Mmeshinda dhidi ya farmer club kutoka farmer league kwa mbeleko, mna keleleeeeeeeeeeee
Hizo ndo sajili zenye impact tunazozitaka.sana, jamaa anajua kupiga cross balaa, katengeneza chance 3 za uhakika leo, siku nyengine zingekuwa assist.
Ole mitano tena.★Mkuu naomba nione ile hashtag yako #OLEOUTama imekuwa #OLEFORLIFE
★
Una uhakika?Ole hana Credit kwenye hii mechi, wenye Credit ni wachezaji wenyewe na hasa Telles, Tuanzebe, bissaka, Fred na Tomy
Walalamish hawakosi. Hakuna cha mbeleko.. psg ina kikosi bora kuliko united. Lakin ndio hivyo wamepigwaMmeshinda dhidi ya farmer club kutoka farmer league kwa mbeleko, mna keleleeeeeeeeeeee
Sijui wengine huwa mnaangalia mechi kutokea angle gani?Mmeshinda dhidi ya farmer club kutoka farmer league kwa mbeleko, mna keleleeeeeeeeeeee
Rudi hapa umesahau coment yako....Kylian Satin Mbappé Lotin
Nyavu tika tika!![]()
Mmesahau Ku edit mashabiki uwanjani wapo katika picha wakati Kwa sasa mashabiki uwanjani hakuna
Aisee kweli una furaha mpaka unanitukana.Pumbavu we, tulia kama unanyolewa.
Nilisha kua mbia "utawakataa hao" PSG ni tawi letu.
WasikuchanganyieNileteeni Rashford
Nileteeni Rashfordddd
Nileteen Rashfordddddddd
Nileteeni Rashforddddddddddddddddddddddd
Hata Mimi!Yule ndiyo captain wng pale Utd.
Naona Dully Jr ana chungulia na mbichwa wake utafikili kalai la mihogo.





yaani tuanzebehujamuona kabisa3 in a pocket,,,,,
Telles bonge la mchezaji
Fred was superb
De gea anagain confidence,,, critic's zilikuwa nyingi
AWB kaimprove Sana
Bruno, awesome
Next stop, Chelsea,,, jiandaeni kuku nyie
Mkuu Tuanzebe hukumuaona hata kidogo?Kwa matokeo haya namuona Solskjaer akiendelea kuwa kocha wa utd milele..Huwa naumia sana nikiona watu wanamsema De Gea vibaya leo atleast ametuonyesha kwamba tunaweza kumtegemea..Bissaka leo amefanya kazi nzuri sana hawa wawili wananifanya nilale vzr ucku wa leo ila Martial duh!Ngoja nilale tu..
Mamaeeee!!! Mara ya mwisho Michezo ya kihuni hivi ilikuwa inafanywa na Ferdinand na Vida!
Ile intro yako ya Ole out, leo ukuanza nayo kwa nini?