








Hii kauli ndo ulikua unaicheka chiefNyie vibwengo nyumbu mkishinda Leo naacha kutumia jf![]()
Unaota wewe mdadaTukishinda game ya leo dhidi ya city, itakuwa ngumu kwa Chelsea na Tottenham kutufunga napia tutakua katika hali nzuri ya kiushindani msimu huu.





Pumbavu thanaa 😁😁😁😁Man city jinsi anavyotufukuza, anaweza akaharibu TITLE CONTENDER
Tatizo nyie wapuuzi mnakelele sana
Bora mfe tu, man city nitamshughulikia mwenyewe
City 7 vs nyumbu 0
ChildishUnaota wewe mdada
Ushindi unawezekana kama mtaibeba OT kwenda nayo Etihad, timu yoyote inaweza kucheza Counter km kuna support ya mashabiki nyuma.



Will Jr: unateseka ukiwa wapi?
Try to respect ur self sawa coz even ur comments define what kind of person you are.Unaota wewe mdada