Hamnakwa dribbling yake naona 100mil ilikuwa nying kwake ila tumpe mda

nyingi ndiyo lakin value anayoongeza kikosini, subiri uone. Tulimhitaji zaidiHamnakwa dribbling yake naona 100mil ilikuwa nying kwake ila tumpe mda

nyingi ndiyo lakin value anayoongeza kikosini, subiri uone. Tulimhitaji zaidiMartinez miezi 6 nje...Dah namna tulivyoanza ligi sikuwaza inaweza baki point tatu kuwa kileleni.
Wengi hawajaonaAppreciation kwa Fredy baada ya kuingia.View attachment 2345885
, 🤣🤣 kabsaa chief
Tulichelewa sana kuwa na Eriksen.
Acha uroziMartinez miezi 6 nje...
Halima Gwaya anarudi kama kawa.,
Msije.sema.sikuwaambia...
Kumbe akili unazo enheeMpira una matokeo matatu
Man u, wame deserve kupata points 3.
Big up red devil
#COYG





Goli ninla beki namba tatu. Alizidiwa. Baadaye baada ya kiungo kutulia na Eriksen kwenda kutoa msaada gemu ikawa imeisha. Upande uliokuwa unavuja ni uleule wa beki namba tatu.mle ndani watu wanajitoa sana Martinez anaokoa mpira hadi anavunja pumbu wachezaji wana spirt sana malacia ndio hatak kupitwa kabisa sema Rapher varane bado hajatulia Goli la kwanza mpira kapolwa miguni mwake ila madogo wa Aresnal Sambi lokonga na odergard Kuna time walijitawala kabisa badaa ya kuingia Fred tu vijana wakapotea ikabidi arteta afanye Sabu Erik ten hag akikaa united misimu miwili tu atawatesa sana
Tunawakanda Tena ,ushindi wenu wa ujanja ujanja halafu mnapaki basi leo MWISHO
Baada ya game kuisha saiv utakuwa umelala..Nyie Kenge tukutane dakika 90
Misumali minne ya moto hapo hapo ukweni
Kama waarabu tunagongea ukweni na ni fresh
Na usionekane humu mbuzi weweee😂😂😂😂Nyumbu asipokufa hii game siingii humu JF miezi mitatu....