verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,150
- 6,256
J'pili Tukutane Emirates wanangu wa #jijiemyu [emoji23]
Ana accuracy nzuri kwenye passing !!! wachA tuone[emoji599] Lisandro Martínez trained today with the squad as a Defensive midfielder. He trained just ahead of AWB/Varane/Shaw/ Malacia #MUFC
Hiyo mechi J2 sio ya majaribio[emoji599] Lisandro Martínez trained today with the squad as a Defensive midfielder. He trained just ahead of AWB/Varane/Shaw/ Malacia #MUFC
Ni DM anaiweza hiyo nafasi ,lakini hatujaona msimu huu akitumika hiyo nafasi,Ana accuracy nzuri kwenye passing !!! wachA tuone
Hizo namba(7 na 2001) ulizoweka hapo ziko sahihi kweli?Nimeanza kuangalia mechi za manchester united nikiwa na miaka 7 ya kuzaliwa.
Mwaka 2001.
Bado unanita mamluki?
Sijaelewa dhumuni lakoHizo namba(7 na 2001) ulizoweka hapo ziko sahihi kweli?
Tatizo chama letu linadissapoint Sana kipindi ambacho mashabiki tunakua tumeweka matumaini makubwa, mfano mechi na palace ilikuwa muhimu Sana kushinda. Lakini angalia utoto waliokua wanafanya hovyo kabisaTumedondosha alama mbili juzi ila msimamo wangu ni ule ule. Msimu huu mweupe sana kama tukizichanga karata zetu vizuri tuna nafasi kubwa sana ya kufanya jambo.
Rashford alitugharimu sana ule mchezo. Muda wote alikuwa anawaza kuweka records.Tatizo chama letu linadissapoint Sana kipindi ambacho mashabiki tunakua tumeweka matumaini makubwa, mfano mechi na palace ilikuwa muhimu Sana kushinda. Lakini angalia utoto waliokua wanafanya hovyo kabisa
Huwa najiuliza Kama hawa madogo wanaelewa imani tunayokua nayo juu yaoRashford alitugharimu sana ule mchezo. Muda wote alikuwa anawaza kuweka records.
Ujue kusema ukweli ile front line yetu bado hatuna mtu serious anayeweza kukupa kombe. Maana yangu hapa unahitaji mtu mwenye mpira wa kiutu uzima hata kama ana umri mdogo aina ya mchezaji kama Kylian Mbappe.Huwa najiuliza Kama hawa madogo wanaelewa imani tunayokua mayo juu yao
Pale mbele garnacho ndio mchezaji pekee ambaye Ana kipaji anajituma na jitihada zake zina positive impact na anaonekana Ana bright future, hawa wengine wana viwango papatu papatu Leo amewaka keshooo ndio flop iliyopitilizaUjue kusema ukweli ile front line yetu bado hatuna mtu serious anayeweza kukupa kombe. Maana yangu hapa unahitaji mtu mwenye mpira wa kiutu uzima hata kama ana umri mdogo aina ya mchezaji kama Kylian Mbappe.
Rashford, Martial na Antony ukimuondoa Weghorst hao bado kuna muda huoni ile akili ya kikubwa yaani unaweka kando ubinafsi na una-channel akili nzima kucheza kitimu ili kupata matokeo.
wachA tuone,,,,kocha wake anamjua vizuri kuliko sisi tangia huko AjaxNi DM anaiweza hiyo nafasi ,lakini hatujaona msimu huu akitumika hiyo nafasi,
So sio mechi ya majaribio
Weghorst alifanya nini siku ile mpaka umuondoe kwenye lawama ?Ujue kusema ukweli ile front line yetu bado hatuna mtu serious anayeweza kukupa kombe. Maana yangu hapa unahitaji mtu mwenye mpira wa kiutu uzima hata kama ana umri mdogo aina ya mchezaji kama Kylian Mbappe.
Rashford, Martial na Antony ukimuondoa Weghorst hao bado kuna muda huoni ile akili ya kikubwa yaani unaweka kando ubinafsi na una-channel akili nzima kucheza kitimu ili kupata matokeo.
Yani hii ni miaka nenda rudi. Kuna msimu tulikuwa na kila nafasi ya kuingia top 4 ila kila mechi ya muhimu tunadondosha points mpaka mechi ya mwisho ndiyo tukampiga Leicester tuka-qualify UCL.Tatizo chama letu linadissapoint Sana kipindi ambacho mashabiki tunakua tumeweka matumaini makubwa, mfano mechi na palace ilikuwa muhimu Sana kushinda. Lakini angalia utoto waliokua wanafanya hovyo kabisa