lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,197
- 28,079
Aisee Ten Hag anamchukia vipi Ronaldo ?
Kuna watu wanashangaza sana mkuu. Pengine kuna watu hawataki kusikia wala kuamini kuwa Ronaldo wa leo sio yule wa juzi wala wa jana. Wanataka apangwe tu kwenye timu kwakuwa ni 'Ronaldo'.


#MUFC
