Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dah yani nashangaa fans wenzangu mnavyo lalamika yani hivi mlitegemea nini cha ajabu man u tutafanya msimu huu.

Yani kocha hata mechi 10 ajamaliza kelele mbona tulikubalia humu kuwa msimu huu tusitarajie makubwa mmekuwaje hivi.

Hivi mnajua mki panic mashabiki mna mpa kocha nae pressure ya kufanya nae a panic.

Mimi kama allypipi kwangu kwenda big 4 au kushinda ueropa naona ndo yatakuwa mafanikio makubwa kwetu msimu huu hakuna jipya.

Nakushauri tu kama una tegemea makubwa kutoka kwa Manchester united msimu huu bora uache kufatilia mpira tu Mpaka pale utaposikia mambo yapo sawa.

hata Ac milan wamekaa muda lakini wamevumilia msimu ulio kwisha wametwaa taji.

Inabidi tu tukubali kwamba kwa sasa hatuna uwezo huo wakujilinganisha na liver,city

Tuvumilie tu ndo timu yetu.
 
We kenge kumbe na wewe unajua ku foka
We na Ronaldo wako unaboa sasa, mtu yupo kwenye kikosi na kaingizwa kipindi cha pili wakati timu ishafungwa goli mbili bila na bado unalaumu kwnn kaingia ulitaka asiingie ili awe analipwa mshahara wa bure? Punguza bias basi, kuna mda uwe rational bhn.
 
Wambie pia Liverpool alijiandaa miaka 30 mpaka kuja kuchukua ubingwa.
Dah yani nashangaa fans wenzangu mnavyo lalamika yani hivi mlitegemea nini cha ajabu man u tutafanya msimu huu.

Yani kocha hata mechi 10 ajamaliza kelele mbona tulikubalia humu kuwa msimu huu tusitarajie makubwa mmekuwaje hivi.

Hivi mnajua mki panic mashabiki mna mpa kocha nae pressure ya kufanya nae a panic.

Mimi kama allypipi kwangu kwenda big 4 au kushinda ueropa naona ndo yatakuwa mafanikio makubwa kwetu msimu huu hakuna jipya.

Nakushauri tu kama una tegemea makubwa kutoka kwa Manchester united msimu huu bora uache kufatilia mpira tu Mpaka pale utaposikia mambo yapo sawa.

hata Ac milan wamekaa muda lakini wamevumilia msimu ulio kwisha wametwaa taji.

Inabidi tu tukubali kwamba kwa sasa hatuna uwezo huo wakujilinganisha na liver,city

Tuvumilie tu ndo timu yetu.
 
Mkuu,
Weakness ya Martinez siyo speed ni physique(esp. Height yake)
Unawezaje kucheza high line ikiwa beki wako hana pace?
Kwenye huu mfumo, Which factor can be compromised, pace au ball playing ability ya defender? Pengine mm ndo sielewi au
Who is more suited kwenye huu mfumo wa high line? Maguire au Bailly?

Wote tunafahamu Maguire hana pace, tukicheza high line anakuwa exposed. Msimu wa 19/20 kuna kipindi tulicheza mechi kadhaa bila ku concede, tulikuwa tunacheza low block na Maguire alishine sana.
Sasa unaposema Bailly anafit kwenye low block pekee nashangaa


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
By any means inabid mpate DEFENSIVE MIDFIELDER

Mtafuteni mtu mfanano na partey au fenandinho

Hayo menginge yatakaa sawa.

Nilishawai kusema na nasema tena
Hapa dunia hakuna beki akipelekewa moto mara nne mfululizo asipoteane

Tutamlaumu magwaya bure tu

Huyu Martinez soon mtaona kama mmepigwa
Umemaliza kila kitu.

Mctominay sio Holding wakutegemea kabisa

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Ila Fernandes aisee amedrop sana..sijui wenzangu mnamuonaje..
Mkuu, bila kupata DM kwenye hii timu kila mchezaji tutaanza kumuona hamna kitu.

Hebu tujiulize ni kwanini Maguire alikuwa mzuri hapo Leicester na leo tunamuona mzembe?

Muda sio mrefu hata Martinez tutaanza kuona tumepigwa,timu haina mtu wa kuichezesha. Tominay akipata mpira anafanya kazi ya kurudisha nyuma kwa kipa,akitaka kwenda mbele ndio kituko zaidi hajui hata pa kuupeleka mpira.

