Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 4,057
- 2,637
Tunapiga hii makitu week. Hii sita moja tulishapiga ten years ago
Aahaahahaha acha ufala mkuuNaona pakti ya tatu mda si mrefu itafunguliwa.
Yaani wachezaji wawili wanapiga hattrick?Kila mmoja kamaliza pakiti. Wapewe nyingine.







Kipigo cha fumanizi la mke WA mtu huwa ni kikali Maana hapo kuna njemba zimekuja na mafuta kabisa ,leo Man u mmeyakanyagaYaani wachezaji wawili wanapiga hattrick?Kila mmoja kamaliza pakiti. Wapewe nyingine.