Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,477
ndio combo ya unbeaten run usisahau, timu ikipaki bus midfield ya Mctominay na Fred inakuwa ya kawaida, refer round ya kwanza msimu uliopita alipoumia pogba na matic. ila kwenye games kubwa no doubt jamaa wapo vizuri sana.Matic+Pogba+Fernandes isipewe kipaumbele..tunakuwa so inbalanced


Numero uno