Ukimuondoa City msimu huu hizo nafasi tatu hazina mwenyewe ila moja ya timu ninayoipa nafasi kubwa sana ni NU.Nawaona Newcastle United pamoja na Eddie Howe nafasi ya nne msimu huu.
Hawa jamaa wapo organized vizuri sana msimu huu kuanzia uongozi wa juu mpaka technical staffs.





