Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Arsenal tunajua tutamfunga United kwa kigezo kimoja, tutacontrol mchezo kwa zaidi ya 65%. Huwezi kushinda Emirates km huwezi kucontrol mchezo, na united hawezi kucontrol mchezo dhidi ya Arsenal, mechi tuliyocheza OT ilionesha wazi level yenu, mlishinda thru gamestate muda wote tulikuwa tunaichase game kusawazisha goli lakini at the end of the day tukawa exposed.

Huwezi kupack bus Emirates, utakuwa kwenye mazingira ambayo si salama, the atmosphere is behind, technically tuna wachezaji wazuri na structure ya kuunlock these low block teams, bahati mbaya hamuwezi kupossess mpira kwa kukosa technically gifted players kwenye key areas, hivyo mkiwa na mpira tutawapress aggressively tutachukua mpira, kwa jicho langu la kishabiki naona tutashinda 2-0/ 3-1 /3-0, ila sioni united wakishinda Emirates.
Hongera Sana mkuu kwa uchambuzi wako mzuri, to be honest Manchester kupata alama pale Emirates Ni mtihani mgumu Sana ambayo mafans wa Man Utd wamekataa kukubaliana nao
 
Degea anaogopa ,Flano eti anatuchimba mkwara
IMG-20230119-WA0012.jpg
 
Arsenal tunajua tutamfunga United kwa kigezo kimoja, tutacontrol mchezo kwa zaidi ya 65%. Huwezi kushinda Emirates km huwezi kucontrol mchezo, na united hawezi kucontrol mchezo dhidi ya Arsenal, mechi tuliyocheza OT ilionesha wazi level yenu, mlishinda thru gamestate muda wote tulikuwa tunaichase game kusawazisha goli lakini at the end of the day tukawa exposed.

Huwezi kupack bus Emirates, utakuwa kwenye mazingira ambayo si salama, the atmosphere is behind, technically tuna wachezaji wazuri na structure ya kuunlock these low block teams, bahati mbaya hamuwezi kupossess mpira kwa kukosa technically gifted players kwenye key areas, hivyo mkiwa na mpira tutawapress aggressively tutachukua mpira, kwa jicho langu la kishabiki naona tutashinda 2-0/ 3-1 /3-0, ila sioni united wakishinda Emirates.
Mpira ni mbinu,possession pekee sio mbinu.suala la possession ndio utamaduni wa Asernal siku zote.Ninyi mnasifika kwa jitihada sisi tunasifika kwa matokeo huo ndo utofauti wenu na sisi.
 
nipeni maujanja ya kuhifadhi comment za wabwatukaji....

"nileteeni wan bissaka dhidi ya Arsenal nipate kushuhudia ubabe wa huyo martinelli"
kwa sauti ya Magufuli.
Sisi winga zetu, zina tabia moja zinatanua uwanja , hivo wana bisaka akienda ,hiyo space anayoacha ndio tunaitaka , hatuna shida na tackling zake ,
 
Back
Top Bottom