Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,445
- 5,352
Kimya kabisa wamekimbiaUmeamkaje leo we jamaa
Kimya kabisa wamekimbiaUmeamkaje leo we jamaa
DeGea anaweza asipewe mkataba mpya.Sema Ten Hag seems hana masikhara kabisa, haangali jina.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kocha mwenye ujasiri wa kumuweka Ronaldo benchi anaweza kufika mbali.Ronaldo hajawahi kumsumbua 10 Hag hata kidogo ila 10 Hag anajua kuwakomesha wachezaji wenye kaliba ya Ronaldo.
Ronaldo ile dhambi yake ya kuacha kuhudhuria kwenye mazoezi na mechi za pre season ndio inayomtesa kwa sasa.
10 Hag aendelee kushikilia hapohapo ili kudumisha nidhamu ya timu.
Erik ten Hag mechi zake 10 zilikuwa nzito sana kacheza na top 6 zote isipokua Chelsea tu. Kachukua points 9 kati 12 dhidi ya L'pool, Arsenal, City na Spurs.
Na kuna taarifa inadai mazungumzo ya kwanza kabisa ya Ronaldo na Ten Hag ndio yaliyosababisha a-push transfer request. Kuna kila dalili kwamba alimuambia hatakuwa first priority kwa mfumo wake.Glazers ndo walikuwa wanamtaka. Tena kibiashara.
Hakuna mwingine likuwa anamuhitaji. Hasa kocha na wachezaji wenzake.
Chief unamwachiaje Rashid na Fred?Na asije akafanya masikhara pia kumuongezea hata mmoja hawa wanaomaliza mikataba. Hata waonyeshe ubora kiasi gani msimu huu hii mifuko iende tu. (Rashford, Degea, Fred, Dalot, Jones, Tuanzebe, Ronaldo, Shaw, Heaton)
Hao wote hapo wanaweza kuwa kaburi lake siku za usoni akijikoroga kumpa hata mmoja mkataba mpya. Ukimuondoa Ronaldo ssb ya umri waliobakia wote hawana ubora wa kucheza United. (inconsistency performance)
Sure,it shows jamaa ana balls sio kitoto..Kocha mwenye ujasiri wa kumuweka Ronaldo benchi anaweza kufika mbali.
Huo ni ujumbe kwa wote, kama Ronaldo anawekwa benchi na wewe usishangae kukaa benchi.
Yupo wapi Maguire?
Ole hakuna na huo ujasiri.
Conte kwenye post match interview alikuwa mnyonge kinoma..tuliwapelekea moto balaa..Pira biriani jana nifaidi sana.
Hahahaa Jombaa are you serious? Rashford huyu huyu mchezaji asiye na consistency? Fred huyu sihitaji hata kumzungumzia.
Umelewa ww,Wakuu........ kama vipi tumuuze Eriksen ata pauni mil 3 tuongezee hela tumchukue origi. Mbele pale tunapwaya sana. Kati pale tukiwapa brighton pauni mil 70 wanatuachia lallana kweupe.
.hatuwezi kutishwa na kinyago tulicho kichonga wenyewe tumekukuza wenyewe tuna kusugulisha wenyewe.Safi huyu ni kusugulisha benchi mpaka aondoke shenzi.View attachment 2393068
Safi huyu ni kusugulisha benchi mpaka aondoke shenzi.View attachment 2393068
Performance ya spurs inayocheza nyuma muda wote na kuwaachia mpira mcheze ili ikitokea turnover wanawashambulia Kwa counter ndo inawazuzua namna hiiConte kwenye post match interview alikuwa mnyonge kinoma..tuliwapelekea moto balaa..
Chelsea hii pia sio ya kutusumbua..inabidi tuwafunge and that will be a big boost to our season.

Huyu mwezi wa kwanza mkataba wake uvunjwe. Bodi wakubali hasara.hatuwezi kutishwa na kinyago tulicho kichonga wenyewe tumekukuza wenyewe tuna kusugulisha wenyewe.