Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,080
- 12,312
Tushawapeni kombe la gahawa, kachukueni kwa mzee Jaah pale mwembe hanga.Skizeni nyie takataka ..mumeona usajili tulofanya? Nani ayiogopi Chelsea hahahaha nacheka uku naogopa ..maana tunaenda kumwaga damu EPL ..hahaha aise mutupe kombe letu tu Yani![]()


12:30 jioni
