Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Heaven na yoro ni CBs wazuri siwez kuwapuuza
Kwani arsenal nje ya gab na saliba mna depth kias gani??
Lakini sio lzm tufanane na arsenal, pia bado tunatengeneza timu nyie mnavuna timu
Unajua kwamba full backs za Arsenal zote timu walizotoka walikua wanacheza km CBs?
Timber, Calafiori, Hincapie, Ben White, Mosquera.. they can all play as CBs na pairing yenu ya Maguire na Heaven cannot match their quality.

Kwa maana nyengine hao wangekua kwenye kikosi chenu wangeanza direct, except kwa Ben White tu ambae kiwango chake lately hakieleweki.. ila hao walobaki wote wanazima km full backs pale Arsenal sababu ya uwepo wa Gabriel na Saliba kwenye maeneo yao.
 
Back
Top Bottom