UpupuWith Man U you'r always happy
Dah! kumbe Mzee yupo very sad aisee.
Niamin ,Ten hagg Ni kocha wakawaida Sana, hamkuti hata oleKocha la Mpira ETH kwny first press alipoulizwa anazungumziaje ubora wa Liverpool na Man City na ana mpango gani kukabiliana nao,
Alijibu
"WE SHALL BATTLE THEM ALL" 💪🏾💪🏾.
Kauli ya kiume sana hii, na tushaanza shughuli.
Morale ikiwa juu hata mambo yanayoonekana kutowezekana huwa yanawezekana.
Sema tulimiss sana timu la mpira, hatujawa uwanjani muda mrefu.
GGMU 💪🏾💪🏾
Ananiudhi mm tabia yake hiyo sema basi tu.Rashford kazi yake kutema mate tu
Last season wachezaji walimuangusha ole lakini Msela alikuwa anamuwezea Sana tu kipara.Hata Ole alikuwa hachez hivi
Kwann hampend kufanya analysis ya game zenu muujue Ukweli?Tukishinda game ya leo dhidi ya city, itakuwa ngumu kwa Chelsea na Tottenham kutufunga napia tutakua katika hali nzuri ya kiushindani msimu huu.
Hapa ndio unapoona tofauti ya Man United na Arse

hua mna excuse hata mkitiwa kidole na bado mtasifia juu na hamtaki timu, machezaji au kocha akosolewe.
Ole aliangushwa na Bodi kumuingilia kumletea Ronaldo,Last season wachezaji walimuangusha ole lakini Msela alikuwa anamuwezea Sana tu kipara.
Umebakiza Goal 1 tu utabir wako utimie nabiiHALAAND HAT TRICK![]()

