

siyo kila mwenye upara ni Kocha wengine madalali tu 







Alitaka tufungwe ....
Unajiuliza tominay alikuwa anafikiria nini unashindwa kuelewa kabisa.
Inashangaza kwa kweli
Unajiuliza tominay alikuwa anafikiria nini unashindwa kuelewa kabisa.
Atakuwa ka bet
Unajiuliza tominay alikuwa anafikiria nini unashindwa kuelewa kabisa.
Kuna ufala mwingi sana ulikua unafanyika kipindi cha kwanza.Fairly man utd deserved a win for this match ni ujinga wa vijana wachache tu kujichekesha kwenye 18 ya timu pinzani. It could be 0-2 kama vijana wangekua serious pale mbele