Kama unaona tetesi za sasa sokoni tunatafuta DM, tumekuwa linked na DM kadhaa, Rabiot, yule wa Real Betis etc. Mpaka sasa hatujui ETH anataka nini. Kuna uwezekano amemkosa FDJ hivyo ameamua kwenda na DM wa kawaida na box to box (kama tetesi za sms ni za kweli)
Na Fernandinho na Rodri wote ni Baller mkuu. Ni Dm ila sio zile design za Destroyer wapo average kwenye ukabaji ila wapo vizuri zaidi kwenye kupiga pasi na kuretain possesion angalia stats za rodri hapa
Compare Rodri to others in passing, goal scoring, attacking, defense and more for the
fbref.com
Pia kante sio DM, Dm wa chelsea ni Jorginho,same situation kama ya FDJ ambaye ni Playmaker ila anakaa nyuma na mbele yake anacheza Midfield kazi.
Kwa sisi Dm wetu ni lazima ajue kuchezea mpira, kina Mcfred hawana uwezo wa kutoa mipira haraka kutoka kwa beki kwenda kwa viungo washambuliaji, mtu kama FDJ anatufaa sana kuliko Ndidi.
Kina leicester wanaweza cheza na watu kama Ndidi sababu ya wachezaji kama Tielemans na Madison ambao wanacover weakness yake ya Ushambuliaji sisi hatuna Tielemans wetu.
Angalia mechi ya Brighton Eriksen alivyoshuka mpira ulivyobadilika.