raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,503
- 35,686
Yah man jamaa hayupo midomon mwa watu ila anaupiga mwingi sanaJamaa kama hayupo vile ila anafanya mambo makubwa sana..
Anton aache kucheza na jukwaa
Yah man jamaa hayupo midomon mwa watu ila anaupiga mwingi sanaJamaa kama hayupo vile ila anafanya mambo makubwa sana..
Amesababisha tumemsahau Pogba mapema sana.kwangu mimi MOTM ni ni Eriksen, goli zote 3 ametengeneza yeye akitoa mpira kwenye wakati mgumu na kupeleka mbele, anafanya kazi ya Bruno na Attacker wengine kuwa rahisi sana.
Nilishasema, usiku wa deni haukawii nyie nyumbu.. mkae mkijua leo lazima niwale kichwa!




Dah! Mkuu kumbe hauko Tech tu na humu unapigakwangu mimi MOTM ni ni Eriksen, goli zote 3 ametengeneza yeye akitoa mpira kwenye wakati mgumu na kupeleka mbele, anafanya kazi ya Bruno na Attacker wengine kuwa rahisi sana.



Ndivyo inatakiwa.Mc tominay amecheza vizuri sana leo sijui sababu ya ushindani anaogopa bench.