Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Magwaya amecheza mipira miwili yote yangeweza kuwa magoli. Ile faulo na ile penalty refa angefunika gemu ingebadilika kabisaa.
Dikson Job, Inonga, Bangala, wanamzidi Magwaya mara kumi.

No wakati sasa Man U kumsajili mtu mwenye akili timamu kama Tapsoba yule anayechezea Bundesliga
Hapana ile foul ni muhimu, asingecheza kulikua na posibility ya 1v1 baina ya varane na forward wa Arsenal.
 
always good to see you, cristiano.

Ricardo kaka alikuwepo old trafford
1662340402762.png
 
mle ndani watu wanajitoa sana Martinez anaokoa mpira hadi anavunja pumbu wachezaji wana spirt sana malacia ndio hatak kupitwa kabisa sema Rapher varane bado hajatulia Goli la kwanza mpira kapolwa miguni mwake ila madogo wa Aresnal Sambi lokonga na odergard Kuna time walijitawala kabisa badaa ya kuingia Fred tu vijana wakapotea ikabidi arteta afanye Sabu Erik ten hag akikaa united misimu miwili tu atawatesa sana

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Akipewa na wachezaji sahihi kwake.

Tutawanyoosha hatari.
 
Mechi ya jana ulikuwa umeshaitizama kabla ya jana
Arsenal baba yao Ronaldo tu akisimama pale mbele hakuna Gabriel wala Black sijui Tierney, ni mauchafu yamejaa pale nyuma.

Arsenal wameruhusu magoli mengi sana, eneo ambalo wapo vizuri ni kwenye ushambuliaji na hili tatizo ni kuwawekea Casemiro na Fred halafu nyuma ya hao watu kama kawaida The Butcher na Champions League Varane.

Arsenal anapasuka siyo chini ya magoli matatu.
 
Eriksen huyu jamaa fundi sana anazeeka na ufundi wake tokea amesajiliwa Spurs mara ya kwanza jamaa nilikuwa namkubali sana mpaka leo hii .

Antony inaonekana Man U ilikuwa timu yake tokea udogoni mchizi inaoneka ana mahaba nayo sana na ana shauku ya mafanikio ya haraka sio kama wale wakina Antony wazembe haswa Martial mtu wa mapema .
 
mle ndani watu wanajitoa sana Martinez anaokoa mpira hadi anavunja pumbu wachezaji wana spirt sana malacia ndio hatak kupitwa kabisa sema Rapher varane bado hajatulia Goli la kwanza mpira kapolwa miguni mwake ila madogo wa Aresnal Sambi lokonga na odergard Kuna time walijitawala kabisa badaa ya kuingia Fred tu vijana wakapotea ikabidi arteta afanye Sabu Erik ten hag akikaa united misimu miwili tu atawatesa sana
Ile sub ya Fred ilikuja wakati sahihi maana alikuja kuzuia penetration passes za Odegard kwa Saka, hii ilisaidia sana kupunguza pressure upende wa Malacia ambako Saka alikuwa anavuma kila muda.

Bila hivyo msako ungeendelea na wangesawazisha tu, maana team yote ilirudi nyuma.
 
Up the reds

malacia Jana hakua na game nzuri
mctominay kaimprove Sana, anakaba vzr, pasi hapotezi Sana
Ericksen just exceptional
Rashy chini ya ETH kaimprove
Above all, timu iko na spirit,,,,ndo kitu tulikikosa tangia enzi za moyes!

#GGMU
 
Up the reds

malacia Jana hakua na game nzuri
mctominay kaimprove Sana, anakaba vzr, pasi hapotezi Sana
Ericksen just exceptional
Rashy chini ya ETH kaimprove
Above all, timu iko na spirit,,,,ndo kitu tulikikosa tangia enzi za moyes!

#GGMU
Ujinga kumsifia tominay ambaye hajui kukaba bila rafu za kipuuzi kumaliza mpira ule bila kadi ni udhaifu mmojawapo wa mwamuzi wa jana anakumbatia mpaka aibu

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Up the reds

malacia Jana hakua na game nzuri
mctominay kaimprove Sana, anakaba vzr, pasi hapotezi Sana
Ericksen just exceptional
Rashy chini ya ETH kaimprove
Above all, timu iko na spirit,,,,ndo kitu tulikikosa tangia enzi za moyes!

#GGMU

Ericksen vitu anavyofanya ndivyo paul pogba alitakiwa kufanya kaungana vizur sana na bruno pasi zote zilizozaa magoli chanzo huyo jamaa watahitaji kupata mtu wa namna hiyo kwa sababu umri wake umekwenda

Kiungo cha United kilitakiwa kuwa hivi chini ya huyo kocha mpya endapo angefanikiwa kwa na de jong

De jong
Ericksen
Bruno

Hapo timu ingekuwa na ubora wa kutosha
 
Back
Top Bottom