Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ukiangalia big games zote Ole alifanikiwa tactically.

Kwenye game ndogo pia anacontrol the game lakini timu yake inakosa creative players kuunlock timu zinazodefend with low blocks.

Kila manager ana strength na weakness zake Klopp mwenyewe hashambulii kupitia katikati hivyo ukimkamata pembeni the game is over.

Pep anateswa na timu zinazoshambulia kwa Counter attack na zinazoshambulia from the wings.

Mourinho anatumia zonal marking lakini anateswa na timu zinazofanya spreading attack kama wanavyocheza bayern, Man city na chelsea.

Mimi bado naendelea kumpa 60% kwenye tactics and techniques hasa ukizingatia alikuwa hit na injuries nyingi from the start, imagine Guardiola amepata injury moja tu kastruggle kwanini tusiendelee kumpa benefit of doubt ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Inabidi tushinde mechi za kawaida hizi comfortably..atleast ndo atawin trust yangu
 
Ukiangalia big games zote Ole alifanikiwa tactically.

Kwenye game ndogo pia anacontrol the game lakini timu yake inakosa creative players kuunlock timu zinazodefend with low blocks.

Kila manager ana strength na weakness zake Klopp mwenyewe hashambulii kupitia katikati hivyo ukimkamata pembeni the game is over.

Pep anateswa na timu zinazoshambulia kwa Counter attack na zinazoshambulia from the wings.

Mourinho anatumia zonal marking lakini anateswa na timu zinazofanya spreading attack kama wanavyocheza bayern, Man city na chelsea.

Mimi bado naendelea kumpa 60% kwenye tactics and techniques hasa ukizingatia alikuwa hit na injuries nyingi from the start, imagine Guardiola amepata injury moja tu kastruggle kwanini tusiendelee kumpa benefit of doubt ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Klopp,Jose & Pep they are class above OGS they have won almost everything in different top Europe league.Pep alifanya mistake kubwa kutosajili CB baada ya kumkosa Maguire its better City kucheza pungufu kuliko kumchezesha Fernandinho as CB badala ya DM yule jamaa ndio alikuwa ana-balance timu,DM is most important players to the team (Kante,Casemiro,Busquets,Brozovic,Ndidi,Fernandinho) hawa wakikosekana kwenye timu ndio utaona pengo leo

Klopp alivyokuwa anacheza Dortmund na anavyocheza Liverpool kuna mabadiliko makubwa sana kule alikuwa na pure no 9 Lewandowski huku Firmino ni false 9
 
Do you know Cantona,Blanc,Van Der Sar,Larsson,Sheringham ,RVP Ferguson aliwasajili wakiwa na umri gani ?
Hao aliwasajiri for short term archiements, eg Rvp alikuja kutupa ubingwa, Larson alipewa nusu msimu kupisha striker wetu walikua majeruhi, all in all sera ya ferguson ilikua kukuza academy + kusajir wachezaj umri mdogo, eg rooney, cr7, ferdinand, de gea etc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusimtupie tu Lawama Ed Woodward..Makocha nao wanachemsha..

Yaani Sanchez asajiliwe bila kocha kumtaka how??..na alivyokuja tu Martial kapelekwa Right flank ili kum-accomodate Sanchez..unasemaje sasa kuwa Mourinho hakumuhitaji??

Lazima tukubali kuwa makocha nao wanaplay part na sio kila kitu Ed Woordward

Ole amemsajili James unaona kweli huyu dogo ni mpambanaji na anacontribute vizuri kila mechi..Maguire amekuwa hadi Captain..Bissaka naye so far so good..sasa kwenye hii transfer window mbona Ed halalamikiwi??
Mkuu Ed now amenywea kidogo lakini mission yake siku zote ilikuwa ni kuifanya man U iwe kama galactico madrid ndio maana akiona mchezaji yoyote mwenye jina alikuwa anamsajili kwa price yoyote.

