Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1674152061967.png
 
Tumedondosha alama mbili juzi ila msimamo wangu ni ule ule. Msimu huu mweupe sana kama tukizichanga karata zetu vizuri tuna nafasi kubwa sana ya kufanya jambo.
Tatizo chama letu linadissapoint Sana kipindi ambacho mashabiki tunakua tumeweka matumaini makubwa, mfano mechi na palace ilikuwa muhimu Sana kushinda. Lakini angalia utoto waliokua wanafanya hovyo kabisa
 
Huwa najiuliza Kama hawa madogo wanaelewa imani tunayokua mayo juu yao
Ujue kusema ukweli ile front line yetu bado hatuna mtu serious anayeweza kukupa kombe. Maana yangu hapa unahitaji mtu mwenye mpira wa kiutu uzima hata kama ana umri mdogo aina ya mchezaji kama Kylian Mbappe.

Rashford, Martial na Antony ukimuondoa Weghorst hao bado kuna muda huoni ile akili ya kikubwa yaani unaweka kando ubinafsi na una-channel akili nzima kucheza kitimu ili kupata matokeo.
 
Back
Top Bottom