Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,107
- 53,624
Timu za Saudia Arabia ndo zinazoweza mchukua ronaldo.Ten hag hana uwezo wa Kufanya cr7 amalize carrier yake vibaya.
Trust me you
Hakuna timu za ulaya zinamtaka.
Timu za Saudia Arabia ndo zinazoweza mchukua ronaldo.Ten hag hana uwezo wa Kufanya cr7 amalize carrier yake vibaya.
Trust me you
Yule anaeposti msimamo wa ligi hayupo siku hizi?Manchester united ndo timu pekee tulio malizana na big 5 wote wakubwa watu walitaka kujua ten hag anaweza kutoboa hapa na ugeni wake.
Jamaa kawa prove wrong tumepoteza dhidi ya city tu.
Naona ten kumi akiendelea kupika vitu vyake.
View attachment 2394996
vp Ten Hag unamwambia kitu?Chief-Mkwawa humwambii kitu kwa Rashford .
Rashford ana miaka sijui 24 tayari ana goli nyingi kushinda malegend kibao vs traditional top 6. mseme unavyomsema hii ni record yake huwezi kumyima, Jamaa ni deadly kwenye counter, sisemi ndio awe main striker wetu ana weakness zake kama mipira ya juu yupo ovyo ukicompare na urefu wake, ila ameprove tayari kwamba you can depend on him kwenye hizi mechi.Chief sikuiona hii comment yako ila ukweli unafahamu vizuri kwamba yule dogo sio mchezaji wa kumtegea asilimia 100.
Wewe Chief mimi nakuonaga ni kama mzazi anayemtetea mtoto wake mvuta bangi mbele za watu ila ndani ya nafsi yako unajua kabisa hili toto chenga tu.
Sasa kama yenu imekuwaje tena ijawa yenu eti wee takataka🤒🤒Game ilikua yetu hiiView attachment 2394969
Hapa hawana option, nina uhakika Ronaldo anaondolewa kikosini mwezi wa kwanza. Hili ni jambo ambalo familia ya Glazer hawakuli-anticipate.Sikhofii tena kufungwa kwa manchester united bali nakhofia kutokufanga magoli kwa manchester united.
- Newcastle united
- Tottenham hostpurs
- Chelsea
Hiyo ndio tathmini yangu ya mechi 3 zilizopita.
Nimesikia familia ya glazer hawatokuwa na hela kwa dirisha la january.
Si haki kabisa.
Miaka 24 sio kinda ktk mpira huu ni umri wa kubeba timu. United sisi sio timu ya kukubali mediocrity tunafaa kuwa na wachezaji wanaojua kumaliza kazi.Rashford ana miaka sijui 24 tayari ana goli nyingi kushinda malegend kibao vs traditional top 6. mseme unavyomsema hii ni record yake huwezi kumyima, Jamaa ni deadly kwenye counter, sisemi ndio awe main striker wetu ana weakness zake kama mipira ya juu yupo ovyo ukicompare na urefu wake, ila ameprove tayari kwamba you can depend on him kwenye hizi mechi.
Nafikiri kucheza Ten Hag anaweza kumpa nafasi out of respect as a gentleman. Yule mholanzi hanaga nongwa na mtu ila anaonekana hana masikhara. Mfumo wa Ten Hag Ronaldo ni mzigo hana energy ya kufanya pressing.Ningekuwa Tenhag ronaldo asingecheza milele chini yangu. Yani milele asingeingia uwanjani milele.
Hao wanaopiga kelele waanzishe timu zao wamuweke ronaldo awape makombe.
Anachofanya Ronaldo sasa hivi ni sawa mwanamke mwenye miaka 32 aliyekuwa mkali sana anayetaka apewe attention ile ile alipokuwa na miaka 22, when she was still in college.Timu za Saudia Arabia ndo zinazoweza mchukua ronaldo.
Hakuna timu za ulaya zinamtaka.
huyo fred unaemponda Brazil piga ua anaanza na ni favourite wa world cup, mchezaji ambaye mechi 60 anacheza mbaya 5 unaongelea level za world class huwezi wapata 11 unless una hela kama za Man city na PSG wachezaji wanaolipwa na Taifa. Eriksen na uwezo wote aliouonesha toka asajiliwe tayari ameshatimiza mechi 5 alizocheza vibaya na ndo kwanza msimu hata kati bado.Miaka 24 sio kinda ktk mpira huu ni umri wa kubeba timu. United sisi sio timu ya kukubali mediocrity tunafaa kuwa na wachezaji wanaojua kumaliza kazi.
Ndio maana ninapowananga wachezaji kama Fred, Shaw, Degea n.k sio kwamba ni wabovu ila kwa standard za United sisi tunacheza kushinda makombe.
Tunahitaji kuona mchezaji ktk mechi 50 mpaka 60 ndani ya msimu basi unakua na siku mbaya labda gemu 5 ila sio zaidi ya 10.
Hapa nakubaliana na wewe 100%. Binafsi huwa siupendelei sana mpira wa kuwa na mshambuliaji wa kuganda mbele kama barafu.kwa nilivyomuelewa ETH kuna uwezekano asije striker sio January tu hata dirisha kubwa anaweza asije na badala yake akaja Gakpo ambaye ni winger mould hizo hizo za kina Rashford. ipo benefit ya kucheza na wachezaji watatu ama wanne mbele ambao wote ni hard workers, just mechi iliopita ya spurs umeona mziki wake, na hata leo tulikuwa hatuna nguvu kama spurs ila tuliwadhibiti vizuri tu,
Cr7 ni muchezaji mukubwa mwenye profile kubwa hakuna wa kumuambia chochote huyu ameshashinda kila kitu yule kipara wenu 10hag atamwambia nini?We ni boya kama hao kina Rio.
Ronaldo ameshaisha. Akiwa uwanjani hakuna anachofanya. Amewekwa benchi anaambiwa aingie sub anakataa.e
Yeye ni nani kama si mpumbavu? Unaambiwaje na kocha uingie unakataa?
Kama ni star sana mbona ametaka kuondoka na hakuna wa kumchukua?
Acheni ujinga nyie fans wa Ronaldo.
Ile nguvu iliyotumika kusawazisha goli ndani ya dakika 5 laiti ingetumika kipindi cha kwanza tusingeongelea habari ya draw na hawa kenge.Tunatoa draw ya 5 mfululizo na hawa cheltako aise.View attachment 2394992
Kwan kuna kipya kwenye hili kosi la manyumbu kwa nyakati kama hizi??Nyakati kama hizi mwaka jana, Man Utd ilikuwa inacheza mpira wa hovyo sijawahi kuona.
Uwezo ndio umeishia pale wewe nyumbu ..hakuna nguvu yeyote ilitumika pale, ni butua butua zenu tu mukabahatisha kusawazishaIle nguvu iliyotumika kusawazisha goli ndani ya dakika 5 laiti ingetumika kipindi cha kwanza tusingeongelea habari ya draw na hawa kenge.
Wachezaji waliingia uwanjani na mentality ya kutoa sare ndio maana hata walipokua wanaingia ndani ya box walikua wanacheza mdako halafu wanarudisha mpira nyuma, hata wakipata kona wanafanya upuuzi uleule tu.