NtYga
JF-Expert Member
- Aug 23, 2018
- 4,945
- 12,698
Rafaela Pimenta tells Sky Sport: “Release clause for Haaland? I can’t comment about that. He’s really top, top guy. His father is the secret”Kuna mashabiki wenzetu wanadai aangaliwe kwa vile tu ametoa adhabu kwa Ronaldo akiwa kwenye harakati za kujenga nidhamu.
Wanasahau kwamba hapa Duniani msingi wa kila aina ya mafanikio ni NIDHAMU.
Timu yetu inacheza vizuri sana chini ya EtH, unaona kabisa ari na, muunganiko na hamasa waliyonayo wachezaji. Wote wanajuana na kuelewana, leo nimeona kitu ambacho sijawahi kikiona tangu Sir AF astaafu.
Timu kwa sasa inamhitaji mtu mwenye uchu wa kufunga magoli, kimsingi tunahitaji 'Haaland' wetu.

…but yes, release clause is there — valid from 2024 for €200m.