raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,547
- 35,816
Mechi ya jana ni kama man u walikuwa wanatafuta draw sabb ya mechi ya j2
Hizi approach mda mwingine sizielewagi
Maana unaweza suluhu na cry na j2 ukapigwa vile vile ukawa umeambulia pt 1 kwenye mechi 2
Si afadhali ukomae na cry upate pt 3
Hizi approach mda mwingine sizielewagi
Maana unaweza suluhu na cry na j2 ukapigwa vile vile ukawa umeambulia pt 1 kwenye mechi 2
Si afadhali ukomae na cry upate pt 3




️ #BVB