Mou alimtaka perisic badala ya sanchez hio sio siri na target zake nyingi zilikataliwa ikiwemo usajili wa maguire.
Hii ni report tu


Na kwa mdomo wake mwenyewe Ed alikiri hilo hivyo sio tetesi tu.

Ili mchezaji asajiliwe man utd lazima kuna step apitie ikiwemo mascout, recruitment team, team ya Ed na kocha mwenyewe, hao mabwana wakubwa wengine wakikataa ujue kocha hampati huyo mchezaji.

Ole kidogo amepata bahati maana Awb kama tetesi ni za kweli hajapigiwa kura amepita moja kwa moja.

Kuna Article moja ya kulipia nitaiquote hapa inaelezea vizuri mambo ya usajili yanavyofanyika Man U.

Before signing Aaron Wan-Bissaka from Crystal Palace, Manchester United started out with a database of 804 right-backs. They wanted a young player, preferably British, and, given the way that manager Ole Gunnar Solskjaer wanted his defence to push up, one that was also very good at so-called ‘recovery runs’ - getting back into position when possession was lost, something of a specialism for Wan-Bissaka.

A list of 50 right-backs was whittled down to a top 10 through more intensive analysis by United’s data team which is now 15-strong, compared to just one person seven years ago. That list was then passed to a technical chief scout Mick Court who, himself, is part of a team of four. Along with his colleagues he undertook the profiling of the players.

Court reduced it to a top three which was ranked as a first, second and third choice after being presented to Solskjaer and United’s recruitment department. Both have the power of veto on any transfer and if there was one of the three they did not want he would drop out and be replaced.

Crucially, if the recruitment department vetoed Solskjaer’s choice, then it would go to executive vice-chairman Ed Woodward to have the delicate task of explaining the decision to the manager. That conversation did not have to happen in the case of Wan-Bissaka, but it did the previous summer when the recruitment team did not agree with Jose Mourinho’s demands for another central defender.

That list of three players was then given to United’s head of corporate development, Matt Judge. His job title is a mouthful but Judge’s key task is negotiating the terms of transfers - from what the fee will be to the player’s wages and the demands of the agent.

Wan-Bissaka remained No 1 on the list and eventually a deal was struck for a projected £50 million - £45m plus £5m in achievable add-ons - which was the minimum amount that Palace’s chairman Steve Parish would accept. Parish had used the similar fee that Tottenham Hotspur had received from Manchester City for Kyle Walker in 2017 as a yardstick, hoping for more but accepting approximately the same in the end.

There is nothing especially unusual in this process. What is notable, however, is that United took it upon themselves to explain it to the club’s staff in an internal meeting earlier this month. They even produced a flow diagram so employees could see how they went about recruiting Wan-Bissaka.

The issue was not the signing itself - Wan-Bissaka is widely considered one of the most promising defenders in English football, and had acquitted himself well this season prior to the injury which has prevented him playing since September 25. It was also not meant to show that United were being revolutionary in the market: most big, well-resourced clubs have similarly thorough crosschecking systems in place. Indeed, some do even more, especially with the extended use of analytics that can also uncover some relatively hidden gems.



Aaron Wan-Bissaka is widely considered one of the most promising defenders in English football

Instead, it was designed to boost the morale of a staff who felt beaten down by United’s poor start to the season and the continued negative publicity surrounding them, and to restore a little faith in the club's powerbrokers. This - the message went - was an example of good practice leading to a good outcome.



The old dictum that it's good to talk is not always followed by football, but you wonder how much the mood around Old Trafford might lift if United were as transparent externally as they are internally.



Offering a full briefing to United fans over how Wan-Bissaka was signed might not have been commercially wise, but outlining elements of it would have had its benefits. It would have shown, for example, that - contrary to popular belief - Woodward is not taking sole control of transfers. One player who signed for United not so long ago said the first time he met Woodward was when he walked into the room to shake his hand once the contract was signed. But the perception persists, so it would do no harm to dispel it.



