Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

mle ndani watu wanajitoa sana Martinez anaokoa mpira hadi anavunja pumbu wachezaji wana spirt sana malacia ndio hatak kupitwa kabisa sema Rapher varane bado hajatulia Goli la kwanza mpira kapolwa miguni mwake ila madogo wa Aresnal Sambi lokonga na odergard Kuna time walijitawala kabisa badaa ya kuingia Fred tu vijana wakapotea ikabidi arteta afanye Sabu Erik ten hag akikaa united misimu miwili tu atawatesa sana

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
mle ndani watu wanajitoa sana Martinez anaokoa mpira hadi anavunja pumbu wachezaji wana spirt sana malacia ndio hatak kupitwa kabisa sema Rapher varane bado hajatulia Goli la kwanza mpira kapolwa miguni mwake ila madogo wa Aresnal Sambi lokonga na odergard Kuna time walijitawala kabisa badaa ya kuingia Fred tu vijana wakapotea ikabidi arteta afanye Sabu Erik ten hag akikaa united misimu miwili tu atawatesa sana
 
Old Trafford
IMG-20220904-WA0227.jpg
 
mle ndani watu wanajitoa sana Martinez anaokoa mpira hadi anavunja pumbu wachezaji wana spirt sana malacia ndio hatak kupitwa kabisa sema Rapher varane bado hajatulia Goli la kwanza mpira kapolwa miguni mwake ila madogo wa Aresnal Sambi lokonga na odergard Kuna time walijitawala kabisa badaa ya kuingia Fred tu vijana wakapotea ikabidi arteta afanye Sabu Erik ten hag akikaa united misimu miwili tu atawatesa sana
Goli ninla beki namba tatu. Alizidiwa. Baadaye baada ya kiungo kutulia na Eriksen kwenda kutoa msaada gemu ikawa imeisha. Upande uliokuwa unavuja ni uleule wa beki namba tatu.
 
Magwaya amecheza mipira miwili yote yangeweza kuwa magoli. Ile faulo na ile penalty refa angefunika gemu ingebadilika kabisaa.
Dikson Job, Inonga, Bangala, wanamzidi Magwaya mara kumi.

No wakati sasa Man U kumsajili mtu mwenye akili timamu kama Tapsoba yule anayechezea Bundesliga
 
Magwaya amecheza mipira miwili yote yangeweza kuwa magoli. Ile faulo na ile penalty refa angefunika gemu ingebadilika kabisaa.
Dikson Job, Inonga, Bangala, wanamzidi Magwaya mara kumi.

No wakati sasa Man U kumsajili mtu mwenye akili timamu kama Tapsoba yule anayechezea Bundesliga
 
Back
Top Bottom