Sure thing.Fair play ,mmecheza vzr ,timu yenu Sasa Kuna mwanga unaonekana
Mechi mneimaliza dk 45 tu, Potter akashtuka akafanya sub
Man u bila ronaldo wanacheza vzr sana
Wachezaji wengi hasa mabeki wamezoea kufanya huu upumbavu sijui maana yake nini?Wala sio ya mchongo, ule ni upuuzi wa wazi alioufanya McTominay ndani ya box.
Mimi ningekua refa ningemlima umeme kabisa ili siku nyingine bhangi zake asiwe anazileta uwanjani.
Watu wa dizain hiyo Haji Manara huwa anawaita machale, Watu wapo serious wao wanaleta uchale, huwa wanaicost sn timu.Sanaa... Mpaka sasa rashford nadhani yupo ni kwa sababu ya uingereza wake tu otherwise i don't see him in first eleven
Sancho na Fernandez hua wana kawaida ya kupokezana ujinga.Lingard is better than Sancho.
Chief sikuiona hii comment yako ila ukweli unafahamu vizuri kwamba yule dogo sio mchezaji wa kumtegea asilimia 100.Rashford ana Consistency angalia kwa jicho jengine. Mechi zote hizi kubwa kina Liver, Arsenal, Spurs ambazo tumeshinda ni key player. Kikosi kikiwa kikubwa kila mchezaji atakua na role yake.
Yule anaeposti msimamo wa ligi hayupo siku hizi?Manchester united ndo timu pekee tulio malizana na big 5 wote wakubwa watu walitaka kujua ten hag anaweza kutoboa hapa na ugeni wake.
Jamaa kawa prove wrong tumepoteza dhidi ya city tu.
Naona ten kumi akiendelea kupika vitu vyake.
View attachment 2394996
Natamani Garnacho awe anapewa hata dakika 15 za kipindi cha pili.Sanaa... Mpaka sasa rashford nadhani yupo ni kwa sababu ya uingereza wake tu otherwise i don't see him in first eleven
Kwa sbb ipi Ten Hag atukwanwe? Sijui tulichelewa wapi kumleta mapema ila msimu wa 23/24 lazima tufungue champagne ya EPL.Kuna mashabiki maandazi watakuja hapa kumtukana 10 hag kwa draw ya leo..
We ni boya kama hao kina Rio.Huyu ten hag hatofika mbali ni lazima tukubali kwanza Ronaldo ana mafanikio makubwa kuliko yeye kwenye mpira wa miguu anastahili heshima kilichopo pale wala sio kiwango cha Ronaldo but ni chuki binafsi .Tujifunze kuthamini kazi kubwa walizofanya watu mpk wakafika walipo bila kuwachukia
Rashford sio mchezaji wa kumtegemea .Chief sikuiona hii comment yako ila ukweli unafahamu vizuri kwamba yule dogo sio mchezaji wa kumtegea asilimia 100.
Wewe Chief mimi nakuonaga ni kama mzazi anayemtetea mtoto wake mvuta bangi mbele za watu ila ndani ya nafsi yako unajua kabisa hili toto chenga tu.
Rafaela Pimenta tells Sky Sport: “Release clause for Haaland? I can’t comment about that. He’s really top, top guy. His father is the secret”Kuna mashabiki wenzetu wanadai aangaliwe kwa vile tu ametoa adhabu kwa Ronaldo akiwa kwenye harakati za kujenga nidhamu.
Wanasahau kwamba hapa Duniani msingi wa kila aina ya mafanikio ni NIDHAMU.
Timu yetu inacheza vizuri sana chini ya EtH, unaona kabisa ari na, muunganiko na hamasa waliyonayo wachezaji. Wote wanajuana na kuelewana, leo nimeona kitu ambacho sijawahi kikiona tangu Sir AF astaafu.
Timu kwa sasa inamhitaji mtu mwenye uchu wa kufunga magoli, kimsingi tunahitaji 'Haaland' wetu.

Ningekuwa Tenhag ronaldo asingecheza milele chini yangu. Yani milele asingeingia uwanjani milele.Hii Hali ilitukuta Arsenal kipind Arteta ameamua kuwafurumusha Auba na Ozil, alipokea maneno mengi ,Lakini alisamama na msimamo wake
Tena Ten hag naona ana kahuruma kiasi, nimeona sehemu eti aombe msamaha ,huyu alitakiwa asicheze Tena Hadi akimbie mwenyewe ,huyu kwa kosa lile la kwanza ,na Lile la preseason ilitakiwa hata mech za Europa asiguse ,apigishwe warm up halafu anarudisha bench
Auba na Ozil wanaelewa kilichowakuta , hata carabao walikuwa hawachezi, na kila week wanawekewa £350k , had Auba akaenda kupiga magoti kwa Rais was Barca asajiriwe ,
Ronaldo amshukuru Ten hag hata Europa anacheza,kwa matukio yake yakujifanya mkubwa kuliko klabu ,alitakiwa aminywe iwe fundisho .
Mjinga ni wewe na huyo Ronaldo wako.Si kweli kwamba CR7 ameisha kihivyo, huyu ETH naomba nae aangaliwe sana,
Man U mashabik tumekuwa wajinga sana