Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sawa mmepigwa 6 lakini ndio watoto wa2 wawapige zote hizo?
 
Dah ,! Ila huyu jini halaand nyie ni hatari ya ni Kwa magoli aliyofunga mpaka sasa hivi Tu anachukua kiatu cha mfungaji Bora WA msimu
 
Haaland akija Old traford andaeni minyororo ya kumfunga miguu, haiwezekani udhalilishaji mkubwa namana hii. Hiyo Haaaland haijui nyie ni timu ya dunia!
 
Yaani wachezaji wawili wanapiga hattrick? Kila mmoja kamaliza pakiti. Wapewe nyingine.
Kipigo cha fumanizi la mke WA mtu huwa ni kikali Maana hapo kuna njemba zimekuja na mafuta kabisa ,leo Man u mmeyakanyaga
 
Back
Top Bottom