Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tunatoa draw ya 5 mfululizo na hawa cheltako aise.
20221022_205207.jpg
 
Rashford ana Consistency angalia kwa jicho jengine. Mechi zote hizi kubwa kina Liver, Arsenal, Spurs ambazo tumeshinda ni key player. Kikosi kikiwa kikubwa kila mchezaji atakua na role yake.
Chief sikuiona hii comment yako ila ukweli unafahamu vizuri kwamba yule dogo sio mchezaji wa kumtegea asilimia 100.

Wewe Chief mimi nakuonaga ni kama mzazi anayemtetea mtoto wake mvuta bangi mbele za watu ila ndani ya nafsi yako unajua kabisa hili toto chenga tu.
 
Manchester united ndo timu pekee tulio malizana na big 5 wote wakubwa watu walitaka kujua ten hag anaweza kutoboa hapa na ugeni wake.

Jamaa kawa prove wrong tumepoteza dhidi ya city tu.

Naona ten kumi akiendelea kupika vitu vyake.
1662354817744.jpg
 
Kuna mashabiki maandazi watakuja hapa kumtukana 10 hag kwa draw ya leo..

Ofcoz tulistahili kushinda lakini ni game ya pili mfululizo tunapres sana,na timu ipo strong hasa kiungo,eneo lililotutesa miaka mingi.

Nadhani kama Ronaldo angeondoka tangu July huenda tungepata striker wa kueleweka,na ndo kazi kubwa ya Ten hag kwa January,asimtegemee saana Martial tia maji.

Trust the process,tunacheza mpira unaonekana,basi tu kule mbele hasa upande wa kushoto kuna utoto mwingi wa Sancho.
 
Sanaa... Mpaka sasa rashford nadhani yupo ni kwa sababu ya uingereza wake tu otherwise i don't see him in first eleven
Natamani Garnacho awe anapewa hata dakika 15 za kipindi cha pili.
Huyu dogo kuna kitu miguuni anacho, anatakiwa aanze kupewa nafasi kama Carvalho wa Liverpool, huenda akatusaidia kuliko hawa kina Rashidi.
 
Huyu ten hag hatofika mbali ni lazima tukubali kwanza Ronaldo ana mafanikio makubwa kuliko yeye kwenye mpira wa miguu anastahili heshima kilichopo pale wala sio kiwango cha Ronaldo but ni chuki binafsi .Tujifunze kuthamini kazi kubwa walizofanya watu mpk wakafika walipo bila kuwachukia
We ni boya kama hao kina Rio.

Ronaldo ameshaisha. Akiwa uwanjani hakuna anachofanya. Amewekwa benchi anaambiwa aingie sub anakataa.

Yeye ni nani kama si mpumbavu? Unaambiwaje na kocha uingie unakataa?

Kama ni star sana mbona ametaka kuondoka na hakuna wa kumchukua?

Acheni ujinga nyie fans wa Ronaldo.
 
Kuna mashabiki wenzetu wanadai aangaliwe kwa vile tu ametoa adhabu kwa Ronaldo akiwa kwenye harakati za kujenga nidhamu.
Wanasahau kwamba hapa Duniani msingi wa kila aina ya mafanikio ni NIDHAMU.

Timu yetu inacheza vizuri sana chini ya EtH, unaona kabisa ari na, muunganiko na hamasa waliyonayo wachezaji. Wote wanajuana na kuelewana, leo nimeona kitu ambacho sijawahi kikiona tangu Sir AF astaafu.

Timu kwa sasa inamhitaji mtu mwenye uchu wa kufunga magoli, kimsingi tunahitaji 'Haaland' wetu.
Rafaela Pimenta tells Sky Sport: “Release clause for Haaland? I can’t comment about that. He’s really top, top guy. His father is the secret”

…but yes, release clause is there — valid from 2024 for €200m.
 
TenHag akipewa muda kama aliopewa Ole natumai ataleta mafanikio makubwa coz naona timu inacheza kitimu na hana kulea wachezaji wakizungua ,kapiga benchi Maguire , Ronaldo ,Elanga alikuwa anampa nafasi ya kuanza naye alipozidisha utoto sasa yuko benchi.

Akifanya marekebisho katika kikosi akapata players anaowataka na kuwa na kikosi kipana huyu kocha ataifikisha timu mbali.
 
Hii Hali ilitukuta Arsenal kipind Arteta ameamua kuwafurumusha Auba na Ozil, alipokea maneno mengi ,Lakini alisamama na msimamo wake

Tena Ten hag naona ana kahuruma kiasi, nimeona sehemu eti aombe msamaha ,huyu alitakiwa asicheze Tena Hadi akimbie mwenyewe ,huyu kwa kosa lile la kwanza ,na Lile la preseason ilitakiwa hata mech za Europa asiguse ,apigishwe warm up halafu anarudisha bench

Auba na Ozil wanaelewa kilichowakuta , hata carabao walikuwa hawachezi, na kila week wanawekewa £350k , had Auba akaenda kupiga magoti kwa Rais was Barca asajiriwe ,

Ronaldo amshukuru Ten hag hata Europa anacheza,kwa matukio yake yakujifanya mkubwa kuliko klabu ,alitakiwa aminywe iwe fundisho .
Ningekuwa Tenhag ronaldo asingecheza milele chini yangu. Yani milele asingeingia uwanjani milele.

Hao wanaopiga kelele waanzishe timu zao wamuweke ronaldo awape makombe.
 
Back
Top Bottom