Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

McTominay mchezaji ambaye hapati namba kwenye kiungo cha Scotland leo hii unampanga at the middle of the park of Manchester United team kwenye EPL..hatupo serious kabisa.

Naskia saivi tunamtaka Mark Arnatovic..naskia kashafanya kazi na EtH huko Udachi..naona tunaenda kuwa Ten Hag affiliates FC..

Wenzetu wanasajili kina Haaland,Nunez,na kina Alvarez sisi tunapambana na kizee kilichotoka kucheza ligi ya Uchina..si ni Ighalo tu in the making hapa?

EtH,Arnold na Mortough wanafeli sana.
 
Naamini man utd ingekuwa bongo tayati ingeshasusiwa na mashabiki...Mimi binafsi nampa mechi kumi ETH za kuona mabadiliko kidogo, nataka kuona tu spirit fulani Kama timu nyingine tu.
 
Utd fans Ni sikio la kufa!
Tulishaambiwa ni Ni re-building,,, sio process ya siku moja au mwaka mmoja,,,,

Mnataka timu nzima isajiliwe kwenye window moja ? Ni Kitu ambacho hakiwezekani, hata kidogo ,,, ! It will take time,,,

Au mnataka tuchukue EPL na combination ya macFred? , !!!!

Wenzetu wako too professional kwenye kuendesha timu zao,sio Kama sisi huku Africa tunaendesha na mihemuko, kukomoana na siasa ! mfano kila window lazima wanaangalia outgoings na incomings, ili kubalance madaftari yao kibiashara na kuepuka rungu la FFP,,,, !!

EtH apewe muda, naamini board itamsapoti, ndani ya misimu walau miwili ndio tuje hapa tupime uwezo wake,,,,!!! Kuna kitu anakiongea Sana hatumuelewi(right player), alafu enzi za punic buying za Woodward zilishapita,,,, ! (rejea kina falcao, dimaria, rojo ,blind , n.k, mikataba minono , hamna wanacho-deliver)


Pep alipokuja city pamoja na wahuni wale wa kiarabu kumwaga hela atakavyo lakini ilimchukua zaidi ya msimu mmoja kuijenga city tunayoiona Sasa hivi,,, ,,

Vile vile klop alikuta magarasa kibao akayasafisha na kusajili karbia misimu minne, ndio liver tunayoiona Leo kila msimu wanagombania kombe,, !!!!

Utd sasa baada ya mechi moja kila mtu anaongea yake,,, serious tunataka kuchukua epl au , !! EtH sio kocha mmbaya, tumpe muda, tukubali kebehi, maumivu na masimango ya kila namna kutoka kwa majirani zetu ,,, !!

Thought on other teams,,, ??
City untouchable

Liver wako Good, mid yao tia maji tia maji waombe Sana wachezaji wao wawe fit na consistent!

Arsenal ni Ile ile miaka nenda rudi

Chelsea wakikaza wanaweza kuingia top four

Spurs,,,dah Conte tunamchukulia poa ila this time anaweza kutupa lesson!

Trust the process,,, Glory Glory Utd
 
Utd fans Ni sikio la kufa!
Tulishaambiwa ni Ni re-building,,, sio process ya siku moja au mwaka mmoja,,,,

Mnataka timu nzima isajiliwe kwenye window moja ? Ni Kitu ambacho hakiwezekani, hata kidogo ,,, ! It will take time,,,

Au mnataka tuchukue EPL na combination ya macFred? , !!!!

Wenzetu wako too professional kwenye kuendesha timu zao,sio Kama sisi huku Africa tunaendesha na mihemuko, kukomoana na siasa ! mfano kila window lazima wanaangalia outgoings na incomings, ili kubalance madaftari yao kibiashara na kuepuka rungu la FFP,,,, !!

