D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,646
- 121,056
Hii ndio nadhiri pekee ninayoweza kuitimiza.Sisi hatuta athirika na chochote kwa wew kutokukomenti.
Relax
Hii ndio nadhiri pekee ninayoweza kuitimiza.Sisi hatuta athirika na chochote kwa wew kutokukomenti.
Haha! Kumbe hauna habari,nipeni maujanja ya kuhifadhi comment za wabwatukaji....
"nileteeni wan bissaka dhidi ya Arsenal nipate kushuhudia ubabe wa huyo martinelli"
kwa sauti ya Magufuli.
Hapo kidogo umetaja mchezaji.Haha! Kumbe hauna habari,
Martinell atacheza kidogo, kisha anampisha wakuitwa Trossard,
Trossard kama Xaka tu, migoli ya mbali
Sisi winga zetu, zina tabia moja zinatanua uwanja , hivo wana bisaka akienda ,hiyo space anayoacha ndio tunaitaka , hatuna shida na tackling zake ,nipeni maujanja ya kuhifadhi comment za wabwatukaji....
"nileteeni wan bissaka dhidi ya Arsenal nipate kushuhudia ubabe wa huyo martinelli"
kwa sauti ya Magufuli.
Kazi kwakoHamchelewi kubadili I'd [emoji23]
Mwenzenu anawakumbusha[emoji23][emoji23]View attachment 2487978
Mechi ya jana tulicheza ovyo sana...
Utadhani ni genge la wahuni la mitaa ya JANG'OMBE.
Tukienda uwanjani na mentality ile ya jana tutakula goli 3 kavu kavu bila ya ndomu siku ya jumapili
Nimeanza kuangalia mechi za manchester united nikiwa na miaka 7 ya kuzaliwa.Mamluki [emoji23][emoji23]
Man U ipo ktk progress ambayo Arsenane washaimaliza lkn Jumapili Arsenane shinda yke ni sare
Chelsea is buying everyone.