Pole pole point zetu zinaingia. Angekua ole angeacha hadi kikosi apangiwe.
Ronaldo anavuna mkwanja mrefu, aache attitude mbona akiwa fresh anaweza kula dili la kocha mchezaji mambo yakaenda fresh. Vimechi vya hapa na pale.
Sasa unaanza kumpandia kocha kichwani ili iweje? Yeye ndio Boss, wewe ni mchezaji kama jina kubwa anzisha timu yako.
Mathieu Flamini yupo na USD billions 14, kimya kimya maisha yanaenda bila makamera hela ambayo sidhani Ronaldo atakuja ishika kwa attitude hiyo.
Maana umaarufu wake anautumia kujipatia kipato, ila attitude itafanya waone huyu kumuhimili kazi.
Messi alitulia zake hata Mbappe alipomuudhi akaachia mashabiki.
Dogo Greenwood uchoyo kidogo, jamaa kamnaga na kumuunfollow kabisa.
Wengine wana bahati asee.
500k per week alafu analeta ushubwanda na upo ligi inayofuatiliwa sana duniani.
Basi aende Saudi Arabia or Ureno uchochoroni awe anaonekana UEFA tu.
Ten Haag kaza. Bado Bruno aonywe.