Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,477
Bruno kapiga penalty sababu ya Martial, tayari amefanya kazi yake. na Ndio Martial ni striker mzuri kwenye counter Attack, sio mzuri kwenye cross.Inawezekana boss ila umtegemee Martial kwa counter? Telles na Bruno wamepiga krosi ngapi ngapi ndani pale na zinapita bila wenyewe?
PSG wakiunganisha timu pale kati, DiMaria na Mbappe au Neymar wanaiua UTD.