Contrary to popular belief, Ed Woodward is not taking sole control of transfers

After results, perception is everything in football. To the outside world, United appear a club in turmoil; internally, they would argue that they are merely underachieving, and that they are already undertaking the long and painful job of overhauling a squad that has proved unfit for purpose.



Some terribly expensive mistakes have been made around recruitment, and you wonder how much worse things would be if the club's hierarchy owned up to them and explained how they are trying to sort them out.



United are in transition. There is no guarantee that Solskjaer is the manager to take them back to the top but – it seems – the club recognises that they need maybe two more summer transfer windows to even assemble a squad who are up to the club's standards. They want to try and stick by him.



It would undoubtedly help if they hired a technical director to become, as the club acknowledges, the “lightning rod” to consolidate the recruitment and provide a focal point to drive the club to where they need to be.



As for Solskjaer, he could also embrace the idea that openness might be his best strategy. United play Liverpool this weekend, in the biggest game English football has to offer, and the eyes of the country - maybe the world - will be on his pre-match press conference on Friday.



Rather than treating it as another exercise in fire-fighting as he struggles to justify why he has got the job, why not take some time to explain why he is the right man for it? These weekly briefings tend to be kept as short as possible but this is one of those instances where Solskjaer could benefit from being allowed room to expand on his ideas, and communicate them clearly to the club's supporters.



United are far from alone in adopting a strategy based on the less said the better, particularly when results deteriorate. Actually, if they really believe in what they are doing, it is precisely the time to say more and to be pro-active.



Solskjaer does not need to have a flow-chart - just prove he has a flow of ideas.



City owe it to Foden to make most of himself

Manchester City already owe Phil Foden. The 19-year-old has long become the poster boy for the club’s hopes of bringing through one of its own rather than simply buying talent but he has inevitably been limited in terms of minutes on the pitch due to the awesome competition around him.



Some say the play-maker should go on loan, but where can he find the unique brand of football that Pep Guardiola inculcates at City? Not even at Barcelona these days.



Instead, City owe it to Foden, who Guardiola has already declared they would not sell even if €500m was offered. They owe it to Foden not just to see through their promise that they will not sign a replacement for David Silva when he leaves at the end of this campaign but to ensure he also gets more opportunities this season to prepare him for what lies ahead.
 
Ed ni moja ya tatizo ila Lvg na Mou matatizo yao yalikua makubwa

Ugomvi wa Ed na Mou kwenye usajiri, Ed anamshutumu Mou sio mtu sahih kukabidhiwa fungu la usajiri, anasajir wachezaj aged na sio aina ya ManUtd, pia hao hao anashindwa watumia, refer bailly, micktaryan, sanchez, fred, lukaku bolingo
Mou alitaka kumleta Perusic mwenye 29 old kwa pesa nying, Ed alimgomea

Mou katuaribia hadi ratio ya mishahara pale OT, wachezaj aliokua anawaleta anawapa mikataba minono mpaka inaleta mtafaruku dressing room, kila mchezaj kwenye renew contract anataka mzigo kama wa fulani
Namuona OGS akirudisha falsafa za pale Carington, refer alivyozuia usajir wa Diabala, refer new signing alizo fanya this season, Maguire ana miezi minne tu teyar is our captain, leader, play for the badge

OGS is a Alex Furgusons type, usishangae june kirusi pogba kuingizwa sokoni, anamlea now bcoz hana many options pale kati

Sent using Jamii Forums mobile app
Na mishahara mlaumu hiki kichwa matt judge yeye ndio negotiation zote za mambo ya hela anafanya.

5123338-6285887-Matt_Judge_works_in_the_background_at_Old_Trafford_but_is_a_key_-a-48_1539783965898.jpg
 
Duuuh kama sanchez na fred hawakusajiriwa na Mou,

1. Nani kawasajiri?

2. Nani aliyependekeza usajir wao?

Kuhusu perisic ni umri mkubwa, unatoa zaidi ya 40pounds kwa 29 years old, endapo ungekua wew n Ed ungekubali kuidhinisha malipo?

