OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,939
- 25,269
Munalala mpaka saa hivi nyie nyumbu muna Raha gani? Amukeni kumekuchaaa..mukashushe maturubai huyu marehemu wenu mwanitesa atazikwa kwa msaada wa serikali.😂😂😂😂
We na Ronaldo wako unaboa sasa, mtu yupo kwenye kikosi na kaingizwa kipindi cha pili wakati timu ishafungwa goli mbili bila na bado unalaumu kwnn kaingia ulitaka asiingie ili awe analipwa mshahara wa bure? Punguza bias basi, kuna mda uwe rational bhn.sikuangalia mechi, lakini kwa mujibu wa statistics, hasa kwenye ball possession basi naona timu iko poa ukilinganisha na mwaka jana.
Matokeo ya jana cocha yuko responsible kwa kuwapanga Shaw na Sancho ambao hawakuwa fit for the match almost during the whole of last week.
He even made it worse kwa kumuingiza Ronaldo.
Maake hapo kwanza nchekeLeo asubuhi na mapema nimeamka zangu kwenda kufanya mazoezi navyozidi kutembea nikawa nasikia kama kelele hivi.
Jinsi navyozidi kusogea nazo zile sauti nazo zilikuwa zina zidi kuwa kubwa maskioni mwangu nikaanza kupata hofu kwamba kuna nini mapema yote hii hata akuja kucha vizuri watu wanalia
Nika bahatika kumuona mzee mmoja hivi analia sana yule mzee nikafika pale nikamuuliza mzee wangu pole kwanza, nataka nataka nijue unalia nini mzee wangu sikuamini jibu alilonipa yule mzee kwamba furahani kubwa pale mtahani mpaka watu wanalia kilio cha furaha.
Ooh ni ilo tu mzee sasa furaha ya nini iyo mzee wangu akanambia kijana we acha tu ile kitu inayo tupaga burudani kila wiki imeludi kwaiyo hapa tunalia vilio vya furaha kijana.
Bado sikukoshwa na lile jibu alilonipa nikamwambia mzee funguka basi Wat's wrong alicho ni jibu sasa.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
prediction
Manchester united 2 Brighton 1
time:10:00 View attachment 2316667



Plan B ni Eriksen na ameshafika. Na kocha hawezi kuwa na pendekezo la mchezaji mmoja bodi ya United iliwachukua miezi minne kumsajili Harry Maguire, ikawachukua miezi mitatu kumsajili Wan Bissaka.Kama umenisoma vizuri,nimemlaumu kwakuwa inaonekana chaguo lake ni Frankie pekee na anaonekana hana plan B kama akimkosa Frankie.
Hayo matatizo mengine yanafahamika ni ya timu nzima.
Duh unaota wewe mdadasikuangalia mechi, lakini kwa mujibu wa statistics, hasa kwenye ball possession basi naona timu iko poa ukilinganisha na mwaka jana.
Matokeo ya jana cocha yuko responsible kwa kuwapanga Shaw na Sancho ambao hawakuwa fit for the match almost during the whole of last week.
He even made it worse kwa kumuingiza Ronaldo.
Man u shida yao kuu hawasajili wachezaji sahihiPlan B ni Eriksen na ameshafika. Na kocha hawezi kuwa na pendekezo la mchezaji mmoja bodi ya United iliwachukua miezi minne kumsajili Harry Maguire, ikawachukua miezi mitatu kumsajili Wan Bissaka.
Kwa hatua tuliyoifikia kwa sasa kama timu ni wazi kwamba tatizo letu siyo ubora wa makocha tena.
Hata Ole alikuwa kocha mzuri tu ila hakuwa na watu sahihi wa kufundisha.
