Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ed Woodward ndio aliwaajiri kina LVG na Mourinho ambao wewe unasema hawana DNA ya kuifundisha United
Other big clubs in Europe Director of Football(Technical People,I OGS angefaa sana kuwa DOF badala ya Manager) wa United ndio wanahusika na kuajiri makocha na ku-approve usajili wa wachezaji
Ndio maana hata wakibadilisha makocha wachezaji wengi wanaendelea kuwa productive kwa makocha wapya
Unaposema Ed ndio aliowajri Lvg n Mou unakosea, kuhusu kuwajiri Lvg na Mou ni bodi nzima ndio inapendekeza Manager awe nani, Ed ni Makamu Mwenyekiti kwa cheo chake inamlazimu kutangaza maamuzi ya bodi

Ed ni kama Senzo wa Simba, bodi maamuzi wanayofanya na yeye akiwemo, anayatangaza maamuzi kwa press

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu mjadala naumaliza hapa mkuu, kama Ed anaweza sajiri mchezaji bila ya pendekezo la Manager basi ManUtd kuna tatizo kubwa sana, japo sihamini kama Ed ana uwezo wa kusajiri mchezaji bila pendekezo la Manager
Kwa mtazamo wako its means David Gill alikuwa ana uwezo wa kusajiri mchezaji bila ya pendekezo la Sir Alex

GGMU

Sent using Jamii Forums mobile app
Na pia makocha wanalazimishwa kuwachezesha hao wachezaji waliosajiliwa na Ed au??
 
Tuwashauri nini hawa wenzetu wa buluu
Screenshot_20191214-210247_Twitter.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mou alieleza wazi wachezaji walioletwa wakati yeye akiwa hawahitaji, na hata hivyo Ole hajafikia mafanikio ya Mou hapo Man u hivyo usiwe mwepesi kupuuza watangulizi wake.
Mkuu ManUtd ya sasa ipo ktk mikono salama, itasajiri hata mchezaj wa 100pounds ila typical utd player, sio kina Mou na Lvg walituletea mizigo inayofikiria hela kuliko kuvuja jasho

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ed ni moja ya tatizo ila Lvg na Mou matatizo yao yalikua makubwa

Ugomvi wa Ed na Mou kwenye usajiri, Ed anamshutumu Mou sio mtu sahih kukabidhiwa fungu la usajiri, anasajir wachezaj aged na sio aina ya ManUtd, pia hao hao anashindwa watumia, refer bailly, micktaryan, sanchez, fred, lukaku bolingo
Mou alitaka kumleta Perusic mwenye 29 old kwa pesa nying, Ed alimgomea

Mou katuaribia hadi ratio ya mishahara pale OT, wachezaj aliokua anawaleta anawapa mikataba minono mpaka inaleta mtafaruku dressing room, kila mchezaj kwenye renew contract anataka mzigo kama wa fulani
Namuona OGS akirudisha falsafa za pale Carington, refer alivyozuia usajir wa Diabala, refer new signing alizo fanya this season, Maguire ana miezi minne tu teyar is our captain, leader, play for the badge

OGS is a Alex Furgusons type, usishangae june kirusi pogba kuingizwa sokoni, anamlea now bcoz hana many options pale kati

Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau, ndani ya muda mfupi tu Mou alichukua europa na kwenye ligi akiwa wa pili pamoja na hao wachezaji wa kuunga unga, Ole mpe hata miaka 3, hachukui kombe lolote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umesema vizuri sana, Mou hakupata sapoti ya kutosha, aliletewa wachezaji asiowahitaji na bado alifanya vizuri, wachezaji aliowahitaji akina Maguire wamesajiliwa baada ya yeye kuondoka, wachezaji aliokuwa anawaweka bench hawakupata namba hata baada ya yeye kuondoka, tena wengine wameondoka klabuni, ila hata vijana aliowaamini kwa kuwapa namba ndio tegemeo kwa sasa. Ila unafiki mwingine ni kuwa wakati wa Mou focus ya club ilikuwa kuchukua makombe, huku wachezaji wastaafu wa man walikuwa wamejazana kwenye TV stations wakikosoa kila kinachofanywa, ila baada ya mwenzao kupewa timu focus imebadilika na sasa wanazungumzia kujenga culture ya Man U! Unafiki mkubwa!
Mou hajamsajili fred wala Sanchez mbona hilo ameshalisema siku nyingi, na perisic ni winger alikuwa anahitajika, unamruhusu kocha asajili striker wa kusimama mbele (lukaku) ila unamkatalia asilete winger wa kumlisha unategemea nini?

Na mou alithibitisha kuwa yeye ni mtu sahihi point 81 amefikisha ambazo ni record toka fergie aondoke sawa na point ambazo miaka mingine mtu anachukua ubingwa japo wachezaji wake wengine hakupewa.

Maamuzi mengi aliyotaka kufanya mou tunakuja kuyafanya baadae kwa cost kubwa zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maguire alikuwa choice ya Mourinho, Bissaka kafanya vizur so far, ila pia usisahau hata Lukaku mliyemuuza huko aliko ni moto wa hatari.
Tusimtupie tu Lawama Ed Woodward..Makocha nao wanachemsha..

Yaani Sanchez asajiliwe bila kocha kumtaka how??..na alivyokuja tu Martial kapelekwa Right flank ili kum-accomodate Sanchez..unasemaje sasa kuwa Mourinho hakumuhitaji??

Lazima tukubali kuwa makocha nao wanaplay part na sio kila kitu Ed Woordward

Ole amemsajili James unaona kweli huyu dogo ni mpambanaji na anacontribute vizuri kila mechi..Maguire amekuwa hadi Captain..Bissaka naye so far so good..sasa kwenye hii transfer window mbona Ed halalamikiwi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu mjadala naumaliza hapa mkuu, kama Ed anaweza sajiri mchezaji bila ya pendekezo la Manager basi ManUtd kuna tatizo kubwa sana, japo sihamini kama Ed ana uwezo wa kusajiri mchezaji bila pendekezo la Manager
Kwa mtazamo wako its means David Gill alikuwa ana uwezo wa kusajiri mchezaji bila ya pendekezo la Sir Alex

GGMU

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaposema Ed ndio aliowajri Lvg n Mou unakosea, kuhusu kuwajiri Lvg na Mou ni bodi nzima ndio inapendekeza Manager awe nani, Ed ni Makamu Mwenyekiti kwa cheo chake inamlazimu kutangaza maamuzi ya bodi

Ed ni kama Senzo wa Simba, bodi maamuzi wanayofanya na yeye akiwemo, anayatangaza maamuzi kwa press

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu seems bado hata huelewi structure ya Man u inavyo operate.

Ed ndio CEO wetu ndio mtu mkubwa zaidi kiutendaji. Yeye ndio mwenye last say na ndio ameajiriwa na wamiliki wa timu ku over see kila kitu.

Juu ya Ed kuna Joel na Avram glazzer tu unaweza kuiangalia Bodi ya Man U hapa
Board of Directors

Vision ya Ed ndio vision ya man utd na anaajiri kutokana na muono wake ulivyo. Ndio maana watu walio chini yake wote ni kama yeye ambao hawajui lolote kuhusu mpira wengi ni bankers mfano mzuri ni huyo Matt judge ambae yupo responsible kunegotiate mishahara ( na sio kocha wa timu kama ulivyochapia huko juu)

Soma vizuri hao top executive wote then niambie nani mtu wa mpira? Then kaangalie timu kama Bayern ama ajax ama barcelona ama juve ndio utajua tatizo la Man U ni nini.

Na uingereza ni timu mbili tu so far ambazo hazina dof Man U na Newcastle na wote wanafanana Tabia zao.
 
Ugomvi wa Ed na Mou kwenye usajiri, Ed anamshutumu Mou sio mtu sahih kukabidhiwa fungu la usajiri, anasajir wachezaj aged na sio aina ya ManUtd, pia hao hao anashindwa watumia, refer bailly, micktaryan, sanchez, fred, lukaku bolingo
Mou alitaka kumleta Perusic mwenye 29 old kwa pesa nying, Ed alimgomea
kabla ya kufikia makubaliano ya kumpa mkataba jose mourinho:
  • je bodi walikuwa hawafahamu ya kwamba huyu jamaa (mourinho) ni mtumiaji wa pesa sana kama alivyofanya chelsea na real madrid?
  • walikuwa hawafahamu ya kwamba jose mourinho huwa hapendelei sana kuangalia umri wa mchezaji pindi anapohitaji huduma yake ( rejea usajili wa ibrahimovic, samuel etoo, michael ballack, diego millito, carvalho ricardo kuelekea real madrid)
  • je! bodi ya klabu walipokuwa wanampa mkataba jose mourinho walikuwa hawafahamu ya kwamba huyu jamaa hana tabia ya kuwavumilia wachezaji wake pindi wanapokuwa ovyo au asipowahitaji (kwa mfano pendekezo la kutafutwa mchezaji wa kuziba nafasi ya mkhitaryan aliyeshuka kiwango, pia rejea usajili wa ashley cole kwenda chelsea na william gallas kwenda arsenal)
bila ya shaka walikuwa wanayafahamu yote na ndio maana walifikia makubaliano pande zote mbili ya kufanya kazi kwa pamoja.

