BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,341
Nauza sumu za PANYA, unataka??Ndugu zangu nasikitika kuwambia kuwa ugonjwa mlonao siwakupona 2nd half habari yenu inaisha.
Nauza sumu za PANYA, unataka??Ndugu zangu nasikitika kuwambia kuwa ugonjwa mlonao siwakupona 2nd half habari yenu inaisha.
Mkuu najua leo washika mtutu mlikuwa upande wetuMkitumwa mnafanya kazi nzuri, good job.![]()

Naombeni pongezi zangu kwa kuwatakia ushindi na mmenitendea haki.Man Utd msiniangushe leo nawatakia kisasi cha maana dhidi ya Man City hata 1 - 0 tu, kila la heri Wakulungwa![]()


Trust in processHuyu Makame mbona haileweki huyu, mara ya pili hii anakosa goli
Arsenal atanipa pointi 6 msimu huuERA COME TO AN END
Title race is on
Up Next: AsaniWali
Tunawangojea emirates stadium, leo man u mmefanya la maana sana kumfunga cityHata Arsenal tulimchapa hivi hivi
Chutama tu Mzee Baba na ukome kupenda penda kushabikia timu za Watoto "Mwa-City" ...Mnakuwaga kama mandonga

Yeah yeahKwakweli mm mwenyewe shabiki la Liverpool naomba Arsenal mbebe hili kombe

