Bagabeach
JF-Expert Member
- Jun 30, 2021
- 1,409
- 2,935
Mkuu fuentte arsenal ametutangulia na level za kusajili majina ya kina tielemans amevuka
Km usajili wa mwaka huu utalipa, basi na sisi msimu ujao tutaanza kusajili majina makubwa maana tutataka upgrade zaidi sio maintenance
No excuse km kocha wetu ni brilliant basi itabidi a sacrifice baadhi ya mashindano ili tubakize machache ya kuchukua au kupambania
Binafsi natamani nguvu kubwa aiweke kweny EPL na kdg UEFA hizi carabao na fa azipotezee
NB: vini sidhani ataenda arsenal
Km usajili wa mwaka huu utalipa, basi na sisi msimu ujao tutaanza kusajili majina makubwa maana tutataka upgrade zaidi sio maintenance
No excuse km kocha wetu ni brilliant basi itabidi a sacrifice baadhi ya mashindano ili tubakize machache ya kuchukua au kupambania
Binafsi natamani nguvu kubwa aiweke kweny EPL na kdg UEFA hizi carabao na fa azipotezee
NB: vini sidhani ataenda arsenal