EtH apewe muda, naamini board itamsapoti, ndani ya misimu walau miwili ndio tuje hapa tupime uwezo wake,,,,!!! Kuna kitu anakiongea Sana hatumuelewi(right player), alafu enzi za punic buying za Woodward zilishapita,,,, ! (rejea kina falcao, dimaria, rojo ,blind , n.k, mikataba minono , hamna wanacho-deliver)


Pep alipokuja city pamoja na wahuni wale wa kiarabu kumwaga hela atakavyo lakini ilimchukua zaidi ya msimu mmoja kuijenga city tunayoiona Sasa hivi,,, ,,

Vile vile klop alikuta magarasa kibao akayasafisha na kusajili karbia misimu minne, ndio liver tunayoiona Leo kila msimu wanagombania kombe,, !!!!

Utd sasa baada ya mechi moja kila mtu anaongea yake,,, serious tunataka kuchukua epl au , !! EtH sio kocha mmbaya, tumpe muda, tukubali kebehi, maumivu na masimango ya kila namna kutoka kwa majirani zetu ,,, !!

Thought on other teams,,, ??
City untouchable

Liver wako Good, mid yao tia maji tia maji waombe Sana wachezaji wao wawe fit na consistent!

Arsenal ni Ile ile miaka nenda rudi

Chelsea wakikaza wanaweza kuingia top four

Spurs,,,dah Conte tunamchukulia poa ila this time anaweza kutupa lesson!

Trust the process,,, Glory Glory Utd
Yani siku kadhaa tu hapa tunaongelea kumpa kocha muda, ila timu imefungwa mechi 1 tayari watu wamegeuka, panic kila sehemu.

Japo tumefungwa jana ila kuna positive nyingi tu za kutupa moyo, Eriksen jana hasa kipindi cha pili alivyodrop deep pengine anaweza kum convice ETH anunue DM kupair naye tuondokane na MCfred.
 
From De Jong to Rabiot
Kocha alisema atasajili right player ,ngoja tumpe mudaView attachment 2317755
Hapa kuna mawili, Either Murtough anamtia jamba jamba Laporta amlipe FDJ, ama wapo serious.

Uzuri wa Rabiot ni Technical sana anafit Mfumo wa ETH sina tatizo nae on the pitch.

Ubaya wake anakuja kumrithi Pogba na drama, hasa mama yake anakuwa anazingua sana.
 
McTominay mchezaji ambaye hapati namba kwenye kiungo cha Scotland leo hii unampanga at the middle of the park of Manchester United team kwenye EPL..hatupo serious kabisa.

Naskia saivi tunamtaka Mark Arnatovic..naskia kashafanya kazi na EtH huko Udachi..naona tunaenda kuwa Ten Hag affiliates FC..

Wenzetu wanasajili kina Haaland,Nunez,na kina Alvarez sisi tunapambana na kizee kilichotoka kucheza ligi ya Uchina..si ni Ighalo tu in the making hapa?

EtH,Arnold na Mortough wanafeli sana.
Sidhani hata kama Arnautovic anakuja atakua ni Choice ya kwanza, maybe depth tu replacement ya Cavani,
 
Utd fans Ni sikio la kufa!
Tulishaambiwa ni Ni re-building,,, sio process ya siku moja au mwaka mmoja,,,,

Mnataka timu nzima isajiliwe kwenye window moja ? Ni Kitu ambacho hakiwezekani, hata kidogo ,,, ! It will take time,,,

Au mnataka tuchukue EPL na combination ya macFred? , !!!!

Wenzetu wako too professional kwenye kuendesha timu zao,sio Kama sisi huku Africa tunaendesha na mihemuko, kukomoana na siasa ! mfano kila window lazima wanaangalia outgoings na incomings, ili kubalance madaftari yao kibiashara na kuepuka rungu la FFP,,,, !!

