila kiufupi anatakiwa tu kuambiwa aache uchoyo acheze kitimu, yupo vizuri sana na anaendelea kukua.
Mkuu mimi madogo wa academy huwa nawaamini sana wanafighting spirit kubwa sana nadhani ile dhana ya uchoyo ni kwa kuwa dogo anashauku kubwa sana ya kufunga ukizingatia ndio kapandishwa juzi na kule chini yeye ndio aliyekuwa anatengenezewa sio kutengeneza.

Hili ni tatizo la muda tu ila kiukweli ukifuatilia magoli mengi tuliyofunga siku za karbuni yameanzia kwake. Dhana ya uchoyo inakuja pale anapokosa goli ila angekuwa anafunga watu wangemezea. Mfano Greenwood huwa hatoi pass kwa mtu maeneo ya box sema yeye ana accuracy kubwa sana akishoot akakosa ni 1 kwa mbili.
 
Mkuu mimi madogo wa academy huwa nawaamini sana wanafighting spirit kubwa sana nadhani ile dhana ya uchoyo ni kwa kuwa dogo anashauku kubwa sana ya kufunga ukizingatia ndio kapandishwa juzi na kule chini yeye ndio aliyekuwa anatengenezewa sio kutengeneza.

Hili ni tatizo la muda tu ila kiukweli ukifuatilia magoli mengi tuliyofunga siku za karbuni yameanzia kwake. Dhana ya uchoyo inakuja pale anapokosa goli ila angekuwa anafunga watu wangemezea. Mfano Greenwood huwa hatoi pass kwa mtu maeneo ya box sema yeye ana accuracy kubwa sana akishoot akakosa ni 1 kwa mbili.
Madogo wakija tatizo wakina shaw wanakaza.
 
Back
Top Bottom