Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

georgejob_gj-20221002-0001.jpg
 
Kipindi cha pili walau tumeonyesha uhai.
Kwa hizo goli 3 tulizozipata mbele ya city sio kitu cha kubeza hata kidogo.
Kwangu mimi hii game ya leo najihesabia sisi ni washindi ingawa point 3 zimeenda kwa city.
Goli la Anthony ndio goli bora kabisa kwa mwezi huu wa October.
Wanaombeza Anthony wana chuki zao binafsi inabidi wapuuzwe ingawa Anthony nae anapaswa pia abadilike kwa kufosi kufunga wakati kuna wachezaji wengine wapo kwenye position nzuri zaidi.
Huu ni wakati sasa wa Bruno Fernandez kuanzia Sub, jamaa kwa sasa amepoteza umakini na anapelekea kuigharimu sana timu kwa kupoteza kwake mipira mara kwa mara ingawa kuna baadhi ya mechi hua anatuokoa.

Haaland ni balaa kubwa tuliloletewa kwenye Epl na hatuna budi kukubaliana nalo, mechi 8 hatricks 3 yaani hili jini mpaka ligi inaisha litakua na magoli 50+
Yani kupata goli 3 unafurahia wakati ushapigwa 6 halafu angalia hizo goli umezipata wakati gani hii timu yenu inabidi mjipe mda wa kufanya rebuild na hapo muombe huyu kocha awe sahihi kwenu tofauti na hapo mtabaki na majuto
 
Sina shaka mechi ya leo, City anaenda kui dominate na kama kawaida yake atacheza high line. Kama wachezaji watakuwa na discipline, wakaweka workrate kubwa as a team(hii inawezekana Ronaldo asipoanza) , intensity kubwa, cover more distance uwezo wa kupambana na City upo. Sijui kama tutashinda ila lazima tumfunge magoli kadhaa kwa kuwa tupo vzr kwenye counter. Defence yetu ndo itaamua kama tunashinda mechi au la..
ronaldo hakuanza kaanza rashford vipi aliupiga mwingi ? mctominay nae vipi
 
Yani kupata goli 3 unafurahia wakati ushapigwa 6 halafu angalia hizo goli umezipata wakati gani hii timu yenu inabidi mjipe mda wa kufanya rebuild na hapo muombe huyu kocha awe sahihi kwenu tofauti na hapo mtabaki na majuto
Umeongea point Sana, hizo goli 3 pia zimekuja baada ya Pep kufanya sub, maana ana mech ya UCL ,pia mwez wa 10 Kuna mech kila baada ya siku 3

Na mancity ana kikos finyu na tayari ana majeruhi kadhaa, mancity ana wachezaji 25 au 24 tu Kama sikosei ,tofaut na man u Wana wachezaji 30-31 ,

Ilikuwa lazima Pep afanye Zile sub, maana Rodri,Walker ,Stones, injury

Kuhusu Rebuild upo sahihi ,pakibuma hapo ,unaishia kufukuza kocha unabaki na wachezaji wanakula mishahara mikubwa kuwaondoa ngumu
 
Umeongea point Sana, hizo goli 3 pia zimekuja baada ya Pep kufanya sub, maana ana mech ya UCL ,pia mwez wa 10 Kuna mech kila baada ya siku 3

Na mancity ana kikos finyu na tayari ana majeruhi kadhaa, mancity ana wachezaji 25 au 24 tu Kama sikosei ,tofaut na man u Wana wachezaji 30-31 ,

Ilikuwa lazima Pep afanye Zile sub, maana Rodri,Walker ,Stones, injury

Kuhusu Rebuild upo sahihi ,pakibuma hapo ,unaishia kufukuza kocha unabaki na wachezaji wanakula mishahara mikubwa kuwaondoa ngumu
Kumbe unawajua man utd zaid kuliko timu unayoitetea man city. Kweli nyie unaakili za kuku. Huohuo uginyi na injury ndiyo udhaifu wao. Vitu kibao hamuvifanyii consideration unaongea upumbupumbu, hujaangalia weakness za pande zote. Hujui kocha wa utd anahaha kupata wachezaji anaowataka, anatumia remains za wenzie.

Mnapenda kuongelea matarcore yenu ya nyuma. Ishu kikao you cc an talk about, mnaongelea nyegere zenu maaanina kabisa.
 
Kumbe unawajua man utd zaid kuliko timu unayoitetea man city. Kweli nyie unaakili za kuku. Huohuo uginyi na injury ndiyo udhaifu wao. Vitu kibao hamuvifanyii consideration unaongea upumbupumbu, hujaangalia weakness za pande zote. Hujui kocha wa utd anahaha kupata wachezaji anaowataka, anatumia remains za wenzie.

Mnapenda kuongelea matarcore yenu ya nyuma. Ishu kikao you cc an talk about, mnaongelea nyegere zenu maaanina kabisa.
Acha kuteseka,TIMU ITAWAUA HIYO

georgejob_gj-20221002-0001.jpg
 
Kumbe unawajua man utd zaid kuliko timu unayoitetea man city. Kweli nyie unaakili za kuku. Huohuo uginyi na injury ndiyo udhaifu wao. Vitu kibao hamuvifanyii consideration unaongea upumbupumbu, hujaangalia weakness za pande zote. Hujui kocha wa utd anahaha kupata wachezaji anaowataka, anatumia remains za wenzie.

Mnapenda kuongelea matarcore yenu ya nyuma. Ishu kikao you cc an talk about, mnaongelea nyegere zenu maaanina kabisa.
Tatizo mnabetia timu mnazozipenda ndio mnaumia double double
 
Kumbe unawajua man utd zaid kuliko timu unayoitetea man city. Kweli nyie unaakili za kuku. Huohuo uginyi na injury ndiyo udhaifu wao. Vitu kibao hamuvifanyii consideration unaongea upumbupumbu, hujaangalia weakness za pande zote. Hujui kocha wa utd anahaha kupata wachezaji anaowataka, anatumia remains za wenzie.

Mnapenda kuongelea matarcore yenu ya nyuma. Ishu kikao you cc an talk about, mnaongelea nyegere zenu maaanina kabisa.
Hujaongea point ata moja
 
Back
Top Bottom