Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mimi ni kati ya watu ninaamini kwamba United tuna wachezaji wazuri, kwa Uingereza tupo miongoni mwa top 4 ya timu zenye vikosi vizuri

Mimi ni kati ya watu wanaotaka sana legendary mchezaji wetu Ole afanikiwe pia akiwa kocha

Tatizo la Ole hana consistence, amekuwa kocha mwenye mafanikio kwa mechi kubwa (timu kubwa) ambazo ni chache, ndio maana kuna wakati ninaamini ni kocha mzuri kwenye hamasa na man Management kuliko mbinu

Leo ametumia mbinu nzuri ya kuwaheshimu PSG na kucheza counter attack

Pia hakuweka sana high line ambayo kibelenge Mbape ndio huwa anataka

Ameweza pia kumdhibiti Neymar kutokana na tabia yake ya show game na kung'ang'ania mipira... Kila alipokaa na mipira sekunde mbili akajikuta amezungukwa na watu kama akina Fred na Tominay na kunyang'anywa mipira

Pia ameweza kuwatumia Axel na Shaw kwenye kuwadhibiti wakimbeza Mwenge wote wa PSG pindi unapopigwa mpira wa mbio mbio

My concern Tuanzebe leo ameanza out of necessity, Maquire akipona Lindelof na Maquire watarudi kwenye namba zao (mimi nataka Tuanzebe na Maguire ndio waanze)
Kikosi ni kizuri kwa kweli..Mimi nadhani kama Ole kweli ni kocha bora basi atumie akili zote kupata best of it..Tuanzebe hewani mzuri sana pia ni mtulivu..Sio mbaya siku wakajaribishwa

Martial akizingua kuna Cavani..Kimsingi tumeanza kuwa na squad depth mzuri
 
★GAME CHANGER

#GGMU


manutd |
IMG_20201021_003412_935.jpeg
IMG_20201021_003414_047.jpeg
 
Mourinho wako kaongoza goli tatu dakika ya 83 zikaanza kurudi zote..

Set up ya timu leo ilikuwa babu kubwa..Ole na benchi wapewe credit zao
Set up ya mechi moja hii.

We angalia mechi zinazokuja, hutaona mfumo ulioona leo.

Na yule dirisha nae atarudi hlf tuanzebe hutamwona tena
 
Back
Top Bottom