Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,477
Hapana ile foul ni muhimu, asingecheza kulikua na posibility ya 1v1 baina ya varane na forward wa Arsenal.Magwaya amecheza mipira miwili yote yangeweza kuwa magoli. Ile faulo na ile penalty refa angefunika gemu ingebadilika kabisaa.
Dikson Job, Inonga, Bangala, wanamzidi Magwaya mara kumi.
No wakati sasa Man U kumsajili mtu mwenye akili timamu kama Tapsoba yule anayechezea Bundesliga



malacia Jana hakua na game nzuri 