EtH apewe muda, naamini board itamsapoti, ndani ya misimu walau miwili ndio tuje hapa tupime uwezo wake,,,,!!! Kuna kitu anakiongea Sana hatumuelewi(right player), alafu enzi za punic buying za Woodward zilishapita,,,, ! (rejea kina falcao, dimaria, rojo ,blind , n.k, mikataba minono , hamna wanacho-deliver)


Pep alipokuja city pamoja na wahuni wale wa kiarabu kumwaga hela atakavyo lakini ilimchukua zaidi ya msimu mmoja kuijenga city tunayoiona Sasa hivi,,, ,,

Vile vile klop alikuta magarasa kibao akayasafisha na kusajili karbia misimu minne, ndio liver tunayoiona Leo kila msimu wanagombania kombe,, !!!!

Utd sasa baada ya mechi moja kila mtu anaongea yake,,, serious tunataka kuchukua epl au , !! EtH sio kocha mmbaya, tumpe muda, tukubali kebehi, maumivu na masimango ya kila namna kutoka kwa majirani zetu ,,, !!

Thought on other teams,,, ??
City untouchable

Liver wako Good, mid yao tia maji tia maji waombe Sana wachezaji wao wawe fit na consistent!

Arsenal ni Ile ile miaka nenda rudi

Chelsea wakikaza wanaweza kuingia top four

Spurs,,,dah Conte tunamchukulia poa ila this time anaweza kutupa lesson!

Trust the process,,, Glory Glory Utd
Mkuu umeongea ukweli wote mashabiki yani mechi ya kwanza tu lawama mimi huu msimu kwenda Uefa ndo yatakuwa mafanikio yetu.

Hivi wakuu mnajua maana ya kujenga timu kweli maana lawama kibao utadhani kocha kasema msimu huu kaja kubeba vikombe.
 
Yani siku kadhaa tu hapa tunaongelea kumpa kocha muda, ila timu imefungwa mechi 1 tayari watu wamegeuka, panic kila sehemu.

Japo tumefungwa jana ila kuna positive nyingi tu za kutupa moyo, Eriksen jana hasa kipindi cha pili alivyodrop deep pengine anaweza kum convice ETH anunue DM kupair naye tuondokane na MCfred.
Mkuu ndo mashabiki tulivyo yani mechi ya kwanza tumeanza vilio yani mapema yote hii mimi mechi 10 ndo tajua uwezo wa kocha kwasasa sitegemehi miujiza yoyote.
 
Mkuu ndo mashabiki tulivyo yani mechi ya kwanza tumeanza vilio yani mapema yote hii mimi mechi 10 ndo tajua uwezo wa kocha kwasasa sitegemehi miujiza yoyote.
Mpaka sasa hata hatujui mipango ya Kocha, Garner hajauzwa wala kutolewa mkopo hatujui kocha ana plan gani nae, hayupo fit kuanza maybe ndio maana Mc Tominay ameanza, Tumpe muda Kocha tutajua baadae mbivu na mbichi.
 
Kusema hivyo haimanishi kuwa hahitaji wachezaji.

Hata kama wewe boss wako amekupa kazi ungesema publicly kuwa resources ulizonazo hazikutoshi ?

Akisema wachezaji wake hawana talent bado watakuwa na sababu ya kufanya nae kazi ?

Wachezaji wetu wengi ni luxury na inaonekana wanatatizo la kutokuwa na nishati ya kutosha na kukosa game concentration.

Mpaka sasa tatizo siyo makocha tena
Mnanifurahishaga mnavyobadilishiaha gia angani, daah
 
Mpaka sasa hata hatujui mipango ya Kocha, Garner hajauzwa wala kutolewa mkopo hatujui kocha ana plan gani nae, hayupo fit kuanza maybe ndio maana Mc Tominay ameanza, Tumpe muda Kocha tutajua baadae mbivu na mbichi.
Kocha tunampa muda lakini kubwa kuliko yote.

Bodi ya Man United sasa hivi inaajiri makocha ili kuwadhalilisha.

Haiwezekani kushughulikia dili la mchezaji mmoja kwa miezi kadhaa huku eneo kubwa la uwanja likiwa na mapungufu mengi tu.

