Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Looh
IMG-20220809-WA0296.jpg
 
Dah yani nashangaa fans wenzangu mnavyo lalamika yani hivi mlitegemea nini cha ajabu man u tutafanya msimu huu.

Yani kocha hata mechi 10 ajamaliza kelele mbona tulikubalia humu kuwa msimu huu tusitarajie makubwa mmekuwaje hivi.

Hivi mnajua mki panic mashabiki mna mpa kocha nae pressure ya kufanya nae a panic.

Mimi kama allypipi kwangu kwenda big 4 au kushinda ueropa naona ndo yatakuwa mafanikio makubwa kwetu msimu huu hakuna jipya.

Nakushauri tu kama una tegemea makubwa kutoka kwa Manchester united msimu huu bora uache kufatilia mpira tu Mpaka pale utaposikia mambo yapo sawa.

hata Ac milan wamekaa muda lakini wamevumilia msimu ulio kwisha wametwaa taji.

Inabidi tu tukubali kwamba kwa sasa hatuna uwezo huo wakujilinganisha na liver,city

Tuvumilie tu ndo timu yetu.
Umeelezea Kwa hekima na busara Sana ila mkuu ally, ushabiki huwez uficha mfukoni.


Mm nacheki recorded za man united Hadi zinaisha Sasa.

Naruidiaga Sana. Sasa Kwanini kocha haoni makosa Kwa mfano delot hafai, kwann anampa task ya right back??
 
Umeelezea Kwa hekima na busara Sana ila mkuu ally, ushabiki huwez uficha mfukoni.


Mm nacheki recorded za man united Hadi zinaisha Sasa.

Naruidiaga Sana. Sasa Kwanini kocha haoni makosa Kwa mfano delot hafai, kwann anampa task ya right back??
Mkuu kocha kasema anatengeneza timu sasa usitegemehe wachezaji wote watapotea tu ndani ya msimu mmoja.

Sio muda utaanza kuona pumba na mchele zina jitenga nadhani mpaka ipite misimu mitatu tutakua tuna wachezaji wengine kabisa,ndo maana kocha katulia uwezi fanya sajili za haraka haraka hivyo.
 
Mkuu kocha kasema anatengeneza timu sasa usitegemehe wachezaji wote watapotea tu ndani ya msimu mmoja.

Sio muda utaanza kuona pumba na mchele zina jitenga nadhani mpaka ipite misimu mitatu tutakua tuna wachezaji wengine kabisa,ndo maana kocha katulia uwezi fanya sajili za haraka haraka hivyo.
Kocha mzuri wala hatumii mda mrefu hivyo kufanya mabadiliko labda timu iwe mbovu kama Liverpool ya Klopp enzi zile. Mfano mzuri Profesa Nabi wa Yanga asiyetaka akakumbatie jenereta.
 
Duh, hii ndio man u ya pre-season!? Naona mnaandika insha tu saivi. Haah
 
Nimeitoa sehemu uko.

Watu wanalaumu wachezaji, lakini United wana bili ya juu zaidi ya mishahara ya wachezaji na uhamisho wa pili wa juu zaidi wa miaka 5 iliyopita ya klabu yoyote kwenye ligi. Ni nini kingine unaweza kutaka kutoka kwa wamiliki kuliko kuingiza pesa kwenye kikosi? Binafsi nadhani Glazers wameangushwa vibaya na watu wanaoendesha klabu kwa ajili yao. Bodi, wasimamizi, na, kusema ukweli, wachezaji. Je, tunasema kwa dhati tatizo la United ni kwamba hakuna fedha za kutosha zimetumika kwa wachezaji, wakati tumetumia zaidi ya klabu nyingine yoyote kwenye ligi? Ikiwa hiyo sio shida - sioni kabisa jinsi kubadilisha wamiliki husaidia. Nadhani hatimaye ni jukumu la wamiliki kupata watu bora zaidi ili kuendesha klabu - lakini ningeona watu kama Woodward, wasimamizi wa mifugo, bodi n.k, kuwa ndio wenye makosa zaidi hapa.
 
Back
Top Bottom