Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu, bila kupata DM kwenye hii timu kila mchezaji tutaanza kumuona hamna kitu.

Hebu tujiulize ni kwanini Maguire alikuwa mzuri hapo Leicester na leo tunamuona mzembe?

Muda sio mrefu hata Martinez tutaanza kuona tumepigwa,timu haina mtu wa kuichezesha. Tominay akipata mpira anafanya kazi ya kurudisha nyuma kwa kipa,akitaka kwenda mbele ndio kituko zaidi hajui hata pa kuupeleka mpira.

Mimi nadhani tukipata DM ataongoza pale kati vizuri,pale kati pamekosa kiongozi hawa akina Macfred wanacheza kama wamekatwa vichwa lazima akina Maguire waendelee kuonekana vituko. Japo Maguire amekuwa mzembe mzembe bado siamini kama ni beki mbaya sana kama tunavyomsema.

Tatizo lingine lipo kwa DDG, uwezo wake wa kucheza na wachezaji ni mdogo sana,ni muoga na hajiamini kila akirudishiwa mpira anabutua. Sasa sijajua labda ni hawaamini wachezaji wake au ni yeye hajiamini.
Yaani wee kama gk utasubutu kumwamzishia mpora magwaya😲😲😲
Yule ata bibi yangu akiwa na mpira anasema kabisa huo mpira unapotea🤣🤣🤣🤣🤣
 
Chief-Mkwawa mkuu hivi hatatufaha kweli uyu kwenye kiungo chetu

Maana naona kama anaweza kuja hivi.
Screenshot_20220809-143303.jpg
 
Chief stats zao haziwezi kuwa juu kwenye kukaba sababu most of the time wao ndio wanamiliki mpira na there is nothing to destroy when you have most of the ball na inategemea unawalinganisha,Kante hata kama sio DM but ni mchezaji muhimu kuliko Jorginho na ndio anamfanya Jorginho awe free.Assesment yangu sio kwa game ya juzi i will be back tukicheza hizi big match kama 2
Tulivyocheza na Brighton tukicheza hivyo against big teams aibu kubwa sana itatupata.

Sijajua ni kitu gani kimewapata wachezaji wetu wengi mbona msimu wa kwanza wa na wa pili kwa Ole walikuwa wanacheza vizuri tu ?
 
Back
Top Bottom