mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,677
- 19,480
Nilituma hiiMan city jinsi anavyotufukuza, anaweza akaharibu TITLE CONTENDER
Tatizo nyie wapuuzi mnakelele sana
Bora mfe tu, man city nitamshughulikia mwenyewe
City 7 vs nyumbu 0
Nilituma hiiMan city jinsi anavyotufukuza, anaweza akaharibu TITLE CONTENDER
Tatizo nyie wapuuzi mnakelele sana
Bora mfe tu, man city nitamshughulikia mwenyewe
City 7 vs nyumbu 0



Na hili ndo alitakiwa kuanza nalo.Atoke sancho na antony waingie casemiro na fred maana kati tumezidiwa mno
Kocha la Mpira ETH kwny first press alipoulizwa anazungumziaje ubora wa Liverpool na Man City na ana mpango gani kukabiliana nao,
Alijibu
"WE SHALL BATTLE THEM ALL".
Kauli ya kiume sana hii, na tushaanza shughuli.
Morale ikiwa juu hata mambo yanayoonekana kutowezekana huwa yanawezekana.
Sema tulimiss sana timu la mpira, hatujawa uwanjani muda mrefu.
GGMU![]()



Hawa man u wazuri nyuma wanatamanisha kweli
wee jamaa bhanaKONDE TV APP, Ukishaipakua rudi unishukuru hapa JFStreaming Link naona Hesgoal anamezingua
IPO wazi haihitaji kurunzi ,Usajiri was casemiro sio wa Kocha ,ulikuwa usajiri wakutuliza munkari za Mashabiki timu isiuzweHuu usajili wa casemiro umetokana na baraka za erik ten hag?