Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Skieni sasa ..sisi hatuna cha kupoteza tena. Tunasubiri mkae mkao ule wa amza kafia ubalozini tuwanywe mabao ya kutosha. Munekuja geto menyewe, munakuka munashiba alafu munamegwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jinga wewe
 
huyo fred unaemponda Brazil piga ua anaanza na ni favourite wa world cup, mchezaji ambaye mechi 60 anacheza mbaya 5 unaongelea level za world class huwezi wapata 11 unless una hela kama za Man city na PSG wachezaji wanaolipwa na Taifa. Eriksen na uwezo wote aliouonesha toka asajiliwe tayari ameshatimiza mechi 5 alizocheza vibaya na ndo kwanza msimu hata kati bado.

na sijui kama umenielewa hoja yangu vs Rashford jamaa tayari ameshavunja record za Ma legend akiwa na miaka hio, kuna watu wamecheza Man u mamia ya mechi wanafunga kila siku ila vs timu kubwa output yao ni ndogo sana, Rashford ni vice versa yeye vs timu kubwa ndio anafunga zaidi.

na mashabiki wengi ni vigeu geu dakika kadhaa tu mnasahau timu imetoka wapi, imefanikiwa nini na inaelekea wapi, msimu uliopita tulicheza vibaya sana, tulikuwa na striker anafunga magoli alikaribia kuwa top scorer kabisa lakini as a team tulikuwa ovyo, ila kocha mpya amekuja na hili ni tatizo la kwanza kulifanyia kazi, tucheze kitimu zaidi, akaamua striker wake atakuwa ni hard worker zaidi kuliko mmaliziaji, unaweza ukaona sasa hivi timu haifungi ila ukamsajili huyo unayeona atafunga ikawa unaharibu timu zaidi.

kwa nilivyomuelewa ETH kuna uwezekano asije striker sio January tu hata dirisha kubwa anaweza asije na badala yake akaja Gakpo ambaye ni winger mould hizo hizo za kina Rashford. ipo benefit ya kucheza na wachezaji watatu ama wanne mbele ambao wote ni hard workers, just mechi iliopita ya spurs umeona mziki wake, na hata leo tulikuwa hatuna nguvu kama spurs ila tuliwadhibiti vizuri tu,
Sababu ya kuanza kwenye national team sio sababu bro hata Pogba alikuwa anaanza national team ya ufaransa na Hadi kubeba world cup Ila alikuwa hapendwi United.


Jengeni hoja nje ya kuanza kwenye national team
 
Under ETH kuna development kubwa Sana ndani ya team, kuanzia uchezaji,organization, , pressing, mentality n.k !!!!

Wako wapi wale washenzi waliosema Casemiro haendani na kasi ya EPL ? Nadhan mmemuona kwenye hizi game mbili,,,

Vs Spurs
Vs Chelsea ,,,,

Trust the process,,,,

#GGMU
 
Nyie manyumbu mnaona raha kuchomoa mkisha chomekwa
naona kuna mtu alikuwa anashangia kuchomoa au alikuwa anasikiliziq utamu
 
Mkuu chagua moja huwezi kusupport pande zote ni aidha Ronaldo kakosea au Ten hag kakosea kumuadhibu ronaldo.

Mambo ya kusema unaunga mkono japo hau support upuuz huo ni undumila7 kuwili.
Pale OT sio kesi ya Ronald tu, hata Rashford ikitokea amekuja stricker matata atakaa bench tu.

Ten Hag yupo sahihi....na nadhani itatakiwa cr7 akae bench mechi za kutosha...aende akafanye mazoez pekeake huko anapopajua yeye.

Si mnaona hata mazoez, au warm-up anafanya pekeake?

Ten Hag alisoma sababu za makocha wazoef vya kutosha (vanguard, morinyo, RR) kuishindwa hii club.

Aligundua Nina hakika aliona Pogba, martial na wengine walikuwa na viburi vya hovyo. Atakuwa ameona ni upuuzi mkubwa.
 
Humu baada ya kujadili timu iuzwe mgawane hela mnajadili upuuzi tu
nyie kweli manyumbu
mna D nyingi kama Mia Khalifa
 
Its not the size of the dog in the fight, it’s the size of the fight in the dog”
1666520580913.png
 
Its not the size of the dog in the fight, it’s the size of the fight in the dog”
View attachment 2395427
Uyo jamaa beki kuna mpira mmoja jana nakumbuka Kuna mchezaji wa Chelsea aliweka mguu ila yey akaweka kichwa na aka win mpira kabisa afu ana uwezo mkubwa sana wa kupiga pass kitu kingine sio moga kabisa ananikumbusha nemanja vidic japo Kuna vitu wametofautiano ila this man ni mtu na nusu
 
Sababu ya kuanza kwenye national team sio sababu bro hata Pogba alikuwa anaanza national team ya ufaransa na Hadi kubeba world cup Ila alikuwa hapendwi United.


Jengeni hoja nje ya kuanza kwenye national team
Sidhani kama pogba hapendwi sababu ni mchezaji mbaya, na sio kwamba ameondoka man U sababu hana level za kucheza Man u.

Pogba ameondoka man U sababu alikuwa anataka Mshahara mkubwa,na Hapendwi sababu ya drama zake, Agent wake, majeruhi etc. Wote tunajua full fit pogba ni world class.

Just Mechi ya Juzi spurs, mfumo tuliocheza, sababu spurs hawapress highline (zipo timu nyingi Epl kama hivi) tulinchezesha Fred kuwapress kule kule kwao, toka Aje ETH pengine toka Mechi ya leeds mwaka jana Man united haijawahi cheza mpira mzuri kama vs Spurs. Huu mfumo hauwezekani kuchezeka bila Fred, Ama assume wewe ndio Kocha kwa midfield zetu za sasa Mtoe Fred utampanga nani kupress mbele? Mc tominay?, Eriksen? Casemiro? Achana na United, muuze fred unamnunua nani kumreplace Fred ambaye atakua na Quality zaidi ya Fred?

Hizi pressing stats za Fred vs Spurs alifanya kazi ya watu 3.

8nd6rku1fbv91.jpg


Kwenye Timu unahitaji Quality mbalimbali, kila mechi ina approach yake na quality fulani inafit mechi fulani.
 
Back
Top Bottom