Mimi nadhani tukipata DM ataongoza pale kati vizuri,pale kati pamekosa kiongozi hawa akina Macfred wanacheza kama wamekatwa vichwa lazima akina Maguire waendelee kuonekana vituko. Japo Maguire amekuwa mzembe mzembe bado siamini kama ni beki mbaya sana kama tunavyomsema.

Tatizo lingine lipo kwa DDG, uwezo wake wa kucheza na wachezaji ni mdogo sana,ni muoga na hajiamini kila akirudishiwa mpira anabutua. Sasa sijajua labda ni hawaamini wachezaji wake au ni yeye hajiamini.
 
Huwa humuoni kama mchezaji, sasa unamuona kama nani? Alafu Maguire ni bonge la beki, tatizo liko kwa kocha. Timueni kwanza huyo kocha anawachelewesha sana
Tupambane mizigo yote iondoke. Rashford, Maguire, Fred, Mctomy, Martial and last but not least Phil Jones japo huwa simuoni kama ni mchezaji.
 
sikuangalia mechi, lakini kwa mujibu wa statistics, hasa kwenye ball possession basi naona timu iko poa ukilinganisha na mwaka jana.

Matokeo ya jana cocha yuko responsible kwa kuwapanga Shaw na Sancho ambao hawakuwa fit for the match almost during the whole of last week.

He even made it worse kwa kumuingiza Ronaldo.
Ungeangalia Mechi ungelia machoziii...
 
Mkuu, bila kupata DM kwenye hii timu kila mchezaji tutaanza kumuona hamna kitu.

Hebu tujiulize ni kwanini Maguire alikuwa mzuri hapo Leicester na leo tunamuona mzembe?

Muda sio mrefu hata Martinez tutaanza kuona tumepigwa,timu haina mtu wa kuichezesha. Tominay akipata mpira anafanya kazi ya kurudisha nyuma kwa kipa,akitaka kwenda mbele ndio kituko zaidi hajui hata pa kuupeleka mpira.

Mimi nadhani tukipata DM ataongoza pale kati vizuri,pale kati pamekosa kiongozi hawa akina Macfred wanacheza kama wamekatwa vichwa lazima akina Maguire waendelee kuonekana vituko. Japo Maguire amekuwa mzembe mzembe bado siamini kama ni beki mbaya sana kama tunavyomsema.

Tatizo lingine lipo kwa DDG, uwezo wake wa kucheza na wachezaji ni mdogo sana,ni muoga na hajiamini kila akirudishiwa mpira anabutua. Sasa sijajua labda ni hawaamini wachezaji wake au ni yeye hajiamini.
Mtu anaposema eti Maguire alikuwa mzuri Leicester huwa simuelewi kabisa, kwamba anajisahaulisha Leicester ni timu ndogo au?
 
Mtu anaposema eti Maguire alikuwa mzuri Leicester huwa simuelewi kabisa, kwamba anajisahaulisha Leicester ni timu ndogo au?
Acha tu mzee, Huyu Maguire sijui ilikuaje tukamnunua kwa bei mara mbili ya Gharama tulizojengea UDSM new library.

Jamaa hajui kujipostion hata haangalii mazingira ajue anaenda wapi yeye jicho kwa mpira movement nyuma yake halijui.

Kilichokera zaidi eti Captain

Hata huko Leicester alikua mtu wa maboko tu.

Alafu watu wanasema tumvumilie Ten Haag, anajiharibia sana ilitakiwa Rashford, Maguire, Martial, na takataka zote zilizotukwamisha msimu uliopita zinapunguzwa benchi.

Kwanini asiamini madogo Like Gernacho badala ya Rashford ambae kashajiona amepatia maisha baada ya kupewa MBE.

Kiungo aamini mmoja kati ya Garner au Charlie Savage au Zidane Iqbal, Garner.

Kutoa warning kua hapa hakuna tena ujuaji bali Form and delivery.

Mshambuliaji hata sijui why hatusajili.
Ronaldo na drama zote nae anahitaji challenge ya namba vinginevyo tutapandwa kichwani hadi tukome.

Unakuta eti Martial mshambuliaji wa kumpa challenge Ronaldo?

Sokoni hakuna mtu aggressive na goli wa kijipostion vizuri.

