Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kila nikipita kitaa leo watu wana tabasam mpaka nikabidi nimuulize mmoja kuna kani jibu.

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Manchester city 1 Manchester united 4

Time
10:00
1664278887054.jpg
 
Kocha la Mpira ETH kwny first press alipoulizwa anazungumziaje ubora wa Liverpool na Man City na ana mpango gani kukabiliana nao,

Alijibu
"WE SHALL BATTLE THEM ALL" 💪🏾💪🏾.
Kauli ya kiume sana hii, na tushaanza shughuli.

Morale ikiwa juu hata mambo yanayoonekana kutowezekana huwa yanawezekana.

Sema tulimiss sana timu la mpira, hatujawa uwanjani muda mrefu.

GGMU 💪🏾💪🏾
 
Man city jinsi anavyotufukuza, anaweza akaharibu TITLE CONTENDER

Tatizo nyie wapuuzi mnakelele sana

Bora mfe tu, man city nitamshughulikia mwenyewe

City 7 vs nyumbu 0
Pumbavu thanaa 😁😁😁😁
 
Ushindi unawezekana kama mtaibeba OT kwenda nayo Etihad, timu yoyote inaweza kucheza Counter km kuna support ya mashabiki nyuma.
Will Jr: unateseka ukiwa wapi?
Hivi kati yako wewe na Partey nani mwenye low IQ?

Kama Arteta mwenyewe kathibitisha ubora na uimara wa kikosi cha Man United msimu huu wewe ni nani wa kuibeza timu kubwa zaidi hapa duniani?
 
Back
Top Bottom