Jana fullbacks zetu zimetuonyesha mambo yale yale ambayo tumepiga kelele misimu yote.

Diogo Dalot siyo fullback anayeweza kucheza EPL hana huo uwezo. Ni heri ahamishiwe kwenye right wing tu
 
Yani siku kadhaa tu hapa tunaongelea kumpa kocha muda, ila timu imefungwa mechi 1 tayari watu wamegeuka, panic kila sehemu.

Japo tumefungwa jana ila kuna positive nyingi tu za kutupa moyo, Eriksen jana hasa kipindi cha pili alivyodrop deep pengine anaweza kum convice ETH anunue DM kupair naye tuondokane na MCfred.
Ila Fernandes aisee amedrop sana..sijui wenzangu mnamuonaje..
 
Ila Fernandes aisee amedrop sana..sijui wenzangu mnamuonaje..
Ni kweli amedrop ila pia jana ten hag hakupanga vizuri pale mbele,ndo maana kipindi cha pili ericksen alivorudi nyuma kidogo then brudo akasimama namba 10 ,timu ilichangamka
 
Sio mbaya,bora tu nisimuone mac tominay
Screenshot_20220808-152111_Twitter.jpg
 
Kwanini Uongozi + Kocha wasiitishe press conference wakasema mashabiki wetu duniani kote kwa sasa tunajenga timu yetu kwa miaka 4.

Msitarajie kombe lolote kwa sasa. Labda kumaliza Top 4 kadri rebuilding inavyoendelea.

Tuulizeni makombe baada ya miaka 4.

Hapo Mashabiki tukae kwa amani.
Mkuu,nijuavyo mimi timu inajengwa ikiwa katika mashindano,timu inajengwa ikiwa inapambania kitu. Huwezi kusema eti timu inajengwa hivyo hata mashabiki wasijali chochote,huo ni uongo.

Timu inayojengwa unaona kabisa hata uchezaji wake na u serious wao katika kununua wachezaji. Ingekuwa ni hivyo basi timu ingekuwa inajitoa kwenye ligi kabisa inaenda kujengwa kama nyumba ikikamilika ndio irudi.😂

Timu inayojengwa unaona kabisa hata kiuchezaji mambo yanaanza kubadilika,hata kama hamchukui ubingwa ila unaona kabisa maendeleo.

Kinachoniuma mimi ni vile nikiwaangalia wachezaji wetu,sioni hata mmoja mwenye uhakika wa namba kwenye Big 4 za pale EPL tu.


 
Kocha tunampa muda lakini kubwa kuliko yote.

Bodi ya Man United sasa hivi inaajiri makocha ili kuwadhalilisha.

Haiwezekani kushughulikia dili la mchezaji mmoja kwa miezi kadhaa huku eneo kubwa la uwanja likiwa na mapungufu mengi tu.

Jana fullbacks zetu zimetuonyesha mambo yale yale ambayo tumepiga kelele misimu yote.

Diogo Dalot siyo fullback anayeweza kucheza EPL hana huo uwezo. Ni heri ahamishiwe kwenye right wing tu
Kwa tetesi ni kwamba ETH alisema mwenyewe FDJ or bust, akimkosa FDJ atadevelop mwengine.

Hilo la Dalot hata mimi nilishaliongea sana tu, jamaa ni pazia nyuma, quality yake kubwa ni kuprogress tu mpira hata end product yake si nzuri. Tunaweza ziba mapungufu yake kwa kucheza na midfield wa kulia atakayecover nafasi yake akipana (Fdj alikuwa pia na hii role Ajax)
 
Hakika Jombaa niliwahi kusema ni lazima bodi ikubali kula hasara ndani ya hii misimu miwili kuna wchezaji wengine sana wanapaswa kuondoka.
Kama walimzuia phil jones kuondoka usitegemee cha maana hii bodi itafanya.

Upuuzi mtupu.
 
Back
Top Bottom