Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Huyu jamaa mimi natamani hata avunjwe tu miguu ijulikane mojaBruno anachezea jina tu sasa



Huyu jamaa mimi natamani hata avunjwe tu miguu ijulikane mojaBruno anachezea jina tu sasa



Kila mgonjwa anapewa dozi kulingana na maradhi yake.Kwa mpira huu wa leo Arsenal atatusumbua sana
He should start on sundayRonaldo has been classy today, he has displayed uncharacteristic team spirit.
Kupiga walemavu goli 6 ni kujitafutia laana tu, hio michezo wamezoea kina liverfool wajaa laana wasio na utu.Tumecheza hovyo sana leo kule mbele..
Leicester ilibidi wafe kama sita bila hivi..
Ronaldo Jumapili akianza lazima apige hatrick, maana ana hasira kinoma ya kuanzia bench mechi 5 mfululizo.He should start on sunday
Vipi walisafirisha au walisafirishwa waoMtaamua wenyewe mnasafirisha au mnatupa tu mzoga
Kiungo ndidi, Yuri, Madison
View attachment 2342468









You complain alot Mkuu....Sometimes appreciate what you get....Team hii bado sana lakini we need to be winning games while building and restructuring the playing style and system.....Kikubwa kwa sasa ushindi, naamini mazuri yaja.Tumecheza hovyo sana leo kule mbele..
Leicester ilibidi wafe kama sita bila hivi..
Arsenal baba yao Ronaldo tu akisimama pale mbele hakuna Gabriel wala Black sijui Tierney, ni mauchafu yamejaa pale nyuma.Kwa mpira huu wa leo Arsenal atatusumbua sana
Huangalii mpira wewe. Tactics zinatofautiana sana ukiangalia vizuri. Arsenal anabikiriwa.Kwa mpira huu wa leo Arsenal atatusumbua sana

Usihadaike na gemu iliyo isha. Kocha aende na mwendo alio anza nao kwa liverpool. Kubadiliaha badiliaha tena kwenye big mechi itagharimu ushindi. Nipo hapa utaona ushindi utakavyo kuwa mgumu ikiwa kocha atabadili kikosiRonaldo Jumapili akianza lazima apige hatrick, maana ana hasira kinoma ya kuanzia bench mechi 5 mfululizo.
Huyo Fred nae ni Mchezaji WA kujivunia kweli ?Arsenal baba yao Ronaldo tu akisimama pale mbele hakuna Gabriel wala Black sijui Tierney, ni mauchafu yamejaa pale nyuma.
Arsenal wameruhusu magoli mengi sana, eneo ambalo wapo vizuri ni kwenye ushambuliaji na hili tatizo ni kuwawekea Casemiro na Fred halafu nyuma ya hao watu kama kawaida The Butcher na Champions League Varane.
Arsenal anapasuka siyo chini ya magoli matatu.
Arsenal baba yao Ronaldo tu akisimama pale mbele hakuna Gabriel wala Black sijui Tierney, ni mauchafu yamejaa pale nyuma.
Arsenal wameruhusu magoli mengi sana, eneo ambalo wapo vizuri ni kwenye ushambuliaji na hili tatizo ni kuwawekea Casemiro na Fred halafu nyuma ya hao watu kama kawaida The Butcher na Champions League Varane.
Arsenal anapasuka siyo chini ya magoli matatu.