Bujibuji mafuriko
Member
- Aug 5, 2022
- 88
- 120
Asernal eee kweli kabisa.Nyie nafasi yenu ni kuanzia tano huko...top four sahauni kabisa aisee
Hii kitu ya de jong inanisononesha Sana. Waandish wa habari wanatabia ya kuelezea inner core ya Hali ilivyo japo inauma.
Hiki mitandaoni mara usome uridhike mara utiwe pressure, jaman Umri imeenda tutakufa!
Nakumbuka nilichukia sana alcantara huyu kiungo alitugomea mazima, nikaumia sana maskin Mimi, Luca modric alituchomolea kama Dem wa masaki, akaangukia Madrid na mafanikio Yao, maamae tukasota Hadi leo, huyu de jong naye anaongea yaani kama vile sisi hatujawahi kuingia champion. Anaongea hovyo kwamba the blue kwake ndiyyo kila kitu, atagombea Mataji. Jamani tuna kimavi Gani sisi,
Kwa Sasa Kuna mchezaji kama rabiot anaipenda timu yetu, vile vile kiungo savic anatupenda man utd. Sasa sie Kwa nn tuhangaike na mijitu haitupendi??

, !!!!
uyu Magwaya Ni miyeyusho Sana aisee