Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu kocha apewe muda, timu imeanza kucheza kitimu sasa.
Kuna mashabiki wenzetu wanadai aangaliwe kwa vile tu ametoa adhabu kwa Ronaldo akiwa kwenye harakati za kujenga nidhamu.
Wanasahau kwamba hapa Duniani msingi wa kila aina ya mafanikio ni NIDHAMU.

Timu yetu inacheza vizuri sana chini ya EtH, unaona kabisa ari, muunganiko na hamasa waliyonayo wachezaji. Wote wanajuana na kuelewana, leo nimeona kitu ambacho sijawahi kukiona tangu Sir AF astaafu.

Timu kwa sasa inamhitaji mtu mwenye uchu wa kufunga magoli, kimsingi tunahitaji 'Haaland' wetu.
 
Kuna ufala mwingi sana ulikua unafanyika kipindi cha kwanza.
Hii game ilitakiwa iwe imemalizika mapema sana ndani ya dakika 45 za kipindi cha kwanza ila naona wachezaji wetu waliingia uwanjani na mentality ya kutoka sare.
Sanaa... Mpaka sasa rashford nadhani yupo ni kwa sababu ya uingereza wake tu otherwise i don't see him in first eleven
 
Tunatoa draw ya 5 mfululizo na hawa cheltako aise.
20221022_205207.jpg
 
Rashford ana Consistency angalia kwa jicho jengine. Mechi zote hizi kubwa kina Liver, Arsenal, Spurs ambazo tumeshinda ni key player. Kikosi kikiwa kikubwa kila mchezaji atakua na role yake.
Chief sikuiona hii comment yako ila ukweli unafahamu vizuri kwamba yule dogo sio mchezaji wa kumtegea asilimia 100.

Wewe Chief mimi nakuonaga ni kama mzazi anayemtetea mtoto wake mvuta bangi mbele za watu ila ndani ya nafsi yako unajua kabisa hili toto chenga tu.
 
Manchester united ndo timu pekee tulio malizana na big 5 wote wakubwa watu walitaka kujua ten hag anaweza kutoboa hapa na ugeni wake.

Jamaa kawa prove wrong tumepoteza dhidi ya city tu.

Naona ten kumi akiendelea kupika vitu vyake.
1662354817744.jpg
 
Kuna mashabiki maandazi watakuja hapa kumtukana 10 hag kwa draw ya leo..

Ofcoz tulistahili kushinda lakini ni game ya pili mfululizo tunapres sana,na timu ipo strong hasa kiungo,eneo lililotutesa miaka mingi.

Nadhani kama Ronaldo angeondoka tangu July huenda tungepata striker wa kueleweka,na ndo kazi kubwa ya Ten hag kwa January,asimtegemee saana Martial tia maji.

Trust the process,tunacheza mpira unaonekana,basi tu kule mbele hasa upande wa kushoto kuna utoto mwingi wa Sancho.
 
Sanaa... Mpaka sasa rashford nadhani yupo ni kwa sababu ya uingereza wake tu otherwise i don't see him in first eleven
Natamani Garnacho awe anapewa hata dakika 15 za kipindi cha pili.
Huyu dogo kuna kitu miguuni anacho, anatakiwa aanze kupewa nafasi kama Carvalho wa Liverpool, huenda akatusaidia kuliko hawa kina Rashidi.
 
Huyu ten hag hatofika mbali ni lazima tukubali kwanza Ronaldo ana mafanikio makubwa kuliko yeye kwenye mpira wa miguu anastahili heshima kilichopo pale wala sio kiwango cha Ronaldo but ni chuki binafsi .Tujifunze kuthamini kazi kubwa walizofanya watu mpk wakafika walipo bila kuwachukia
We ni boya kama hao kina Rio.

Ronaldo ameshaisha. Akiwa uwanjani hakuna anachofanya. Amewekwa benchi anaambiwa aingie sub anakataa.

Yeye ni nani kama si mpumbavu? Unaambiwaje na kocha uingie unakataa?

Kama ni star sana mbona ametaka kuondoka na hakuna wa kumchukua?

Acheni ujinga nyie fans wa Ronaldo.
 
Back
Top Bottom