

Mungu mtu na waumini wake wana Sumu hatari
.

.

Hii Hali ilitukuta Arsenal kipind Arteta ameamua kuwafurumusha Auba na Ozil, alipokea maneno mengi ,Lakini alisamama na msimamo wakeKuna watu wanashangaza sana mkuu. Pengine kuna watu hawataki kusikia wala kuamini kuwa Ronaldo wa leo sio yule wa juzi wala wa jana. Wanataka apangwe tu kwenye timu kwakuwa ni 'Ronaldo'.
Uwekezaji mkuu kwa material inayosaidia kwenye manufacturing ya petrol, fuel. Very rare.Iyo ela flamini kaipata wapi
Kwani bado anacheza
Safi sana, father akibinywa watoto watatia akili.Naunga mkono hoja. Hofu yangu kubwa sana huyu Bruno ni loyal follower wa Ronaldo. Ila kwa namna yoyote ile Ronaldo anapaswa kuondolewa kikosini mwezi wa kwanza kabla hali haijawa mbaya zaidi dressing room.
Ronaldo fan boy ili upate cha kumkosoa HaagGame hii naombea tupigwe na kitu kikali sana🙏🏿
1:30 usikuWAKUU mechi ni saa ngapi
Asante mkuu1:30 usiku
Naunga mkono hoja japo upuuzi huwa sipendi.Nyieee swala la cR7 limekuwa headlines hukoMungu mtu na waumini wake wana Sumu hatari
.
"Cristiano Ronaldo last season scored 28 goals in 34 matches, this shows that he carried a lot, suddenly how does he end up like that and you throw him on the bench? Ronaldo still has the ability to play 90 minutes and is the best scorer there is."
- Alan Shearer, EPL Legend.
#GlazerOUT
#GGMU
manutd
Auba na Ozil ni wadogo kwa Ronaldo hawana nguvu kubwa katika soka, hawawezi kumyumbisha kocha kivile japo siungi mkono upuuzi aliofanya Ronaldo.Hii Hali ilitukuta Arsenal kipind Arteta ameamua kuwafurumusha Auba na Ozil, alipokea maneno mengi ,Lakini alisamama na msimamo wake
Tena Ten hag naona ana kahuruma kiasi, nimeona sehemu eti aombe msamaha ,huyu alitakiwa asicheze Tena Hadi akimbie mwenyewe ,huyu kwa kosa lile la kwanza ,na Lile la preseason ilitakiwa hata mech za Europa asiguse ,apigishwe warm up halafu anarudisha bench
Auba na Ozil wanaelewa kilichowakuta , hata carabao walikuwa hawachezi, na kila week wanawekewa £350k , had Auba akaenda kupiga magoti kwa Rais was Barca asajiriwe ,
Ronaldo amshukuru Ten hag hata Europa anacheza,kwa matukio yake yakujifanya mkubwa kuliko klabu ,alitakiwa aminywe iwe fundisho .
Kwamba hata thiago Silva anawekwa benchi?
Punguza mahabaMkuu chagua moja huwezi kusupport pande zote ni aidha Ronaldo kakosea au Ten hag kakosea kumuadhibu ronaldo.Auba na Ozil ni wadogo kwa Ronaldo hawana nguvu kubwa katika soka, hawawezi kumyumbisha kocha kivile japo siungi mkono upuuzi aliofanya Ronaldo.
Ni kweli ,Lakini cr7 Ni mdogo kwa klabu ya man u , anatakiwa atundishwe iwe onyo kwa wengineAuba na Ozil ni wadogo kwa Ronaldo hawana nguvu kubwa katika soka, hawawezi kumyumbisha kocha kivile japo siungi mkono upuuzi aliofanya Ronaldo.
#TenhagOutRonaldo fan boy ili upate cha kumkosoa Haag