Ronaldo anayaweza hayo tatizo drama kelele hadi kuharibu morale mara kuondoka mara vipi?

Brand over team no man

Leten forward wa kudelvery ambae hajaonja ubishoo. Ili wawe wanabadilishana namba na faza Ronaldo.

Kingine Ten Haag afanye kazi aache kusikiliza mafala. Wakimsumbua awaambie "HAPANGIWI" In Magufuli Voice na kingine ili awe na nguvu inatakiwa anao wapanga awe ndio amewaibua sio waliofukuzisha makocha.
 
Licha ya kufanya changes kwenye top management club bado ina shida,ilikuwa big mistake kumpa kazi Ralf Rangnick then baadae akafukuzwa,moja ya sababu kubwa kumpa kazi ilikuwa aje kuwa mshauri na i believe kipindi alichokaa tayari kuna matatizo mengine aliyagundua na alishaanda ushauri kwenye some decision.
 
Licha ya kufanya changes kwenye top management club bado ina shida,ilikuwa big mistake kumpa kazi Ralf Rangnick then baadae akafukuzwa,moja ya sababu kubwa kumpa kazi ilikuwa aje kuwa mshauri na i believe kipindi alichokaa tayari kuna matatizo mengine aliyagundua na alishaanda ushauri kwenye some decision.
Natural Ralf hawezi Kumshauri ETH, tabu ya hii club ni kwamba kila siku tunaajiri mifumo mipya, kama tulitaka ushauri wa Ralf, ETH hakupaswa kuja, ilibidi Aje mtu mwengine mwenye Philosophy za Kijerumani.
 
Natural Ralf hawezi Kumshauri ETH, tabu ya hii club ni kwamba kila siku tunaajiri mifumo mipya, kama tulitaka ushauri wa Ralf, ETH hakupaswa kuja, ilibidi Aje mtu mwengine mwenye Philosophy za Kijerumani.
Now ETH ana-struggle kwenye some issue but RR alisha-observe mengi i hope angemsaidia,kuna matatizo ETH atayajua baada ya msimu kuisha ndio maana ameanza kutaka kufanya panic buy baada ya kufungwa juzi.
ETH anaweza fukuzwa au jiuzulu within 2 years then tukaanza upya
 
Now ETH ana-struggle kwenye some issue but RR alisha-observe mengi i hope angemsaidia,kuna matatizo ETH atayajua baada ya msimu kuisha ndio maana ameanza kutaka kufanya panic buy baada ya kufungwa juzi.
ETH anaweza fukuzwa au jiuzulu within 2 years then tukaanza upya
Eth kuondoka sio issue, ila kuwa na Consistency ya makocha ndio tunakosea.

Wachezaji wa RR wasingefit kwa ETH, kama unakumbuka speech zake alisema tunamiss Physical and Agressive players, mfumo wa Gegenpress unataka watu wa design hii, ndio maana Klop anaweza Manage na watu kama Wijnaldum, Henderson, Mane etc.

ETH yeye ni mould ya kina Pep na LVG, mtu wake wa kwanza aliemtaka ni FDJ si physical player, Then kaja Malacia, Martinez na Eriksen, wote hawa si Physical players angalau kidogo Martinez ni Agressive. ETH yeye ni technical zaidi anataka wachezaji ambao wapo comfortable na mpira.

So Kivyovyote vile hawa wachezaji wasingekuja chini ya RR sababu ya philosophy tofauti Zingegongana.

Cha muhimu ni kutengeneza Culture, sisi kama timu tunataka tuwe wapi? Kama tunaamua ku invest kwenye mfumo wa ETH basi hata kama ETH ataondoka aje mtu wa mifumo hii hii, hii itasaidia kupunguza rebuild na hata Academy yetu tutajua wachezaji tunawaandaa vipi.

Timu zote kubwa kama Barcelona, Madrid, Bayern, Man city, Liverpool etc wana Culture na philosophy zao.
 
Ungeangalia Mechi ungelia machoziii...

Tulianza vzr bhn. Dynamics za mchezo huwa zinabadilika kulingana na scoreboard kwa wakati fulani. Kama Bruno angefunga ile nafasi pengine tungekuwa tunazungumza mambo mengine.
Hali ilianza kuwa mbaya baada ya kufungwa. Second half kulikuwa na drastic improvement baada ya Eriksen kushuka chini.
 
Back
Top Bottom