Sera ya Utd ni kuwatumia vijana wa academy na endapo kusajiri basi ni vijana wa umri mdogo ili wadumu na club kwa muda mrefu, hii ndio falsafa ya Utd tangu enzi na enzi na OGS ndio anaifata kwasasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hio mkuu unaona ni sawa timu kubwa kama Man U kukaa miaka 7 bila winga asilia ni sahihi? Lvg kamtaka Robben katolewa Nje, Mou perisic hakumpata na hata ole hakuna uhakika kama atapewa Target yake ya kulia.

Na for the sake of discussion tufanye perisic ni mkubwa je huyo sanchez aliesajiliwa badala yake ni mtoto?

Kubali kataa Ed hajamtaka perisic kwasababu ya Business reasons, perisic hana mvuto wa kibiashara na kuuza jezi kama sanchez. Ndio maana hata ukifuatilia speech ya Ed badala ya usajili aliongelea tu jinsi walivyovunja record za fb na tweeter za likes na retweets,

Na unatumia vijana wa academy wakiwepo, unaweza kuniambia kwa lvg ama mou kulikuwa na mtoto gani wa academy winga wa kulia ambae alikuwa akipokezana na mata? Lvg aliwapa sana nafasi watoto ila hio winga hata yeye ilimsumbua ndio maana akawa anamchezesha no 10 wing ya kulia.
 
Do you know Cantona,Blanc,Van Der Sar,Larsson,Sheringham ,RVP Ferguson aliwasajili wakiwa na umri gani ?
Ferg hakuwa anajaza wazee kwa pamoja na kuwafanya tegemeo Bali alikuwa akiongeza mtu mzima ambaye ni exception na asiye na cost kubwa. Mou yeye Mara nyingi hajali mambo ya muda mrefu huwa anajiangalia yeye tu na si vinginevyo. Mou kwa dirisha moja la usajili alitaka awe na Sanchez, perisic,matic na zlatani kama asingesumbuliwa na majeruhi
 
Ferg hakuwa anajaza wazee kwa pamoja na kuwafanya tegemeo Bali alikuwa akiongeza mtu mzima ambaye ni exception na asiye na cost kubwa. Mou yeye Mara nyingi hajali mambo ya muda mrefu huwa anajiangalia yeye tu na si vinginevyo
FYI-Sanchez ni mchezaji aliyesajiliwa na Woodward wachezaji wengi aliowasajili Mourinho United walikuwa below 25 years , Dalot(19),Baily(22) ,Pogba (23),Lindelof(23),(Lukaku(24) ,Fred(25),Mikhy (27),Sanchez (29),Matic (29) ,Zlatan (35)
Wazee gani ambao Mourinho aliwasajili United na kuwafanya tegemeo?
 
FYI-Sanchez ni mchezaji aliyesajiliwa na Woodward wachezaji wengi aliowasajili Mourinho United walikuwa below 25 years , Dalot(19),Baily(22) ,Pogba (23),Lindelof(23),(Lukaku(24) ,Fred(25),Mikhy (27),Sanchez (29),Matic (29) ,Zlatan (35)
Wazee gani ambao Mourinho aliwasajili United na kuwafanya tegemeo?
Unaposema Sanchez kasajiriwa na Ed uwa una maana gan mkuu?
Si Mou alipendekeza ndio maana Ed akamsajiri.
Au una maana Utd uwa inasajiri mchezaji bila pendekezo la Manager kama zilivyo Simba na Yanga?

Sent using Jamii Forums mobile app

Alafu unauliza wachezaj gan wazee Mou aliwasajir akawafanya tegemeo! Wakat kwenye iyo list yako umewaweka Zlatan, Sanchez, Matic, hawa si kipind cha Mou walikua panga pangua 1st eleven mkuu
 
Hata kwenye tactics ole yupo vizuri, tactic zake vs makocha wakubwa kama klop, mou na pep zimeonesha kwamba anajua anachofanya,

Tuna tatizo la uzoefu tu sasa hivi tunafungwa magoli ambayo kikawaida hata timu ndogo hawawezi kufungwa.
Hapa kwenye swala la OGS tumpe muda manager wetu no matter tutamaliza nafasi ya ngap!
In OGS we trust
GGMU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hio mkuu unaona ni sawa timu kubwa kama Man U kukaa miaka 7 bila winga asilia ni sahihi? Lvg kamtaka Robben katolewa Nje, Mou perisic hakumpata na hata ole hakuna uhakika kama atapewa Target yake ya kulia.

