Kazi kwakoHamchelewi kubadili I'd![]()
Mechi ya jana tulicheza ovyo sana...
Utadhani ni genge la wahuni la mitaa ya JANG'OMBE.
Tukienda uwanjani na mentality ile ya jana tutakula goli 3 kavu kavu bila ya ndomu siku ya jumapili


Nimeanza kuangalia mechi za manchester united nikiwa na miaka 7 ya kuzaliwa.Mamluki
Man U ipo ktk progress ambayo Arsenane washaimaliza lkn Jumapili Arsenane shinda yke ni sare



Chelsea is buying everyone.

Ana accuracy nzuri kwenye passing !!! wachA tuoneLisandro Martínez trained today with the squad as a Defensive midfielder. He trained just ahead of AWB/Varane/Shaw/ Malacia #MUFC
Hiyo mechi J2 sio ya majaribioLisandro Martínez trained today with the squad as a Defensive midfielder. He trained just ahead of AWB/Varane/Shaw/ Malacia #MUFC
Ni DM anaiweza hiyo nafasi ,lakini hatujaona msimu huu akitumika hiyo nafasi,Ana accuracy nzuri kwenye passing !!! wachA tuone
Hizo namba(7 na 2001) ulizoweka hapo ziko sahihi kweli?Nimeanza kuangalia mechi za manchester united nikiwa na miaka 7 ya kuzaliwa.
Mwaka 2001.
Bado unanita mamluki?
Sijaelewa dhumuni lakoHizo namba(7 na 2001) ulizoweka hapo ziko sahihi kweli?