D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Ten Hag kuhusu Eriksen/Fernandes: "Bruno Fernandes anapata msaada. Yeye [Bruno Fernandes] anauwezo wa kupiga pasi ya mwisho na kupokea pia pasi za mwisho. Wameendana vizuri kabisa."
on to the next one






kwa dribbling yake naona 100mil ilikuwa nying kwake ila tumpe mda