Na for the sake of discussion tufanye perisic ni mkubwa je huyo sanchez aliesajiliwa badala yake ni mtoto?

Kubali kataa Ed hajamtaka perisic kwasababu ya Business reasons, perisic hana mvuto wa kibiashara na kuuza jezi kama sanchez. Ndio maana hata ukifuatilia speech ya Ed badala ya usajili aliongelea tu jinsi walivyovunja record za fb na tweeter za likes na retweets,

Na unatumia vijana wa academy wakiwepo, unaweza kuniambia kwa lvg ama mou kulikuwa na mtoto gani wa academy winga wa kulia ambae alikuwa akipokezana na mata? Lvg aliwapa sana nafasi watoto ila hio winga hata yeye ilimsumbua ndio maana akawa anamchezesha no 10 wing ya kulia.
Lvg alimsajiri Depay kwa pesa kubwa kuwa winger no7, what happen?
Lvg alipewa support kubwa sana na Ed pengine kuliko makocha wote waliofuata ila alituletea wachezaj ambao is not Utd DNA refers to DI Maria, Depay, Falcao, Blind, nachoweza msifu Lvg watoto aliowapandisha from academy like Rashford
Mou ndio sitaki kumsikia kabsa, ndio alikuja kituvuruga na makisirani yake ya kununiana na key players, na hata pale Spurs ataondoka kwa aibu, lets wait n see

In OGS we trust

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaposema Sanchez kasajiriwa na Ed uwa una maana gan mkuu?
Si Mou alipendekeza ndio maana Ed akamsajiri.
Au una maana Utd uwa inasajiri mchezaji bila pendekezo la Manager kama zilivyo Simba na Yanga?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mou alimpendekeza Perisic wakati wa summer Ed akamgomea ,msimu ukaanza Mikhytaryan akaflop Jose was desperate kumuondoa ilivyofika January Sanchez akagoma kuongeza mkataba Arsenal Ed aka-propose swap deal (Mikhy & Sanchez)
The deal was good for business(Ed) because he didnt pay anything and Sanchez alikuwa anauza jezi sana na baada ya Sanchez kusajiliwa.Mwaka huu Ed alikiri kwamba alifanya mistake kwenye usajili wa Sanchez
 
Unaposema Sanchez kasajiriwa na Ed uwa una maana gan mkuu?
Si Mou alipendekeza ndio maana Ed akamsajiri.
Au una maana Utd uwa inasajiri mchezaji bila pendekezo la Manager kama zilivyo Simba na Yanga?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mou alimpendekeza Perisic wakati wa summer Ed akamgomea ,msimu ukaanza Mikhytaryan akaflop Jose was desperate kumuondoa ilivyofika January Sanchez akagoma kuongeza mkataba Arsenal Ed aka-propose swap deal (Mikhy & Sanchez)
The deal was good for business(Ed) because he didnt pay anything and Sanchez alikuwa anauza jezi sana na baada ya Sanchez kusajiliwa
Haya ndio aliongea Woodward first quarter baada ya Sanchez kusajiliwa
View attachment 1102930
mozila firefox
 
Lvg alimsajiri Depay kwa pesa kubwa kuwa winger no7, what happen?
Lvg alipewa support kubwa sana na Ed pengine kuliko makocha wote waliofuata ila alituletea wachezaj ambao is not Utd DNA refers to DI Maria, Depay, Falcao, Blind, nachoweza msifu Lvg watoto aliowapandisha from academy like Rashford
Mou ndio sitaki kumsikia kabsa, ndio alikuja kituvuruga na makisirani yake ya kununiana na key players, na hata pale Spurs ataondoka kwa aibu, lets wait n see