namnukuu ed woodward
===== tuko vizuri sana kwenye eneo la kibiashara kuliko timu yoyote duniani na matokeo ya ndani ya uwanja hayaleti athari kubwa sana kwenye biashara zetu.
===== manchester united ndiyo timu pekee yenye uwezo wa kumsajili mchezaji yoyote kwenye soko la usajili bila ya kupata athari yoyote na kwa hilo namuahidi kocha nitayafanyia kazi mapendekezo yake

kwa nini manchester united walishindwa kumtimizia baadhi mahitaji yake haliyakuwa ed woodward ameshajisifu mara nyingi sana ya kwamba klabu ina uwezo wa kumsajili mchezaji yoyote anayetakiwa na mwalimu?

kuhusu kushindwa kuwatumia ipasavyo wachezaji wake aliowasajili nalo pia si geni kwa jose mourinho kwani huko nyuma alishawahi kufanya vimbwanga kama hivyo (rejea usajili wa asiel del horno,lassana diarra, shevchenko, mateja kezman) na ndio maana nikauliza hapo juu kuhusiana na utambuzi wa bodi juu ya suala hili kabla hawajampa kandarasi jose mourinho.

pia mourinho si kocha pekee mwenye tabia mbovu kama hiyo ya kushindwa kuwavumilia wachezaji wake pindi wanapocheza chini ya kiwango hata josep guardiola pia anayo tabia hiyo na bado ameendelea kuwa nayo tabia hiyo (kwa kuwa ni guardiola basi hakuna anayehoji)
  • wakati guardiola anamuondoa nolito ambaye alimsajili yeye mwenyewe kwa kutokuendana na falsafa yake msimu wake wa pili alionekana malaika lakini mourinho alipomuondoa mkhitaryan kwa kushindwa kuwa kwenye kiwango msimu wake wa pili alionekana ni mwanadamu asiyekuwa na chembe ya uvumilivu.
  • guardiola alimsajili claudio bravo akashindwa kufikia matarajio yake na hatimaye msimu wa pili akatumia tena fedha nyingi kwa usajili ederson (ndani ya misimu miwili josep guardiola alitumia takribani paundi millioni 70 kwa usajili wa magoal keeper)
  • wakati guardiola anasajili walinzi wawili wa kushoto (benjamin mendy na laporte) huku akimuondoa mlinzi mwengine mahiri ambaye ni kolarov alionekana ni malaika lakini mourinho alipoomba apewe fungu la usajili kwa ajili ya alex sandro alionekana ni shetani asiye na uvumilivu, unabaki kujiuliza kama ni guardiola je angeliendelea kumtumia luke shaw na ashley young kama walinzi wake haliyakuwa amemuondoa alexandre kolarov na gael clichy?
  • guardiola alimsajili zlatan ibrahimovic na msimu uliofuata alimuondoa na nafasi yake ilizibwa na david villa kama nitakuwa nipo sahihi.
  • kama guardiola aliweza kuwandoa wachezaji kama joe hart, bacary sagna, gael clichy, zabaleta pablo, alexander kolarov, samir nasri, jesus navas, wilfried bony, mangala, martin demicheliss na kelechi iheanacho ndani ya misimu miwili je. kama angelikuwepo manchester united angeliendelea kufanya kazi na wachezaji kama smalling na phil jones kwa moyo mkunjufu.?
yaliopita si ndwele na tunapaswa tugange yajayo
twende na Ole gunnar solskjaer japo kishingo upande huenda akatufikisha kwenye safari yetu ya matumaini.
nafasi ya nne bado ipo wazi
 
Vita nafasi ya 4

Wapinzani wanaofuata kwa Man Utd na Chelsea

Man Utd VS Everton, Watford, Newcastle & Burnley

Chelsea Vs Tottenham, Southampton, Arsenal & Brightom

Kaugonjwa ka mechi ndogo kasiturudie

Sent using Jamii Forums mobile app
hizi team ndogo tunapaswa tuzifunze adabu ili zikome kutuzowea..
dalili zinaonyesha dhahiri ya kwamba chelsea atapoteza alama nne ndani ya mechi nne zijazo
 
Sanchez at Treatre of dreams was a Joke
swadakta brother
tulitegemea makubwa sana kutoka kwake kupitia miguu yake ila ikawa kinyume chake, hata huko inter milan hana nafasi na sidhani kama watakuwa tayari kumpa mkataba wa kudumu.

Tuombe matajiri wa kichina, japan au waarabu wahitaji huduma yake ili tuondokane na mzimu wake.

habari njema ni kwamba hata usajili wa henrikh mkhitaryan umeshindwa kuwafaidisha arsenal.
 
Back
Top Bottom