Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,107
- 53,624
Mechi ya Arsenal Fred aliingia akabalance team. Team ikatulia.Sidhani kama pogba hapendwi sababu ni mchezaji mbaya, na sio kwamba ameondoka man U sababu hana level za kucheza Man u.
Pogba ameondoka man U sababu alikuwa anataka Mshahara mkubwa,na Hapendwi sababu ya drama zake, Agent wake, majeruhi etc. Wote tunajua full fit pogba ni world class.
Just Mechi ya Juzi spurs, mfumo tuliocheza, sababu spurs hawapress highline (zipo timu nyingi Epl kama hivi) tulinchezesha Fred kuwapress kule kule kwao, toka Aje ETH pengine toka Mechi ya leeds mwaka jana Man united haijawahi cheza mpira mzuri kama vs Spurs. Huu mfumo hauwezekani kuchezeka bila Fred, Ama assume wewe ndio Kocha kwa midfield zetu za sasa Mtoe Fred utampanga nani kupress mbele? Mc tominay?, Eriksen? Casemiro? Achana na United, muuze fred unamnunua nani kumreplace Fred ambaye atakua na Quality zaidi ya Fred?
Hizi pressing stats za Fred vs Spurs alifanya kazi ya watu 3.
View attachment 2395463
Kwenye Timu unahitaji Quality mbalimbali, kila mechi ina approach yake na quality fulani inafit mechi fulani.
Pale ndo nikaona umuhimu wake right away. Sema kuna wakati anapotea mpaka unajiuliza.