In OGS we trust

Sent using Jamii Forums mobile app
Ed Woodward ndio aliwaajiri kina LVG na Mourinho ambao wewe unasema hawana DNA ya kuifundisha United
Other big clubs in Europe Director of Football(Technical People,I OGS angefaa sana kuwa DOF badala ya Manager) wa United ndio wanahusika na kuajiri makocha na ku-approve usajili wa wachezaji
Ndio maana hata wakibadilisha makocha wachezaji wengi wanaendelea kuwa productive kwa makocha wapya
 
Lvg alimsajiri Depay kwa pesa kubwa kuwa winger no7, what happen?
Lvg alipewa support kubwa sana na Ed pengine kuliko makocha wote waliofuata ila alituletea wachezaj ambao is not Utd DNA refers to DI Maria, Depay, Falcao, Blind, nachoweza msifu Lvg watoto aliowapandisha from academy like Rashford
Mou ndio sitaki kumsikia kabsa, ndio alikuja kituvuruga na makisirani yake ya kununiana na key players, na hata pale Spurs ataondoka kwa aibu, lets wait n see

In OGS we trust

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe depay unamuonaje? Mauzo meeengi alishika nafasi ya tatu kwenye kuuza jezi nyuma ya Messi na Ronaldo alimpita hadi neymar, watu kama Hao ukimtajia tu Ed ujue wanakuja, ndio watu anaowapenda.

Na depay anacheza kushoto sawa na martial, Rashord, sanchez, young, di maria etc hatukuwa na uhaba wa mtu wa kushoto, siku zote upande ule wa kulia wa Mata ndio wenye tatizo toka Valencia na Nani mmoja awe beki na mwengine aondoke mpaka leo hakujazibwa.

Na Blind pekee kwenye hio list ndio alikuwa mchezaji wa LVG kina Falcao, Di maria na masuper star wengine alisukumiziwa tu. Na Martial alifit pia requirement za LVG pamoja na Bastian.

Lvg siku zote anafanya kazi na Ma dof wazuri wonders zake Ajax, barcelona na hata Bayern tunazijua, angalia World cup beki martins Indi ila akafanya vizuri sana mpaka alivyomaliza sub ikawa ndio mwisho wake.
 
Na wewe depay unamuonaje? Mauzo meeengi alishika nafasi ya tatu kwenye kuuza jezi nyuma ya Messi na Ronaldo alimpita hadi neymar, watu kama Hao ukimtajia tu Ed ujue wanakuja, ndio watu anaowapenda.

Na depay anacheza kushoto sawa na martial, Rashord, sanchez, young, di maria etc hatukuwa na uhaba wa mtu wa kushoto, siku zote upande ule wa kulia wa Mata ndio wenye tatizo toka Valencia na Nani mmoja awe beki na mwengine aondoke mpaka leo hakujazibwa.

Na Blind pekee kwenye hio list ndio alikuwa mchezaji wa LVG kina Falcao, Di maria na masuper star wengine alisukumiziwa tu. Na Martial alifit pia requirement za LVG pamoja na Bastian.

Lvg siku zote anafanya kazi na Ma dof wazuri wonders zake Ajax, barcelona na hata Bayern tunazijua, angalia World cup beki martins Indi ila akafanya vizuri sana mpaka alivyomaliza sub ikawa ndio mwisho wake.
Huu mjadala naumaliza hapa mkuu, kama Ed anaweza sajiri mchezaji bila ya pendekezo la Manager basi ManUtd kuna tatizo kubwa sana, japo sihamini kama Ed ana uwezo wa kusajiri mchezaji bila pendekezo la Manager
Kwa mtazamo wako its means David Gill alikuwa ana uwezo wa kusajiri mchezaji bila ya pendekezo la Sir Alex

GGMU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom