Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hv Ronaldo ni Ujinga gan kafanya, kuna namba Tisa gan pale United ya kumkarisha Ronaldo bench ? Magoli mengi yanafungwa na midfielders , ina mana kocha kakubali kumweka Ronaldo bench ili midiflders wafanye covering .... Ngoja tuone
Ronaldo muda umemtupa mkono, kiwango kimeisha.
Fans wake mnatakiwa mkubaliane na hilo.
Ndio maana hata window iliyopita hakuna Timu ilileta ofa kumchukua.

Hata haina haja kuingia kwenye stats kujua jamaa sio yule wa enzi zake.
Kama unafuatilia mechi, utaona kabisa Ronaldo hana impact kabisa.

Umeuliza ni Ujinga gani kafanya.

1. Wakati timu iko pre-season, hakuwa na timu.

2. Karudi mechi ya Valecano, alivyofanyiwa Sub-off, kaondoka kabisa uwanjani( na wechazaji wengine baadhi). Kocha kawaonya.

3. Juzi kagoma kuingia Sub na kaondoka Uwanjani.

Mtu mzima ana miaka 37 anafnya vitu vya kitoto kama hivi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hv Ronaldo ni Ujinga gan kafanya, kuna namba Tisa gan pale United ya kumkarisha Ronaldo bench ? Magoli mengi yanafungwa na midfielders , ina mana kocha kakubali kumweka Ronaldo bench ili midiflders wafanye covering .... Ngoja tuone
Ujinga mkubwa tu, kwanza kocha amethibitisha kuwa aligoma kuingia uwanjani na akaondoka kwenda vyumbani kabla ya mchezo kumalizika. Mlitaka kocha avumilie huo utovu wa nidhamu na amshike shike mashavu kama mtoto mchanga kisa ni 'Ronaldo'?

Wanafunga akina De bruyne na Gundogan, leo akifunga Bruno na Fred ni tatizo?

Tumuache kocha afanye kazi yake.
 
Erik ten Hag: “I count on Cristiano Ronaldo for the rest of the season”. [emoji599][emoji837] #MUFC

“He’s out for this game, and then we continue. I'm open for that and for me that’s a strike. Cristiano remains an important part of the squad and I count on him for the rest of the season”.

#RonaLdoOUT
#GlazerOUT
#GGMU[emoji123][emoji41]

manutd
 
Erik ten Hag on Man Utd signing new striker in January: "I count on Cristiano Ronaldo, so in this moment it is not an item". [emoji837] #MUFC

Will Ronaldo be there for the rest of the season and do you want him to stay for the rest of the season?

"Yes, both", ten Hag said.

#RonaLdoOUT
#GlazerOUT
#GGMU[emoji123][emoji41]

manutd
 
Erik ten Hag wants Cristiano Ronaldo to say sorry to the whole team, not just to him and the backroom staff. There will then be a chance for him to be back with the first team next week.

#FabrizioRomano
#RonaLdoOUT
#GlazerOUT
#GGMU[emoji123][emoji41]

manutd
IMG_20221022_123522_493.jpg
 
Huyu ten hag hatofika mbali ni lazima tukubali kwanza Ronaldo ana mafanikio makubwa kuliko yeye kwenye mpira wa miguu anastahili heshima kilichopo pale wala sio kiwango cha Ronaldo but ni chuki binafsi .Tujifunze kuthamini kazi kubwa walizofanya watu mpk wakafika walipo bila kuwachukia
Pele ana mafanikio makubwa kuliko Ronaldo,
Maradona,
Messi.,
But wote hao walikuwa na nidhamu kwa waalimu wao. Ronaldo is a mee, but hana adabu

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hv Ronaldo ni Ujinga gan kafanya, kuna namba Tisa gan pale United ya kumkarisha Ronaldo bench ? Magoli mengi yanafungwa na midfielders , ina mana kocha kakubali kumweka Ronaldo bench ili midiflders wafanye covering .... Ngoja tuone
Ronaldo kaanza mechi ngp msimu huu??? Na katka hzo mechi alizoanza kafanya lipi la maajab.. tukubali tukatae kila zama zina mwisho wake kashamaliza mpira mbwa yule
 
Ten Hag on Ronaldo’s absence: “It's for this game, and then we continue. I'm open for that and for me that is a strike. What we stay in the statement is Cristiano remains an important part of the squad and I count on him for the rest of the season. We want to fulfil ambitions."

#RonaLdoOUT
#GlazerOUT
#GGMU[emoji123][emoji41]

manutd
IMG_20221022_123522_493.jpg
 
Nyieee swala la cR7 limekuwa headlines huko [emoji23] Mungu mtu na waumini wake wana Sumu hatari [emoji23].

"Cristiano Ronaldo last season scored 28 goals in 34 matches, this shows that he carried a lot, suddenly how does he end up like that and you throw him on the bench? Ronaldo still has the ability to play 90 minutes and is the best scorer there is."

- Alan Shearer, EPL Legend.

#GlazerOUT
#GGMU[emoji123][emoji41]

manutd
 
Kumbe kauli ya ETH kuwa Ronaldo ni mchezaji wake tegemezi kwenye kikosi wanaichukulia serious kiasi hichi [emoji23].

"He ends up saying he is his best player but he doesn't give him respect, there are three minutes left, you want him to come in and waste time, there are players who can come in in the 87th minute but not Cristiano Ronaldo, in short, the coach should have respect"

- Graeme Souness, Liverpool legend

#RonaLdoOUT
#GlazerOUT
#GGMU[emoji123][emoji41]

manutd
 
Kuna watu wanashangaza sana mkuu. Pengine kuna watu hawataki kusikia wala kuamini kuwa Ronaldo wa leo sio yule wa juzi wala wa jana. Wanataka apangwe tu kwenye timu kwakuwa ni 'Ronaldo'.

Hii Hali ilitukuta Arsenal kipind Arteta ameamua kuwafurumusha Auba na Ozil, alipokea maneno mengi ,Lakini alisamama na msimamo wake

Tena Ten hag naona ana kahuruma kiasi, nimeona sehemu eti aombe msamaha ,huyu alitakiwa asicheze Tena Hadi akimbie mwenyewe ,huyu kwa kosa lile la kwanza ,na Lile la preseason ilitakiwa hata mech za Europa asiguse ,apigishwe warm up halafu anarudisha bench

Auba na Ozil wanaelewa kilichowakuta , hata carabao walikuwa hawachezi, na kila week wanawekewa £350k , had Auba akaenda kupiga magoti kwa Rais was Barca asajiriwe ,

Ronaldo amshukuru Ten hag hata Europa anacheza,kwa matukio yake yakujifanya mkubwa kuliko klabu ,alitakiwa aminywe iwe fundisho .
 
Back
Top Bottom