adriz de mbusii
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 16,787
- 37,793
Goli ya kuchoma Casemiro kashangilia kihasira na hisia kali sana mpaka kama anataka kulia.
Ile presha ya kutafuta goli la kusawazisha ingetumika kipindi cha kwanza hizi kenge za darajani zisingekuja kutupigia makelele humu.Goli ya kuchoma Casemiro kashangilia kihasira na hisia kali sana mpaka kama anataka kulia.
Sanaa... Mpaka sasa rashford nadhani yupo ni kwa sababu ya uingereza wake tu otherwise i don't see him in first eleven
Ndio goli lake la kwanza utd pia goli muhimu sanaGoli ya kuchoma Casemiro kashangilia kihasira na hisia kali sana mpaka kama anataka kulia.
Jinga weweSkieni sasa ..sisi hatuna cha kupoteza tena. Tunasubiri mkae mkao ule wa amza kafia ubalozini tuwanywe mabao ya kutosha. Munekuja geto menyewe, munakuka munashiba alafu munamegwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inahitaji moyo wa pekee kuitazama Man U ikicheza...
Game ilikua yetu hiiView attachment 2394969
Sababu ya kuanza kwenye national team sio sababu bro hata Pogba alikuwa anaanza national team ya ufaransa na Hadi kubeba world cup Ila alikuwa hapendwi United.huyo fred unaemponda Brazil piga ua anaanza na ni favourite wa world cup, mchezaji ambaye mechi 60 anacheza mbaya 5 unaongelea level za world class huwezi wapata 11 unless una hela kama za Man city na PSG wachezaji wanaolipwa na Taifa. Eriksen na uwezo wote aliouonesha toka asajiliwe tayari ameshatimiza mechi 5 alizocheza vibaya na ndo kwanza msimu hata kati bado.
na sijui kama umenielewa hoja yangu vs Rashford jamaa tayari ameshavunja record za Ma legend akiwa na miaka hio, kuna watu wamecheza Man u mamia ya mechi wanafunga kila siku ila vs timu kubwa output yao ni ndogo sana, Rashford ni vice versa yeye vs timu kubwa ndio anafunga zaidi.
na mashabiki wengi ni vigeu geu dakika kadhaa tu mnasahau timu imetoka wapi, imefanikiwa nini na inaelekea wapi, msimu uliopita tulicheza vibaya sana, tulikuwa na striker anafunga magoli alikaribia kuwa top scorer kabisa lakini as a team tulikuwa ovyo, ila kocha mpya amekuja na hili ni tatizo la kwanza kulifanyia kazi, tucheze kitimu zaidi, akaamua striker wake atakuwa ni hard worker zaidi kuliko mmaliziaji, unaweza ukaona sasa hivi timu haifungi ila ukamsajili huyo unayeona atafunga ikawa unaharibu timu zaidi.
kwa nilivyomuelewa ETH kuna uwezekano asije striker sio January tu hata dirisha kubwa anaweza asije na badala yake akaja Gakpo ambaye ni winger mould hizo hizo za kina Rashford. ipo benefit ya kucheza na wachezaji watatu ama wanne mbele ambao wote ni hard workers, just mechi iliopita ya spurs umeona mziki wake, na hata leo tulikuwa hatuna nguvu kama spurs ila tuliwadhibiti vizuri tu,
Kwa sasa hapana acha uongo
wala kushambuliaMc Tominey si mzuri kuzuia
Pale OT sio kesi ya Ronald tu, hata Rashford ikitokea amekuja stricker matata atakaa bench tu.Mkuu chagua moja huwezi kusupport pande zote ni aidha Ronaldo kakosea au Ten hag kakosea kumuadhibu ronaldo.
Mambo ya kusema unaunga mkono japo hau support upuuz huo ni undumila7 kuwili.
Uyo jamaa beki kuna mpira mmoja jana nakumbuka Kuna mchezaji wa Chelsea aliweka mguu ila yey akaweka kichwa na aka win mpira kabisa afu ana uwezo mkubwa sana wa kupiga pass kitu kingine sio moga kabisa ananikumbusha nemanja vidic japo Kuna vitu wametofautiano ila this man ni mtu na nusuIts not the size of the dog in the fight, it’s the size of the fight in the dog”
View attachment 2395427
Mimi hii ndiyo ndoto yangu huyu dogo anaweza sanaNatamani Garnacho awe anapewa hata dakika 15 za kipindi cha pili.
Huyu dogo kuna kitu miguuni anacho, anatakiwa aanze kupewa nafasi kama Carvalho wa Liverpool, huenda akatusaidia kuliko hawa kina Rashidi.
Sidhani kama pogba hapendwi sababu ni mchezaji mbaya, na sio kwamba ameondoka man U sababu hana level za kucheza Man u.Sababu ya kuanza kwenye national team sio sababu bro hata Pogba alikuwa anaanza national team ya ufaransa na Hadi kubeba world cup Ila alikuwa hapendwi United.
Jengeni hoja nje ya kuanza kwenye national team