Exformer
JF-Expert Member
- Nov 12, 2018
- 856
- 989
Nawatetea makocha wangu hio mizigo mingi imeletwa na Ed.Mkuu ManUtd ya sasa ipo ktk mikono salama, itasajiri hata mchezaj wa 100pounds ila typical utd player, sio kina Mou na Lvg walituletea mizigo inayofikiria hela kuliko kuvuja jasho
Sent using Jamii Forums mobile app
And Ed is still making decisionNawatetea makocha wangu hio mizigo mingi imeletwa na Ed.
Ed ni moja ya tatizo ila Lvg na Mou matatizo yao yalikua makubwaNawatetea makocha wangu hio mizigo mingi imeletwa na Ed.
Mou hajamsajili fred wala Sanchez mbona hilo ameshalisema siku nyingi, na perisic ni winger alikuwa anahitajika, unamruhusu kocha asajili striker wa kusimama mbele (lukaku) ila unamkatalia asilete winger wa kumlisha unategemea nini?Ed ni moja ya tatizo ila Lvg na Mou matatizo yao yalikua makubwa
Ugomvi wa Ed na Mou kwenye usajiri, Ed anamshutumu Mou sio mtu sahih kukabidhiwa fungu la usajiri, anasajir wachezaj aged na sio aina ya ManUtd, pia hao hao anashindwa watumia, refer bailly, micktaryan, sanchez, fred, lukaku bolingo
Mou alitaka kumleta Perusic mwenye 29 old kwa pesa nying, Ed alimgomea
Mou katuaribia hadi ratio ya mishahara pale OT, wachezaj aliokua anawaleta anawapa mikataba minono mpaka inaleta mtafaruku dressing room, kila mchezaj kwenye renew contract anataka mzigo kama wa fulani
Namuona OGS akirudisha falsafa za pale Carington, refer alivyozuia usajir wa Diabala, refer new signing alizo fanya this season, Maguire ana miezi minne tu teyar is our captain, leader, play for the badge
OGS is a Alex Furgusons type, usishangae june kirusi pogba kuingizwa sokoni, anamlea now bcoz hana many options pale kati
Sent using Jamii Forums mobile app
Timu iliyopo Europa haina ubavu wa kuhijitumua kwa mwingine,Unasema reject wakati wewe upo ueropa!! Ajax utatoboa kweli..!!
Naona ukipambana sana msimu ushiriki tena Europa..
Kila la kheri Chelsea
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusimtupie tu Lawama Ed Woodward..Makocha nao wanachemsha..Mou hajamsajili fred wala Sanchez mbona hilo ameshalisema siku nyingi, na perisic ni winger alikuwa anahitajika, unamruhusu kocha asajili striker wa kusimama mbele (lukaku) ila unamkatalia asilete winger wa kumlisha unategemea nini?
Na mou alithibitisha kuwa yeye ni mtu sahihi point 81 amefikisha ambazo ni record toka fergie aondoke sawa na point ambazo miaka mingine mtu anachukua ubingwa japo wachezaji wake wengine hakupewa.
Maamuzi mengi aliyotaka kufanya mou tunakuja kuyafanya baadae kwa cost kubwa zaidi.
hahaha wewe nafasi ya sita inakufaa kabisa..ndo nafasi pendwa kwenu..
Duuuh kama sanchez na fred hawakusajiriwa na Mou,Mou hajamsajili fred wala Sanchez mbona hilo ameshalisema siku nyingi, na perisic ni winger alikuwa anahitajika, unamruhusu kocha asajili striker wa kusimama mbele (lukaku) ila unamkatalia asilete winger wa kumlisha unategemea nini?
Na mou alithibitisha kuwa yeye ni mtu sahihi point 81 amefikisha ambazo ni record toka fergie aondoke sawa na point ambazo miaka mingine mtu anachukua ubingwa japo wachezaji wake wengine hakupewa.
Maamuzi mengi aliyotaka kufanya mou tunakuja kuyafanya baadae kwa cost kubwa zaidi.
Huyu Mkwawa anaitaji maombi, eti sanchez na fred hawakuletwa na MouTusimtupie tu Lawama Ed Woodward..Makocha nao wanachemsha..
Yaani Sanchez asajiliwe bila kocha kumtaka how??..na alivyokuja tu Martial kapelekwa Right flank ili kum-accomodate Sanchez..unasemaje sasa kuwa Mourinho hakumuhitaji??
Lazima tukubali kuwa makocha nao wanaplay part na sio kila kitu Ed Woordward
Ole amemsajili James unaona kweli huyu dogo ni mpambanaji na anacontribute vizuri kila mechi..Maguire amekuwa hadi Captain..Bissaka naye so far so good..sasa kwenye hii transfer window mbona Ed halalamikiwi??
hahaha wewe nafasi ya sita inakufaa kabisa..ndo nafasi pendwa kwenu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh kama sanchez na fred hawakusajiriwa na Mou,
1. Nani kawasajiri?
2. Nani aliyependekeza usajir wao?
Kuhusu perisic ni umri mkubwa, unatoa zaidi ya 40pounds kwa 29 years old, endapo ungekua wew n Ed ungekubali kuidhinisha malipo?
Sera ya Utd ni kuwatumia vijana wa academy na endapo kusajiri basi ni vijana wa umri mdogo ili wadumu na club kwa muda mrefu, hii ndio falsafa ya Utd tangu enzi na enzi na OGS ndio anaifata kwasasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Mkwawa anaitaji maombi, eti sanchez na fred hawakuletwa na Mou
Mou katibua hadi ratio za mishahara, leo kila mtu pale dressing room anataka kulipwa sawa na sanchez
OGS ndio maana kamtoa kwa mkopo ili kuleta umoja dressing room
Sent using Jamii Forums mobile app
That is my problem with OGSOle anaweza kuwa sio bingwa kwenye tactics and techniques lakini kwenye swala la usajili na kuleta utulivu kwenye timu amefanikiwa..
Na Lampard yeye atafanyaje??OGS is pochetino type. Atajenga timu yenye uwezo wa kumaliza top 4 ila sio kuchukua ubingwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Do you know Cantona,Blanc,Van Der Sar,Larsson,Sheringham ,RVP Ferguson aliwasajili wakiwa na umri gani ?Duuuh kama sanchez na fred hawakusajiriwa na Mou,
1. Nani kawasajiri?
2. Nani aliyependekeza usajir wao?
Kuhusu perisic ni umri mkubwa, unatoa zaidi ya 40pounds kwa 29 years old, endapo ungekua wew n Ed ungekubali kuidhinisha malipo?
Sera ya Utd ni kuwatumia vijana wa academy na endapo kusajiri basi ni vijana wa umri mdogo ili wadumu na club kwa muda mrefu, hii ndio falsafa ya Utd tangu enzi na enzi na OGS ndio anaifata kwasasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ole anaweza kuwa sio bingwa kwenye tactics and techniques lakini kwenye swala la usajili na kuleta utulivu kwenye timu amefanikiwa..
Anaye-negotiate na ku-approve mikataba ya wachezaji ni Woodward sio kocha na aliona cheap option kwa sababu hakutoa fedha kumsajili Sanchez (it was swap deal with Mikhy) na Sanchez alikuwa mchezaji anayeuza jeziHuyu Mkwawa anaitaji maombi, eti sanchez na fred hawakuletwa na Mou
Mou katibua hadi ratio za mishahara, leo kila mtu pale dressing room anataka kulipwa sawa na sanchez
OGS ndio maana kamtoa kwa mkopo ili kuleta umoja dressing room
Sent using Jamii Forums mobile app