Exogenous Factor
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 1,413
- 2,358
Mechi ya jana ulikuwa umeshaitizama kabla ya jana



Arsenal baba yao Ronaldo tu akisimama pale mbele hakuna Gabriel wala Black sijui Tierney, ni mauchafu yamejaa pale nyuma.
Arsenal wameruhusu magoli mengi sana, eneo ambalo wapo vizuri ni kwenye ushambuliaji na hili tatizo ni kuwawekea Casemiro na Fred halafu nyuma ya hao watu kama kawaida The Butcher na Champions League Varane.
Arsenal anapasuka siyo chini ya magoli matatu.

malacia Jana hakua na game nzuri 

