Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama mnavojionea mzoga wa Liverpool unavopita mbele yenu, nanyi pia zamu yenu inakuja.

Chelsea tunakwenda kuwabandua
 
Kuna watu wanashangaza sana mkuu. Pengine kuna watu hawataki kusikia wala kuamini kuwa Ronaldo wa leo sio yule wa juzi wala wa jana. Wanataka apangwe tu kwenye timu kwakuwa ni 'Ronaldo'.

Wanaishi kwa historia ya miaka ya nyuma.

In fact jamaa kwa sasa sioni kama anaweza kuwa na msaada kwenye timu tena.
 
Muda wa mtu kupapaswa.
Screenshot_20221022-173133.jpg
 
Kuna mtu nilimwambia ile performance ya man u dhidi ya Spurs inabidi asubiri mech kama 3 aone Kama itajirudia Ndio ahakikishe Man u imeimarika

Hata Tuchel alikuwa na mpira wa ovyo Sana msimu huu, Lakini alipocheza na Spurs , Wana Chelsea wengi waliamin Sasa Chelsea imerejea ,baada ya ile mech Tuchel aliendelea kucheza ovyo had akatimuliwa.

Leo Roy Keane kaongea kitu nilichokuwa nakifikiria


Roy Keane: “Everyone was saying after the Spurs game it was Manchester United’s best performance in years. Absolute rubbish. Spurs were terrible.” [sky] #mufc
 
Ila mashabiki tunazingua sana asee sometimes hatujui tunataka nini. Tulikua tunalia lia Ole mpole kina Pogba anawachekea leo kaja kocha anawajibisha wajinga mnakasirika tenaa, yani mnataka timu iwe mchezaji anaamua tu analotaka kisa ni mkubwa??

Mimi nimemtetea sana Ronaldo lakini kwa mchezo tunaocheza sasa hivi hatoshi!! Yes anaweza kufunga sana tu ikiwa timu itaamua akae tu mbele ila kama tunataka kutengeneza timu ya kupress wachezaji wote kuanzia mbele wakabe hawezi kucheza huo ndo ukweli.
Inauma kumuona benchi ila mda asee mdaaaa umemtupa mkono.
 
Nyie mambanga leo tuwanywe ngapi?
Acheni kujifanya amjui kaa leo mnaliwa.🤣🤣🤣
 
Skieni sasa ..sisi hatuna cha kupoteza tena. Tunasubiri mkae mkao ule wa amza kafia ubalozini tuwanywe mabao ya kutosha. Munekuja geto menyewe, munakuka munashiba alafu munamegwa🤣🤣🤣🤣
 
Kuna mdau alisema, Chelsea wana matobo mengi

Tactically ni kweli
Hapa naona ushindi kwenu au draw

Deep inside
Wanangu nyumbu, nipigieni hizi kenge za London
 
Kuna mdau alisema, Chelsea wana matobo mengi

Tactically ni kweli
Hapa naona ushindi kwenu au draw

Deep inside
Wanangu nyumbu, nipigieni hizi kenge za London
Cheki hii takataka la arse8 tukimaliza kuwapakata hawa mabasha zako basi mujiandae na nyie maana ukuni utatembezwa na kwenu pia😡😡😡
 
Kuna mtu anaweza kunisaidia hapa.."Hivi kwa nini Fred hajaanza" kiwango cha mechi iliyopita kilikuwa cha dunia nyingine na ikawa gumzo dunia nzima leo anaanzia benchi!!!! Na Sancho alikuwa na mechi mbovu sana kwa nini ameanza!!!!!!
 
Kuna mtu nilimwambia ile performance ya man u dhidi ya Spurs inabidi asubiri mech kama 3 aone Kama itajirudia Ndio ahakikishe Man u imeimarika

Hata Tuchel alikuwa na mpira wa ovyo Sana msimu huu, Lakini alipocheza na Spurs , Wana Chelsea wengi waliamin Sasa Chelsea imerejea ,baada ya ile mech Tuchel aliendelea kucheza ovyo had akatimuliwa.

Leo Roy Keane kaongea kitu nilichokuwa nakifikiria


Roy Keane: “Everyone was saying after the Spurs game it was Manchester United’s best performance in years. Absolute rubbish. Spurs were terrible.” [sky] #mufc
Tuchel sio kocha, halafu hayo ni maoni yenu wewe na Roy binafsi improvement naiona kuanzia mchezaji mmoja mmoja, technical bench na timu kwa ujumla
 
Back
Top Bottom