huwezi kuelewa mkuu na hutaki ujue, huu mfumo ndio umemuua city mechi 3 msimu uliopita, kafa pale pale Etihad mara 2, chelsea kama mara zote, spurs na wengineo. na mara zote striker wawili wanakuwa na mbio, asipokuwepo mmoja wa Martial na Rashford basi anapangwa James.
mkuu Kimpembe waulize Barcelona, hakuna Asiemjua anavyo dominate, Florenzi, Danilo na yule mtoto Abou wote walikuwa nyuma muda wote sababu ya hawa watu wawili, beki pekee aliyekuwa anapanda ni kurzawa, kama unafikiri hii ni miujiza walikuwa wakibaki wenyewe nyuma sawa.