Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Glazer wangemnunua hallad kwa pesa ndefu tusingeabika. Wangemlipia deni lake de jong tunge dominate center Asante sana casemiro
 
Baada ya

Gundo kutoka

Kdb kutoka

Foden kutoka

Walker kutoka

Ndio mmepata huo upenyo wa kufunga hayo magoli ...pep kawaonea huruma kuwawekea kina Palmer watoto wa academy
kubali ukate ugonjwa mkubwa wa city ni kuruhusu nyavu zake zitikiswe ovyo kweny ligi inaweza kuwa sio ishu ila kweny game za mtaona wa ligi ya mabigwa ulaya ni tatizo kubwa sana
 
ETH alikosea kupanga timu,we know strength ya City iko kwenye midfield Casemiro alipaswa kuanza hii game.Kuwa-neutralize City United ilikuwa ni kuongeza namba na viungo katikati.Huwezi tumia same approach kwenye mechi zote kwenye EPL
 
Kocha la Mpira ETH kwny first press alipoulizwa anazungumziaje ubora wa Liverpool na Man City na ana mpango gani kukabiliana nao,

Alijibu
"WE SHALL BATTLE THEM ALL" .
Kauli ya kiume sana hii, na tushaanza shughuli.

Morale ikiwa juu hata mambo yanayoonekana kutowezekana huwa yanawezekana.

Sema tulimiss sana timu la mpira, hatujawa uwanjani muda mrefu.

GGMU
Vipi turudi kwenye international break au tuendelee?
 
🐒
20221002_184611.jpg
 
Kwann hampend kufanya analysis ya game zenu muujue Ukweli?

Man u karibu game 3 za mwisho ameshinda lkn kwa ushindi mgumu au wa janja janja ,sio kwa ku control game

Kwa situation hizi, tegemea ushindi wa kubahatisha tu
Kufungwa ni kawaida katika mpira napia kukontrol gemu kwa kufanya pressing sana ni sehemu kubwa mojawapo ya kuwin game lakin haikupi uhaika wa 100% kushinda katika game, tatizo timu ilikua Kama vile imelala yaani wachezaji Ile kuonesha motisha ya kupambana hapana kabisa wanacheza kwa presha,na kutokujiamini pamoja na hofu sana yaan ni Ile ilimradi muda huende mpira huishe sababu hawakuwa mchezoni kabisa hasa kule mbele ndio kulikua kumepwaya kabisa.
 
Kipindi cha pili walau tumeonyesha uhai.
Kwa hizo goli 3 tulizozipata mbele ya city sio kitu cha kubeza hata kidogo.
Kwangu mimi hii game ya leo najihesabia sisi ni washindi ingawa point 3 zimeenda kwa city.
Goli la Anthony ndio goli bora kabisa kwa mwezi huu wa October.
Wanaombeza Anthony wana chuki zao binafsi inabidi wapuuzwe ingawa Anthony nae anapaswa pia abadilike kwa kufosi kufunga wakati kuna wachezaji wengine wapo kwenye position nzuri zaidi.
Huu ni wakati sasa wa Bruno Fernandez kuanzia Sub, jamaa kwa sasa amepoteza umakini na anapelekea kuigharimu sana timu kwa kupoteza kwake mipira mara kwa mara ingawa kuna baadhi ya mechi hua anatuokoa.

Haaland ni balaa kubwa tuliloletewa kwenye Epl na hatuna budi kukubaliana nalo, mechi 8 hatricks 3 yaani hili jini mpaka ligi inaisha litakua na magoli 50+
Hilo goli la Antony Labda n goli Bora Kwa upande WA nyumbu Kwa mwezi wa 10
 
Back
Top Bottom