Dah yani nashangaa fans wenzangu mnavyo lalamika yani hivi mlitegemea nini cha ajabu man u tutafanya msimu huu.
Yani kocha hata mechi 10 ajamaliza kelele mbona tulikubalia humu kuwa msimu huu tusitarajie makubwa mmekuwaje hivi.
Hivi mnajua mki panic mashabiki mna mpa kocha nae pressure ya kufanya nae a panic.
Mimi kama
allypipi kwangu kwenda big 4 au kushinda ueropa naona ndo yatakuwa mafanikio makubwa kwetu msimu huu hakuna jipya.
Nakushauri tu kama una tegemea makubwa kutoka kwa Manchester united msimu huu bora uache kufatilia mpira tu Mpaka pale utaposikia mambo yapo sawa.
hata Ac milan wamekaa muda lakini wamevumilia msimu ulio kwisha wametwaa taji.
Inabidi tu tukubali kwamba kwa sasa hatuna uwezo huo wakujilinganisha na liver,city
Tuvumilie tu ndo timu yetu.