Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Anthony mmepigwa

Mech dhidi ya arsenal ilitosha kuhitomisha Anthony Ni garasa

Mara 100 Elanga akibadirishwa vitu vichache ana impact ,sio Huyo mcheza na jukwaa
 
15436794-DD0E-4FBC-A280-9BACA5597531.jpeg
 
Man city jinsi anavyotufukuza, anaweza akaharibu TITLE CONTENDER

Tatizo nyie wapuuzi mnakelele sana

Bora mfe tu, man city nitamshughulikia mwenyewe

City 7 vs nyumbu 0
Nilituma hii
 
Kocha la Mpira ETH kwny first press alipoulizwa anazungumziaje ubora wa Liverpool na Man City na ana mpango gani kukabiliana nao,

Alijibu
"WE SHALL BATTLE THEM ALL" .
Kauli ya kiume sana hii, na tushaanza shughuli.

Morale ikiwa juu hata mambo yanayoonekana kutowezekana huwa yanawezekana.

Sema tulimiss sana timu la mpira, hatujawa uwanjani muda mrefu.

GGMU

Fans wanalikimbia BATTLE
 
Back
Top Bottom