Kiatu cha udongo
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 443
- 1,157
Weghorst mmemuonaje wakuu ?? Jamaa kiasi chake anajua kujiposition
Ila speed hana.Weghorst mmemuonaje wakuu ?? Jamaa kiasi chake anajua kujiposition
Yupo Kama Peter clouch pia controll sebule Sina uhakika Kama ataweza kushine pale eplIla speed hana.
Aise mbona anasifiwa kwa pressing...Ila speed hana.
Sasa mchezaji hadi katolewa kwa mkopo na burnley unadhan kuna nini hapoYupo Kama Peter clouch pia controll sebule Sina uhakika Kama ataweza kushine pale epl
Japo asernal ni mchumba so atazioata kirahisi. Tushukuru morale ya wachezaji.Mechi ya jana ni kama man u walikuwa wanatafuta draw sabb ya mechi ya j2
Hizi approach mda mwingine sizielewagi
Maana unaweza suluhu na cry na j2 ukapigwa vile vile ukawa umeambulia pt 1 kwenye mechi 2
Si afadhali ukomae na cry upate pt 3
Nyoosha maelezo vzr, sema Pale TUMEPIGWAIla speed hana.
Hawa wenzetu wameona nini kwa huyu dogoBorussia Dortmund have explored the conditions of loan deal to sign Anthony Elanga from Manchester United, it’s concrete. 🟡️ #BVB
Understand player side would be open to Bundesliga move, Everton are also interested. Decision up to Man United. #MUFC
Source: Fabrizio RomanoView attachment 2484054
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣 We jamaa unaota ndoto nyevuMsimamo wa ligi mpaka kufikia May
1: Manchester United
2: Manchester city
3: Newcastle United
4: Arsenal
Wapendwa mashabiki wa chama kubwa manchester united, huo👆 ndio msimamo wa ligi msimu huu, napia si hivyo tu Hadi carabao,FA na Europe huyo mwamba hapo juu namba 1 bado anashiriki, na msimu huu mechi 8 mfululizo unbeaten and still more suplise to come for the red devil's👍
Jumamosi tusitegemee ushindi, arsenal ni ya moto sn wakuu, kama umetizama gemu zao utakua ni shahidi.. tuache ushabiki kwa wachezaji hawa kina rashford,antony,martial n.k hatupati kitu msimu huu
Bora sancho aiseeAntony bana mi simuelewi kabisa ni bora sancho jamaa mwepesi sana winger hatoi cross hapigi chenga aaah.
Ila bado tuko ON tumeshinda sana tukaanza kuchoka ushindi ni mingi wacha tupumzike kidogo jpili moto unaendelea
Arsenal tunajua tutamfunga United kwa kigezo kimoja, tutacontrol mchezo kwa zaidi ya 65%. Huwezi kushinda Emirates km huwezi kucontrol mchezo, na united hawezi kucontrol mchezo dhidi ya Arsenal, mechi tuliyocheza OT ilionesha wazi level yenu, mlishinda thru gamestate muda wote tulikuwa tunaichase game kusawazisha goli lakini at the end of the day tukawa exposed.United mechi aliyoongoza kwa ball possession against big 6 ni ya Spurs tu nyingine zote opponents ndiyo wanakaa sana na mpira lakini kipigo kinakuwa kwao.
Kama kawaida yetu pasi 5 goli. Nyie Arsenal mnatamba sana kwasababu mmewafunga wachovu kama Spurs. Yale magoli ni moja tu la Captain ndiyo utahesabu kama kitu Arsenal walifanya kwenye ile mechi. 2nd half timu ilikatika mlipoteana sana na mlipelekewa moto.
Hii mechi mmeirahisisha sana lakini hamjui kitu mnachoenda kukutana nacho, nyie mnaamini atmosphere ya Emirates tu, pale tuna wachezaji wamecheza Camp Nou, wamecheza kwenye big stages unadhani Emirates ni sehemu utaweza kuwapoteza?
Jiulize, mnaenda kukutana na timu ya aina gani? Ni tofauti kabisa na ile iliyowapiga 3. Bora zaidi!