Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1603006711008.jpg
 
Kwa matokeo haya namuona Solskjaer akiendelea kuwa kocha wa utd milele..Huwa naumia sana nikiona watu wanamsema De Gea vibaya leo atleast ametuonyesha kwamba tunaweza kumtegemea..Bissaka leo amefanya kazi nzuri sana hawa wawili wananifanya nilale vzr ucku wa leo ila Martial duh!Ngoja nilale tu..
Mkuu Tuanzebe hukumuaona hata kidogo?
 
Back
Top Bottom