Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,210
- 20,954
Nilikuwa naitafuta comment yako mkuuHawa manyumbu wanacheza kama wapo period![]()



Nilikuwa naitafuta comment yako mkuuHawa manyumbu wanacheza kama wapo period![]()



Wew najua ni mtoto na Hilo linaonekana ulipomuita kiungo wenu Thomas partey kuwa ana low IQ but nao ishajulikana Kati yako na yeye nany ana low IQ.Sio kucheza kwa presha sema huna uwezo wa kucheza km Man city, itakuchua miaka 5 kucheza huo mpira.![]()
Wew najua ni mtoto na Hilo linaonekana ulipomuita kiungo wenu Thomas partey kuwa ana low IQ but nao ishajulikana Kati yako na yeye nany ana low IQ.


King safi sana huyu kima unatakiwa umpige palepale kwenye kidonda.Hawa mashabiki wa manure huwa hayaeleweki wanataka nini, hata kipindi cha Ole walisema bora Mourinho, wakimfukuza 10 hag baadae watamkumbuka. Man U mkubali mpitie kipindi cha kujenga timu msitake mafanikio ya haraka haraka, timu sasa hivi EPL ni nyingi zinazoshindana kwa ajili ya ubingwa ndo sababu ligi inakuwa ngumu sio kama zamani ambapo timu nne tu ndo zilikuwa zinapambania ubingwa, msimu huu imeongeza Newcastle nayo inataka ubingwaKama kawaida ya binadamu cha kale dhahabu, nyie c mlikuwa mnamtukana Ole kila siku humu?

Keshawaonesha na hamna Beki nyieUyu dogo halland katutolea maneno ya shombo sana kwanza anakwambia united haikua timu ya hadhi yake kuichezea pili kanasema sis kalikua kanatutamani mda mrefu kweli katuoneshe ngoja tumuone hiyo Leo
Wanamatako haswaHawa man u wazuri nyuma wanatamanisha kweli