Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hawa mashabiki wa manure huwa hayaeleweki wanataka nini, hata kipindi cha Ole walisema bora Mourinho, wakimfukuza 10 hag baadae watamkumbuka. Man U mkubali mpitie kipindi cha kujenga timu msitake mafanikio ya haraka haraka, timu sasa hivi EPL ni nyingi zinazoshindana kwa ajili ya ubingwa ndo sababu ligi inakuwa ngumu sio kama zamani ambapo timu nne tu ndo zilikuwa zinapambania ubingwa, msimu huu imeongeza Newcastle nayo inataka ubingwa
Braza upo serious kweli new castle anataka ubingwa wa EPL iyo top four tu kuipata ni shughuli na lini ligi kuu england imewah kuwa nyepesi had useme kwamba united anafungwa Kwa sababu timu nyingi zinataka ubingwa misimu yote ligi ya EPL haijawah kuwa nyepesi au ww mwezetu umeanza kuangaliaa EPL Leo
 
Braza upo serious kweli new castle anataka ubingwa wa EPL iyo top four tu kuipata ni shughuli na lini ligi kuu england imewah kuwa nyepesi had useme kwamba united anafungwa Kwa sababu timu nyingi zinataka ubingwa misimu yote ligi ya EPL haijawah kuwa nyepesi au ww mwezetu umeanza kuangaliaa EPL Leo
Ligi kuu Uingereza ni nyepesi sema ina timu nyingi zinazoshindania ubingwa tofauti na ligi nyingine unakuta timu zinazoutaka ubingwa ni mbili au tatu. Angalia perfomance za timu bingwa misimu ya hivi karibuni timu zinachukua ubingwa na point 90+
 
Nyie wapuuzi, ebu mje hapa kuangalia logo yenu

Mandonga fc
IMG-20221002-WA0004.jpg
 
Kipindi cha pili walau tumeonyesha uhai.
Kwa hizo goli 3 tulizozipata mbele ya city sio kitu cha kubeza hata kidogo.
Kwangu mimi hii game ya leo najihesabia sisi ni washindi ingawa point 3 zimeenda kwa city.
Goli la Anthony ndio goli bora kabisa kwa mwezi huu wa October.
Wanaombeza Anthony wana chuki zao binafsi inabidi wapuuzwe ingawa Anthony nae anapaswa pia abadilike kwa kufosi kufunga wakati kuna wachezaji wengine wapo kwenye position nzuri zaidi.
Huu ni wakati sasa wa Bruno Fernandez kuanzia Sub, jamaa kwa sasa amepoteza umakini na anapelekea kuigharimu sana timu kwa kupoteza kwake mipira mara kwa mara ingawa kuna baadhi ya mechi hua anatuokoa.

Haaland ni balaa kubwa tuliloletewa kwenye Epl na hatuna budi kukubaliana nalo, mechi 8 hatricks 3 yaani hili jini mpaka ligi inaisha litakua na magoli 50+
Yani kupata goli 3 unafurahia wakati ushapigwa 6 halafu angalia hizo goli umezipata wakati gani hii timu yenu inabidi mjipe mda wa kufanya rebuild na hapo muombe huyu kocha awe sahihi kwenu tofauti na hapo mtabaki na majuto
 
Sina shaka mechi ya leo, City anaenda kui dominate na kama kawaida yake atacheza high line. Kama wachezaji watakuwa na discipline, wakaweka workrate kubwa as a team(hii inawezekana Ronaldo asipoanza) , intensity kubwa, cover more distance uwezo wa kupambana na City upo. Sijui kama tutashinda ila lazima tumfunge magoli kadhaa kwa kuwa tupo vzr kwenye counter. Defence yetu ndo itaamua kama tunashinda mechi au la..
ronaldo hakuanza kaanza rashford vipi aliupiga mwingi ? mctominay nae vipi
 
Yani kupata goli 3 unafurahia wakati ushapigwa 6 halafu angalia hizo goli umezipata wakati gani hii timu yenu inabidi mjipe mda wa kufanya rebuild na hapo muombe huyu kocha awe sahihi kwenu tofauti na hapo mtabaki na majuto
Umeongea point Sana, hizo goli 3 pia zimekuja baada ya Pep kufanya sub, maana ana mech ya UCL ,pia mwez wa 10 Kuna mech kila baada ya siku 3

Na mancity ana kikos finyu na tayari ana majeruhi kadhaa, mancity ana wachezaji 25 au 24 tu Kama sikosei ,tofaut na man u Wana wachezaji 30-31 ,

Ilikuwa lazima Pep afanye Zile sub, maana Rodri,Walker ,Stones, injury

Kuhusu Rebuild upo sahihi ,pakibuma hapo ,unaishia kufukuza kocha unabaki na wachezaji wanakula mishahara mikubwa kuwaondoa ngumu
 
Umeongea point Sana, hizo goli 3 pia zimekuja baada ya Pep kufanya sub, maana ana mech ya UCL ,pia mwez wa 10 Kuna mech kila baada ya siku 3

Na mancity ana kikos finyu na tayari ana majeruhi kadhaa, mancity ana wachezaji 25 au 24 tu Kama sikosei ,tofaut na man u Wana wachezaji 30-31 ,

Ilikuwa lazima Pep afanye Zile sub, maana Rodri,Walker ,Stones, injury

Kuhusu Rebuild upo sahihi ,pakibuma hapo ,unaishia kufukuza kocha unabaki na wachezaji wanakula mishahara mikubwa kuwaondoa ngumu
Kumbe unawajua man utd zaid kuliko timu unayoitetea man city. Kweli nyie unaakili za kuku. Huohuo uginyi na injury ndiyo udhaifu wao. Vitu kibao hamuvifanyii consideration unaongea upumbupumbu, hujaangalia weakness za pande zote. Hujui kocha wa utd anahaha kupata wachezaji anaowataka, anatumia remains za wenzie.

Mnapenda kuongelea matarcore yenu ya nyuma. Ishu kikao you cc an talk about, mnaongelea nyegere zenu maaanina kabisa.
 
Back
Top Bottom