Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ujinga kumsifia tominay ambaye hajui kukaba bila rafu za kipuuzi kumaliza mpira ule bila kadi ni udhaifu mmojawapo wa mwamuzi wa jana anakumbatia mpaka aibu

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app

IMG_0835.png
 
Ujinga kumsifia tominay ambaye hajui kukaba bila rafu za kipuuzi kumaliza mpira ule bila kadi ni udhaifu mmojawapo wa mwamuzi wa jana anakumbatia mpaka aibu

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Mda mwingine Dm lazima uwe na roho mbaya ,,,,!! Mzee wa kazi chafu, sio Mambo ya urembo !!!

Huyu unaemuita ana rafu za kipuuzi ndo kawakalisha sambi na Granit wakapoteana !!! Jana martinel na saka ndo walikuwa na uhai tu,,, wengine wote Deadwoods, hata Jesus hakua clinical, anahitaji nafasi nane apate moja !
 
Mda mwingine Dm lazima uwe na roho mbaya ,,,,!! Mzee wa kazi chafu, sio Mambo ya urembo !!!

Huyu unaemuita ana rafu za kipuuzi ndo kawakalisha sambi na Granit wakapoteana !!! Jana martinel na saka ndo walikuwa na uhai tu,,, wengine wote Deadwoods, hata Jesus hakua clinical, anahitaji nafasi nane apate moja !
Unahitaji kuwa kauzu sana kuandika uliyoyaandika,mpira ilifika kipindi possesion ilisoma 15% kwa 85% then unakuja kusema alifunika kiungo cha arsenal duh....una moyo

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Magwaya amecheza mipira miwili yote yangeweza kuwa magoli. Ile faulo na ile penalty refa angefunika gemu ingebadilika kabisaa.
Dikson Job, Inonga, Bangala, wanamzidi Magwaya mara kumi.

No wakati sasa Man U kumsajili mtu mwenye akili timamu kama Tapsoba yule anayechezea Bundesliga
Umeongea kitu huy jamaa si raia wa Burkina Faso alikiwasha kweli kweny Africon alikua ancheza pacha na yule beki wa berkane

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Ericksen vitu anavyofanya ndivyo paul pogba alitakiwa kufanya kaungana vizur sana na bruno pasi zote zilizozaa magoli chanzo huyo jamaa watahitaji kupata mtu wa namna hiyo kwa sababu umri wake umekwenda

Kiungo cha United kilitakiwa kuwa hivi chini ya huyo kocha mpya endapo angefanikiwa kwa na de jong

De jong
Ericksen
Bruno

Hapo timu ingekuwa na ubora wa kutosha
Sajili zijazo ni kureinforce kiungo na forward.

Kiungo kikiwa vyema, hata kama mabeki sio wazuri, mapungufu yanafunikwa.
 
Back
Top Bottom