Nafasi ya bruno angecheza nani?Hata kama tunahitaji kusajili ila mchezo wa jana tangu line up inatoka nliwaambia wadau kwenye group whatsapp kwamba kocha kashaua team balance ni ngumu sana kutoboa
Kulikua na haja gani ya kumuanzisha bruno kama winga? Kwanza hana sifa za winga,pili kiwango chake kiko chini
Poor team selection imetucost sana jana
Nimepoteza imani na Ten haag kabisa
Aaa! bhana huo ni ushabiki mandazi, we game mmoja tu hauna imani na kocha?😂😃.Hata kama tunahitaji kusajili ila mchezo wa jana tangu line up inatoka nliwaambia wadau kwenye group whatsapp kwamba kocha kashaua team balance ni ngumu sana kutoboa
Kulikua na haja gani ya kumuanzisha bruno kama winga? Kwanza hana sifa za winga,pili kiwango chake kiko chini
Poor team selection imetucost sana jana
Nimepoteza imani na Ten haag kabisa
Unapataje Spirit kwa Rashford na Maguire ?Naamini man utd ingekuwa bongo tayati ingeshasusiwa na mashabiki...Mimi binafsi nampa mechi kumi ETH za kuona mabadiliko kidogo, nataka kuona tu spirit fulani Kama timu nyingine tu.
, !!!! 

, !! EtH sio kocha mmbaya, tumpe muda, tukubali kebehi, maumivu na masimango ya kila namna kutoka kwa majirani zetu ,,, !! Bado, Mimi nasubiri mechi zangu kumi nione ETH ataleta nini kwa ujumla, Mambo hubadilika ngja tuone kwa ETH kwa kuwa yy ndiyo kocha.Unapataje Spirit kwa Rashford na Maguire ?
Yani siku kadhaa tu hapa tunaongelea kumpa kocha muda, ila timu imefungwa mechi 1 tayari watu wamegeuka, panic kila sehemu.Utd fans Ni sikio la kufa!
Tulishaambiwa ni Ni re-building,,, sio process ya siku moja au mwaka mmoja,,,,
Mnataka timu nzima isajiliwe kwenye window moja ? Ni Kitu ambacho hakiwezekani, hata kidogo ,,, ! It will take time,,,
Au mnataka tuchukue EPL na combination ya macFred?, !!!!
Wenzetu wako too professional kwenye kuendesha timu zao,sio Kama sisi huku Africa tunaendesha na mihemuko, kukomoana na siasa ! mfano kila window lazima wanaangalia outgoings na incomings, ili kubalance madaftari yao kibiashara na kuepuka rungu la FFP,,,, !!
EtH apewe muda, naamini board itamsapoti, ndani ya misimu walau miwili ndio tuje hapa tupime uwezo wake,,,,!!! Kuna kitu anakiongea Sana hatumuelewi(right player), alafu enzi za punic buying za Woodward zilishapita,,,, ! (rejea kina falcao, dimaria, rojo ,blind , n.k, mikataba minono , hamna wanacho-deliver)
Pep alipokuja city pamoja na wahuni wale wa kiarabu kumwaga hela atakavyo lakini ilimchukua zaidi ya msimu mmoja kuijenga city tunayoiona Sasa hivi,,, ,,
Vile vile klop alikuta magarasa kibao akayasafisha na kusajili karbia misimu minne, ndio liver tunayoiona Leo kila msimu wanagombania kombe,, !!!!
Utd sasa baada ya mechi moja kila mtu anaongea yake,,, serious tunataka kuchukua epl au, !! EtH sio kocha mmbaya, tumpe muda, tukubali kebehi, maumivu na masimango ya kila namna kutoka kwa majirani zetu ,,, !!
Thought on other teams,,, ??
City untouchable
Liver wako Good, mid yao tia maji tia maji waombe Sana wachezaji wao wawe fit na consistent!
Arsenal ni Ile ile miaka nenda rudi
Chelsea wakikaza wanaweza kuingia top four
Spurs,,,dah Conte tunamchukulia poa ila this time anaweza kutupa lesson!
Trust the process,,, Glory Glory Utd