Arsenal tunajua tutamfunga United kwa kigezo kimoja, tutacontrol mchezo kwa zaidi ya 65%. Huwezi kushinda Emirates km huwezi kucontrol mchezo, na united hawezi kucontrol mchezo dhidi ya Arsenal, mechi tuliyocheza OT ilionesha wazi level yenu, mlishinda thru gamestate muda wote tulikuwa tunaichase game kusawazisha goli lakini at the end of the day tukawa exposed.
Huwezi kupack bus Emirates, utakuwa kwenye mazingira ambayo si salama, the atmosphere is behind, technically tuna wachezaji wazuri na structure ya kuunlock these low block teams, bahati mbaya hamuwezi kupossess mpira kwa kukosa technically gifted players kwenye key areas, hivyo mkiwa na mpira tutawapress aggressively tutachukua mpira, kwa jicho langu la kishabiki naona tutashinda 2-0/ 3-1 /3-0, ila sioni united wakishinda Emirates.