Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread










 
255712946688_status_4ca5e7249d2c4f5eb687f30780c821f7.jpg
 
Kama kawaida ya binadamu cha kale dhahabu, nyie c mlikuwa mnamtukana Ole kila siku humu?
Hawa mashabiki wa manure huwa hayaeleweki wanataka nini, hata kipindi cha Ole walisema bora Mourinho, wakimfukuza 10 hag baadae watamkumbuka. Man U mkubali mpitie kipindi cha kujenga timu msitake mafanikio ya haraka haraka, timu sasa hivi EPL ni nyingi zinazoshindana kwa ajili ya ubingwa ndo sababu ligi inakuwa ngumu sio kama zamani ambapo timu nne tu ndo zilikuwa zinapambania ubingwa, msimu huu imeongeza Newcastle nayo inataka ubingwa
 
Back
Top Bottom