Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sawa mmepigwa 6 lakini ndio watoto wa2 wawapige zote hizo?
 
Dah ,! Ila huyu jini halaand nyie ni hatari ya ni Kwa magoli aliyofunga mpaka sasa hivi Tu anachukua kiatu cha mfungaji Bora WA msimu
 
Haaland akija Old traford andaeni minyororo ya kumfunga miguu, haiwezekani udhalilishaji mkubwa namana hii. Hiyo Haaaland haijui nyie ni timu ya dunia!
 
Yaani wachezaji wawili wanapiga hattrick? Kila mmoja kamaliza pakiti. Wapewe nyingine.
Kipigo cha fumanizi la mke WA mtu huwa ni kikali Maana hapo kuna njemba zimekuja na mafuta kabisa ,leo Man u mmeyakanyaga
 
Ukigeuza TV yako hapo home utaona Ronaldo kaingia naye amepata hat-trick na ku-level score board.🤣🤣
 
Si mbaya walau tumetupia 3.Rashfold kazingua sana kama angetumia nafasi vizuri mambo yangekuwa mengine.

Nakunywa 🍷 na maumivu kiasi na amini katika project ya Mwl.
 
Back
Top Bottom