Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tunatoa draw ya 5 mfululizo na hawa cheltako aise.View attachment 2394992
Ile nguvu iliyotumika kusawazisha goli ndani ya dakika 5 laiti ingetumika kipindi cha kwanza tusingeongelea habari ya draw na hawa kenge.
Wachezaji waliingia uwanjani na mentality ya kutoa sare ndio maana hata walipokua wanaingia ndani ya box walikua wanacheza mdako halafu wanarudisha mpira nyuma, hata wakipata kona wanafanya upuuzi uleule tu.
 
HIi manjestaa bila cr7 kwa kweli sion kama kuna sehemu mutatoboa popote pale. Maana kama jana mumeupiga mwingi na mumeshindwa maliza game mapema nyie bado ni takataka tu na cr7 angekuwepo basi mungeongea mengine leo. Huyu kipara wenu anajikuta sijui mambo ya nidhamu wakati anajua kabisa uwezo wa cr7 siyo wa kawaida. Huyu siyo muchezaji wa kuingizwa dkk ya 80 huyu anapaswa kukipiga mwanzo mwisho. Hii manjestaa itagawanyika na kupoteana kama cr7 hatocheza timu kubwa.
 
Sema nyie matakataka bado ni matakataka tu muna timu dhaifu sana. Maana jana tumeweka kikosi B lakini mumeshindwa kufua dafu🤥🤥🤥
 
Ile nguvu iliyotumika kusawazisha goli ndani ya dakika 5 laiti ingetumika kipindi cha kwanza tusingeongelea habari ya draw na hawa kenge.
Wachezaji waliingia uwanjani na mentality ya kutoa sare ndio maana hata walipokua wanaingia ndani ya box walikua wanacheza mdako halafu wanarudisha mpira nyuma, hata wakipata kona wanafanya upuuzi uleule tu.
Uwezo ndio umeishia pale wewe nyumbu ..hakuna nguvu yeyote ilitumika pale, ni butua butua zenu tu mukabahatisha kusawazisha
 
huyo fred unaemponda Brazil piga ua anaanza na ni favourite wa world cup, mchezaji ambaye mechi 60 anacheza mbaya 5 unaongelea level za world class huwezi wapata 11 unless una hela kama za Man city na PSG wachezaji wanaolipwa na Taifa. Eriksen na uwezo wote aliouonesha toka asajiliwe tayari ameshatimiza mechi 5 alizocheza vibaya na ndo kwanza msimu hata kati bado.

na sijui kama umenielewa hoja yangu vs Rashford jamaa tayari ameshavunja record za Ma legend akiwa na miaka hio, kuna watu wamecheza Man u mamia ya mechi wanafunga kila siku ila vs timu kubwa output yao ni ndogo sana, Rashford ni vice versa yeye vs timu kubwa ndio anafunga zaidi.

na mashabiki wengi ni vigeu geu dakika kadhaa tu mnasahau timu imetoka wapi, imefanikiwa nini na inaelekea wapi, msimu uliopita tulicheza vibaya sana, tulikuwa na striker anafunga magoli alikaribia kuwa top scorer kabisa lakini as a team tulikuwa ovyo, ila kocha mpya amekuja na hili ni tatizo la kwanza kulifanyia kazi, tucheze kitimu zaidi, akaamua striker wake atakuwa ni hard worker zaidi kuliko mmaliziaji, unaweza ukaona sasa hivi timu haifungi ila ukamsajili huyo unayeona atafunga ikawa unaharibu timu zaidi.

kwa nilivyomuelewa ETH kuna uwezekano asije striker sio January tu hata dirisha kubwa anaweza asije na badala yake akaja Gakpo ambaye ni winger mould hizo hizo za kina Rashford. ipo benefit ya kucheza na wachezaji watatu ama wanne mbele ambao wote ni hard workers, just mechi iliopita ya spurs umeona mziki wake, na hata leo tulikuwa hatuna nguvu kama spurs ila tuliwadhibiti vizuri tu,
Sababu ya kuanza kwenye national team sio sababu bro hata Pogba alikuwa anaanza national team ya ufaransa na Hadi kubeba world cup Ila alikuwa hapendwi United.


Jengeni hoja nje ya kuanza kwenye national team
 
Under ETH kuna development kubwa Sana ndani ya team, kuanzia uchezaji,organization, , pressing, mentality n.k !!!!

Wako wapi wale washenzi waliosema Casemiro haendani na kasi ya EPL ? Nadhan mmemuona kwenye hizi game mbili,,,

Vs Spurs
Vs Chelsea ,,,,

Trust the process,,,,

#GGMU
 
Nyie manyumbu mnaona raha kuchomoa mkisha chomekwa
naona kuna mtu alikuwa anashangia kuchomoa au alikuwa anasikiliziq utamu
 
Mkuu chagua moja huwezi kusupport pande zote ni aidha Ronaldo kakosea au Ten hag kakosea kumuadhibu ronaldo.

Mambo ya kusema unaunga mkono japo hau support upuuz huo ni undumila7 kuwili.
Pale OT sio kesi ya Ronald tu, hata Rashford ikitokea amekuja stricker matata atakaa bench tu.

Ten Hag yupo sahihi....na nadhani itatakiwa cr7 akae bench mechi za kutosha...aende akafanye mazoez pekeake huko anapopajua yeye.

Si mnaona hata mazoez, au warm-up anafanya pekeake?

Ten Hag alisoma sababu za makocha wazoef vya kutosha (vanguard, morinyo, RR) kuishindwa hii club.

Aligundua Nina hakika aliona Pogba, martial na wengine walikuwa na viburi vya hovyo. Atakuwa ameona ni upuuzi mkubwa.
 
Back
Top Bottom