Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nawaona Newcastle United pamoja na Eddie Howe nafasi ya nne msimu huu.
Ukimuondoa City msimu huu hizo nafasi tatu hazina mwenyewe ila moja ya timu ninayoipa nafasi kubwa sana ni NU.

Hawa jamaa wapo organized vizuri sana msimu huu kuanzia uongozi wa juu mpaka technical staffs.
 
Ukimuondoa City msimu huu hizo nafasi tatu hazina mwenyewe ila moja ya timu ninayoipa nafasi kubwa sana ni NU.

Hawa jamaa wapo organized vizuri sana msimu huu kuanzia uongozi wa juu mpaka technical staffs.
NU naona upepo upo upande wao leo comte kazi ni kukuna kidevu tu
 
-2-1 win against Liverpool
-3-1 win against Arsenal
-2-0 win against Spurs
-1-1 draw with Chelsea.

Erik ten Hag has proved that he’s the man for the big occasions.

#GlazerOUT
#GGMU

manutd
IMG_20221023_234830_299.jpg
 
Ajax director Edwin Van der Sar on Manchester United links: “It's never been that close”, tells The Times.

“I’ve a good relationship with Man United board and I had a fantastic six years in Manchester, but I'm not finished here [at Ajax] yet”.

#GlazerOUT
#GGMU

manutd
 
Uyo jamaa beki kuna mpira mmoja jana nakumbuka Kuna mchezaji wa Chelsea aliweka mguu ila yey akaweka kichwa na aka win mpira kabisa afu ana uwezo mkubwa sana wa kupiga pass kitu kingine sio moga kabisa ananikumbusha nemanja vidic japo Kuna vitu wametofautiano ila this man ni mtu na nusu
NEMANJA VIDIC 100%
 
Ile nguvu iliyotumika kusawazisha goli ndani ya dakika 5 laiti ingetumika kipindi cha kwanza tusingeongelea habari ya draw na hawa kenge.
Wachezaji waliingia uwanjani na mentality ya kutoa sare ndio maana hata walipokua wanaingia ndani ya box walikua wanacheza mdako halafu wanarudisha mpira nyuma, hata wakipata kona wanafanya upuuzi uleule tu.
Mshukuru Mungu mlipata hata draw Nyumbu FC.

Varane aliona taabu ya nini? Bora tu kujivunja shingo. Maana alikuwa anaelekea kuaibika.

Kama mmeshindwa kuifunga chelsea hii, nyie ni matakataka wallah.
 
Back
Top Bottom