Mkuu unashindaje hapo...Mata ni mpishi mzuri umemweka bench, James juzi kaonesha mpira mkubwa sana (alitiririka sana) ilitakiwa kwa njia yoyote Martial aanzie bench. Huyo Cavani hata benchi hayupo. Haka kakocha ni takataka kabisa.
Yaani OGS anaanzisha kikosi cha kukaba badala ya kushinda. Leo tunalala mapemaaaaaTukiwa solid hapo nyuma hii gemu hii gemu tutafanya kitu
GGMU
Kuwaga siriazi siku mojamoja basiMkuu unashindaje hapo...Mata ni mpishi mzuri umemweka bench, James juzi kaonesha mpira mkubwa sana (alitiririka sana) ilitakiwa kwa njia yoyote Martial aanzie bench. Huyo Cavani hata benchi hayupo. Haka kakocha ni takataka kabisa.
hujakosea. wa5 wamepangwaDefenders wa 5?au macho yangu mabovu?
Jamaa ananikera Sana na hzo comments zake anaanza na ole out, au akimaliza anaweka ole out!
Roma haikujengwa siku moja, Ni swala la muda tu , kila kitu kitaenda poa , ok ole atoke , aje Nani ? Poch, ? Simione ? Allegry ? Wakija wanaguarrantee ubingwa season hii ???
Matial ndio namba 9 wa united.We ulisikia waaaap..lile takataka Martial limerudi tena pumbaf..View attachment 1606566
Martial kwa kweli sina imani sana naye. Yupo too soft na hashughuliki uwanjani.Mkuu unashindaje hapo...Mata ni mpishi mzuri umemweka bench, James juzi kaonesha mpira mkubwa sana (alitiririka sana) ilitakiwa kwa njia yoyote Martial aanzie bench. Huyo Cavani hata benchi hayupo. Haka kakocha ni takataka kabisa.
Baada ya mechi usije kimbia post yako.Hii Mechi Manchester United hashindi
Martial na Rashford wanaigharimu timu LeoWe ulisikia waaaap..lile takataka Martial limerudi tena pumbaf..View attachment 1606566
Sikimbii
majeruhi