Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ronaldo hajawahi kumsumbua 10 Hag hata kidogo ila 10 Hag anajua kuwakomesha wachezaji wenye kaliba ya Ronaldo.
Ronaldo ile dhambi yake ya kuacha kuhudhuria kwenye mazoezi na mechi za pre season ndio inayomtesa kwa sasa.
10 Hag aendelee kushikilia hapohapo ili kudumisha nidhamu ya timu.
Kocha mwenye ujasiri wa kumuweka Ronaldo benchi anaweza kufika mbali.

Huo ni ujumbe kwa wote, kama Ronaldo anawekwa benchi na wewe usishangae kukaa benchi.

Yupo wapi Maguire?

Ole hakuna na huo ujasiri.
 
#RonaLdoOUT
#GlazerOUT
#GGMU

manutd View attachment 2392625
Erik ten Hag mechi zake 10 zilikuwa nzito sana kacheza na top 6 zote isipokua Chelsea tu. Kachukua points 9 kati 12 dhidi ya L'pool, Arsenal, City na Spurs.

Msimu ujao akianza kazi na wachezaji wake naona tunaweza kufanya kitu kikubwa sana. Kuna mafala wengi sana pale wanatakiwa kuondoka.
 
Glazers ndo walikuwa wanamtaka. Tena kibiashara.

Hakuna mwingine likuwa anamuhitaji. Hasa kocha na wachezaji wenzake.
Na kuna taarifa inadai mazungumzo ya kwanza kabisa ya Ronaldo na Ten Hag ndio yaliyosababisha a-push transfer request. Kuna kila dalili kwamba alimuambia hatakuwa first priority kwa mfumo wake.

Mpaka dakika ya mwisho wakala wa Ronaldo alikuwa akifanya mazungumzo na Oliver Khan ili ajiunge Bayern na walipunguza 30% ya mshahara wake ila jamaa wakachomoa kumsajili.

Ten Hag alibariki kuondoka kwake ila walijua fika hakuna mtu aliye tayari kununua sehemu ya mkataba wake. Chelsea mmiliki mpya alimtaka Ronaldo ila Tuchel aligomea usajili wake.
 
Na asije akafanya masikhara pia kumuongezea hata mmoja hawa wanaomaliza mikataba. Hata waonyeshe ubora kiasi gani msimu huu hii mifuko iende tu. (Rashford, Degea, Fred, Dalot, Jones, Tuanzebe, Ronaldo, Shaw, Heaton)

Hao wote hapo wanaweza kuwa kaburi lake siku za usoni akijikoroga kumpa hata mmoja mkataba mpya. Ukimuondoa Ronaldo ssb ya umri waliobakia wote hawana ubora wa kucheza United. (inconsistency performance)
Chief unamwachiaje Rashid na Fred?

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
 
Chief unamwachiaje Rashid na Fred?

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Hahahaa Jombaa are you serious? Rashford huyu huyu mchezaji asiye na consistency? Fred huyu sihitaji hata kumzungumzia.

Huwezi kushinda makombe kama huna wachezaji wenye performance consistency. Vitu ambavyo Rashford na Fred hawawezi kukupa msimu mzima.
 
Yesterday was brilliant from the boys!

Binafsi hata tungepata droo dhidi ya Spurs nisingelaumu sana sababu ya uzuiaji wao na ubutu wa Rashford maana tulifanya vema karibia kila kitu kwa dakika zote 90.
Hivi ndivyo ninataka tucheze,kutawala mchezo na kuwa proactive kuliko kinyume chake.

Bado tunahitaji namba 9 aliyekamilika maana Rashford hana muendelezo wakati Martial kwenye kufanya pressing ni mvivu. Walau hata Trossard yule wa BHA,sijui tunasubiri aende kwingine ndio tuanze kulaumiana?

Suala la sancho ni darasa tosha kwetu sisi kwenye sajili zinazopigiwa chapuo na media/pundits wa Kiingereza zaidi,hazina uhalisia sana.

BRING EM RENT BOYS!
GGMU.
 
Ila jana tumecheza mpira nadhani msimu huu ndo mechi ya kwanza kucheza dakika 90 mpera mpera tumekaba sana tackling za maana yani kazi kazi. Casemiro anajitahidi kutulia fred kuna dakika unampenda then fasta anakukera.

Ronaldo dah jana kanishangaza ila tunahitaji mfungaji jana wale 6 zilikua zinawahusu.
 
Safi huyu ni kusugulisha benchi mpaka aondoke shenzi.
Screenshot_20221020-190301.jpg
 
Conte kwenye post match interview alikuwa mnyonge kinoma..tuliwapelekea moto balaa..

Chelsea hii pia sio ya kutusumbua..inabidi tuwafunge and that will be a big boost to our season.
Performance ya spurs inayocheza nyuma muda wote na kuwaachia mpira mcheze ili ikitokea turnover wanawashambulia Kwa counter ndo inawazuzua namna hii
 
Back
Top Bottom