raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,798
- 36,686
Hamna 😀 kwa dribbling yake naona 100mil ilikuwa nying kwake ila tumpe mdaBoss, unaonekana haumpendi tu Antony! Maana unamkosoa kupitiliza bila sababu.
Antony alikuwa akiwajibu washabiki wa Gooners!